Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Iraq:Marekani yawashambulia wanamgambo

Wizara ya ulinzi nchini Marekani imesema kuwa inaendelea kuwashambulia wanamgambo wa taifa la kiislamu kazkazini mwa Iraq.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAREKANI YAWASHAMBULIA WANAMGAMBO WA SYRIA KWA NDEGE

Ndege za kijeshi za Marekani zikirusha makombora kushambulia wanamgambo wa kundi la Islamic State katika mji wa Kabane, Syria. Muonekano baada ya ndege za Marekani kutupa makombora.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yawashambulia wapiganaji Iraq

Marekani imesema kuwa mashambulizi ya ndege zake zisizo na rubani yameharibu magari mawili ya wapiganaji nchini Iraq.

 

10 years ago

BBCSwahili

Iraq:Marekani yawashambulia wana Jihad

Marekani yatekeleza mashambulizi ya angani dhidi ya wapiganaji wa Islamic State karibu na bwawa la Hadatha magharibi mwa Iraq.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanamgambo wahimizwa kujitolea Iraq

Wanamgambo wa Kishia wafanya mhadhara mkubwa kuonesha nguvu dhidi ya ISIS na Marekani kuingilia kati tena Iraq

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yashambulia Wanamgambo wa IS

Ndege za Marekani zimeshambulia wanamgambo wa kundi la Islamic state kaskazini mwa Iraq

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani kendelea kuishambulia Iraq

Marekani imeendeleza mashambulizi ya anga kaskazini mwa Iraq kwa lengo la kuwasaidia Wakrud katika mji wa Erbil dhidi ya wapiganaji wa kiislam wa kundi Jihad.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yashambulia wapiganaji wa Iraq

Ndege za kijeshi kutoka Marekani zimetekeleza mashambulizi tisa ya angani dhidi ya wanamgambo wa Islamic State kazkazini mwa Iraq

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaendeleza mashambulizi Iraq

Marekani imesema kuwa imetekeleza mashambulizi zaidi kazkazini mwa Iraq dhidi ya maeneo yanayodhibitiwa na wapiganaji wa Jihad.

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani yalipongeza jeshi la Iraq.

Marekani imelipongeza jeshi la Iraq kwa kuweza kuurejesha mji wa Ramadi uliokuwa ukishikiliwa na wapiganaji wa Islamic State.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani