Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanamgambo wahimizwa kujitolea Iraq

Wanamgambo wa Kishia wafanya mhadhara mkubwa kuonesha nguvu dhidi ya ISIS na Marekani kuingilia kati tena Iraq

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Iraq:Marekani yawashambulia wanamgambo

Wizara ya ulinzi nchini Marekani imesema kuwa inaendelea kuwashambulia wanamgambo wa taifa la kiislamu kazkazini mwa Iraq.

 

10 years ago

Mwananchi

VIJANA WAHIMIZWA KUJITOLEA KWENYE KAMPENI YA SAFISHA JIJI

Ofisa Afya wa Hospitali ya Temeke, Imani Rajabu  amewataka vijana wa Wilaya ya Temeke, Mkoa wa Dar es Salaam kuwa mstari wa mbele kushiriki katika usafi wa mazingira ya Jiji la Dar es Salaam. Alisema vijana wanapaswa kuwa mfano katika usafi wa mazingira kwa kuanzia ngazi ya familia ili kuonyesha mfano kwa vijana wengine kutunza mazingira pamoja na kuepukana na magonjwa ya mlipuko. Akizungumza na  vijana waliofika katika Hospitali ya Manispaa ya Temeke kusafisha maeneo ya hospitali...

 

10 years ago

BBCSwahili

Pakistan:Wanamgambo kifungoni

Wanamgambo wa Taliban waliohusika na shambulizi la miaka mitatu iliyopita dhidi ya Malala Yousafzai wahukumiwa kifungo

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yashambulia Wanamgambo wa IS

Ndege za Marekani zimeshambulia wanamgambo wa kundi la Islamic state kaskazini mwa Iraq

 

9 years ago

Habarileo

Walimu ‘walazimishwa’ kujitolea

WALIMU nchini wametakiwa kuwa wazalendo kwa kuhakikisha wanawafundisha wanafunzi katika muda wa ziada ili kuwaongezea uwezo wa ufaulu katika mitihani yao. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) anayeshughulikia Elimu, Zuberi Samataba wakati akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo walimu na wanafunzi katika Ufundishaji na Ujifunzaji kwa Shule za Sekondari (STEP) yanayoendelea katika mikoa sita nchini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wayahudi waandamana dhidi ya wanamgambo

Maelfu ya watu nchini Israeli wameshiriki kwenye maandamano wakiitaka serikali kuchukua hatua kali zaidi dhidi ya Wayahudi wanaotajwa kuwa wanamgambo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Zaidi 28 wauwawa na wanamgambo Kenya

Polisi nchini Kenya wanasema kuwa wanamgambo wanaoshukiwa kuwa wa kundi la Al Shabaab wamewauwa kwa kuwapiga risasi zaidi ya watu 28 waliokuwa wakisafiri kwenye basi moja karibu na mpaka wa Somalia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanamgambo wawateka watoto 10 Mali

Maafisa wa kijeshi nchini Mali wanasema kuwa watu waliokuwa na silaha wamewateka nyara watoto kumi na kuwaua wawili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanamgambo kuchukuliwa hatua Libya

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio linalotoa wito wa kusitisha mapigano nchini Libya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani