Njooni mtusaidie - Iraq kwa Marekani
Iraq imeomba rasmi usaidizi wa Marekani kushambulia kwa ndege wapiganaji wa kiislamu walioteka miji kadhaa nchini humo wiki hii.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili17 Aug
Marekani yashambulia wapiganaji wa Iraq
Ndege za kijeshi kutoka Marekani zimetekeleza mashambulizi tisa ya angani dhidi ya wanamgambo wa Islamic State kazkazini mwa Iraq
11 years ago
BBCSwahili10 Aug
Marekani yaendeleza mashambulizi Iraq
Marekani imesema kuwa imetekeleza mashambulizi zaidi kazkazini mwa Iraq dhidi ya maeneo yanayodhibitiwa na wapiganaji wa Jihad.
11 years ago
BBCSwahili17 Jun
Marekani kutuma majeshi Iraq
Marekani imetangaza kuwa inatuma wanajeshi 275 nchini Iraq kusaidia kulinda maafisa na Ubalozi wake mjini Bagdad.
11 years ago
BBCSwahili23 Jun
Marekani yashinikiza amani Iraq
Waziri wa maswala ya kigeni nchini Marekani John Kerry amewasili Iraq na kulitahadharisha raifa hilo dhidi ya vita
10 years ago
BBCSwahili16 Aug
Marekani yawashambulia wapiganaji Iraq
Marekani imesema kuwa mashambulizi ya ndege zake zisizo na rubani yameharibu magari mawili ya wapiganaji nchini Iraq.
9 years ago
BBCSwahili29 Dec
Marekani yalipongeza jeshi la Iraq.
Marekani imelipongeza jeshi la Iraq kwa kuweza kuurejesha mji wa Ramadi uliokuwa ukishikiliwa na wapiganaji wa Islamic State.
11 years ago
BBCSwahili09 Aug
Iraq:Marekani yawashambulia wanamgambo
Wizara ya ulinzi nchini Marekani imesema kuwa inaendelea kuwashambulia wanamgambo wa taifa la kiislamu kazkazini mwa Iraq.
11 years ago
BBCSwahili11 Aug
Marekani kendelea kuishambulia Iraq
Marekani imeendeleza mashambulizi ya anga kaskazini mwa Iraq kwa lengo la kuwasaidia Wakrud katika mji wa Erbil dhidi ya wapiganaji wa kiislam wa kundi Jihad.
9 years ago
BBCSwahili14 Oct
Marekani:Jeshi la Iraq lichukue Ramadi
Pentagon imesema kuwa, muda umewaadia kwa kikosi cha wanajeshi wa Iraq waliofunzwa na Marekani kuchukua udhibiti wa mji wa Ramadi, kutoka mikononi mwa kundi hatari la Islamic State.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania