Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walimu ‘walazimishwa’ kujitolea

WALIMU nchini wametakiwa kuwa wazalendo kwa kuhakikisha wanawafundisha wanafunzi katika muda wa ziada ili kuwaongezea uwezo wa ufaulu katika mitihani yao. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) anayeshughulikia Elimu, Zuberi Samataba wakati akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo walimu na wanafunzi katika Ufundishaji na Ujifunzaji kwa Shule za Sekondari (STEP) yanayoendelea katika mikoa sita nchini.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Walimu Nachingwea wataka hisa Benki ya Walimu ziuzwe kwa simu

Walimu wilayani hapa wamekiomba Chama cha Walimu Tanzania (CWT), kuweka utaratibu utakaowawezesha walimu walioko pembezoni kununua hisa katika Benki ya Walimu ikiwamo ya kutumia kutumia mitandao ya simu za mkononi.

 

5 years ago

Michuzi

JAFO AITAKA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU KUTATUA CHANGAMOTO ZA WALIMU NCHINI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- TAMISEMI, Selemani Jafo ameutaka uongozi mpya wa Tume ya Utumishi wa Walimu kutatua changamoto za walimu ili kuwatia moyo katika kutimiza majukumu yao.

Kauli hiyo ameitoa jijini Dodoma wakati wa kuapishwa wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Walimu .

Jafo amesema kuwa Tume hiyo ndani ya wiki moja ikafanyie kazi mashauri ya rufaa 110 ili walimu waweze kutekeleza majukumu yao katika ubora unaohitajika.

Akizungumza amesema kuwa Tume inatakiwa kufanya kazi kwa weledi wa hali...

 

11 years ago

Mwananchi

Umuhimu wa walimu wazoefu kuwasimamia walimu wapya shuleni

Mwalimu mahiri ni mwalimu mwenye uwezo wa kumudu kufundisha somo lake kikamilifu na kisha kutoa maarifa sahihi kwa mujibu wa maelekezo ya silabasi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanamgambo wahimizwa kujitolea Iraq

Wanamgambo wa Kishia wafanya mhadhara mkubwa kuonesha nguvu dhidi ya ISIS na Marekani kuingilia kati tena Iraq

 

10 years ago

Michuzi

Wataalamu wa kujitolea wakikaribishwa nchini

 Mtaalamu wa kujitolea kutoka nchini Japani Bw. Shota Yanagisawa (aliyesimama) akijitambulisha kwa Kaimu Katibu Mkuu - Utumishi Bw. HAB Mkwizu katika hafla fupi ya kukaribishwa nchini iliyofanyika Utumishi mapema leo.

 Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais - Utumishi Bw. HAB Mkwizu (kushoto) akiwakaribisha wataalamu wa kujitolea kutoka Japani waliokuja kuja kujitambulisha Utumishi mapema leo.

Wataalamu wa kujitolea kutoka nchini Japani wakishukuru baada ya kukaribishwa mapema leo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Shambulio la kujitolea mhanga Benghazi

Shambulio la kwanza la kujitolea mhanga lafanywa Benghazi, Libya

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yahimiza vijana kujitolea

DSC_0277

Afisa Habari wa kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Stella Vuzo aliyemwakilisha Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akiongea na na Vijana (hawapo pichani)  kutoka taasisi mbalimbali na mashirika yasiyokuwa yakiserikali wanaofanyaka kazi za kujitolea kwenye jamii wakati wa  maadhimisho ya siku ya kujitolea kimataifa yaliyofanyika jijini Dar es Salaam. Siku ya Kujitolea duniani...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pinda aipongeza taasisi kwa kujitolea

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, ameipongeza taasisi ya Urafiki na Mshikamano ya Rehema kwa kujitolea katika shughuli mbalimbali za maendeleo ya jamii. Pinda alitoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki baada ya...

 

10 years ago

GPL

SERIKALI YAHIMIZA VIJANA KUJITOLEA‏

Afisa Habari wa kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Stella Vuzo aliyemwakilisha Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akiongea na na Vijana (hawapo pichani) kutoka taasisi mbalimbali na mashirika yasiyokuwa yakiserikali wanaofanyaka kazi za kujitolea kwenye jamii wakati wa maadhimisho ya siku ya kujitolea kimataifa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani