Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Scolari: tutajitahidi dhidi ya Ujerumani

FIFA imekatalia mbali ombi la Brazil la kufutilia mbali marufuku ya Thiago Silva.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

CloudsFM

KOCHA WA BRAZIL,LUIZ FELIPE SCOLARI AFUNGUKA BAADA YA KIPIGO CHA MABAO 7 KWA 1 DHDI YA UJERUMANI

"Ni wakati mbaya zaidi kuwahi kutokea katika kazi yangu ya ukocha na siku mbaya zaidi katika maisha yangu ya soka. Lakini maisha yanaendelea. Nani anawajibika kwa matokeo haya? Ni mimi, ni mimi. Lawama za matokeo haya mabaya zinaweza kutuhusisha wote, lakini mtu aliyeamua timu ya kucheza na mbinu nilikuwa mimi,alisema kocha huyo.Lilikuwa chaguo langu. Tulijitahidi kufanya kila tuwezalo, tulicheza kwa kiwango chetu cha mwisho-lakini tumeishia dhidi ya timu kubwa ya Ujerumani. Hatukukata tamaa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Udukuzi wa Marekani dhidi ya Ujerumani

Ujerumani imeashiria kuwa Marekani imewafanyia udukuzi viongozi wake zaidi ya ilivyodhaniwa hapo awali

 

10 years ago

BBCSwahili

Ujerumani na mikakati dhidi ya Ebola

Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani Frank-Walter Steinmeier anasema nguvu kubwa inahitajika kutokomeza Ebola.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ni Argentina dhidi ya Ujerumani Fainali

Argentina imefuzu kwa fainali ya kombe la dunia baada ya kuilaza Uholanzi 4-2 kwa penalti.

 

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA NA UJERUMANI ZAJADILIANA UHARAMIA DHIDI YA WANYAMAPORI

"Karibu" ndiyo anavyosema Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi wakati akimkaribisha mgeni wake Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Ujerumani katika Umoja wa Mataifa Balozi Harld Braun alipofika kwa mazungumzo katika Uwakilishi wa Tanzania siku ya jumatatu Januari 12, 2015.Wawakilishi hao wawili walizungumzia masuala mbalimbali yenye maslani kwa mataifa hayo mawili, na moja ya masuala hayo ni namna gani Tanzania na...

 

9 years ago

BBCSwahili

Bunge Ujerumani kupigia kura operesheni dhidi ya IS

Bunge nchini Ujerumani leo litapiga kura kuamua iwapo taifa hilo litasaidia katika mashambulio dhidi ya wanamgambo wa Islamic State nchini Syria.

 

11 years ago

BBCSwahili

Scolari;Hofu imetanda kambini

Kocha wa Brazil, Luiz Felipe Scolari amekiri hofu imetanda katika kikosi chake kabla ya mechi dhidi ya Chile

 

11 years ago

BBCSwahili

Scolari adaiwa kukwepa kulipa kodi

Kocha wa timu ya taifa ya Brazil Luiz Felipe Scolari,atachunguzwa na polisi licha ya kocha huyo kukanusha madai kuwa alikwepa kulipa kodi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani