Scolari: tutajitahidi dhidi ya Ujerumani
FIFA imekatalia mbali ombi la Brazil la kufutilia mbali marufuku ya Thiago Silva.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM09 Jul
KOCHA WA BRAZIL,LUIZ FELIPE SCOLARI AFUNGUKA BAADA YA KIPIGO CHA MABAO 7 KWA 1 DHDI YA UJERUMANI
"Ni wakati mbaya zaidi kuwahi kutokea katika kazi yangu ya ukocha na siku mbaya zaidi katika maisha yangu ya soka. Lakini maisha yanaendelea. Nani anawajibika kwa matokeo haya? Ni mimi, ni mimi. Lawama za matokeo haya mabaya zinaweza kutuhusisha wote, lakini mtu aliyeamua timu ya kucheza na mbinu nilikuwa mimi,alisema kocha huyo.
Lilikuwa chaguo langu. Tulijitahidi kufanya kila tuwezalo, tulicheza kwa kiwango chetu cha mwisho-lakini tumeishia dhidi ya timu kubwa ya Ujerumani. Hatukukata tamaa...
10 years ago
BBCSwahili09 Jul
Udukuzi wa Marekani dhidi ya Ujerumani
10 years ago
BBCSwahili20 Oct
Ujerumani na mikakati dhidi ya Ebola
11 years ago
BBCSwahili10 Jul
Ni Argentina dhidi ya Ujerumani Fainali
10 years ago
VijimamboTANZANIA NA UJERUMANI ZAJADILIANA UHARAMIA DHIDI YA WANYAMAPORI
9 years ago
BBCSwahili04 Dec
Bunge Ujerumani kupigia kura operesheni dhidi ya IS
11 years ago
BBCSwahili28 Jun
Scolari;Hofu imetanda kambini
11 years ago
BBCSwahili14 May
Scolari adaiwa kukwepa kulipa kodi