Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Njama ya mashambulizi yatibuliwa Kenya

Polisi mjini Mombasa pwani ya Kenya wamewakamata watu wawili waliokuwa na mabom ndani ya gari lao

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

FBI yatibua njama ya mashambulizi US

Shirika la ujasusi la Marekani FBI huko Ohio limemkamata mwanamume mmoja kwa kupanga njama ya kufanya shambulizi katika eneo la Capitaol ambako mako ya baraza la Congres yapo, mjini Washington

 

11 years ago

Mwananchi

Kenya yaanza njama kwa Kili Stars

Wenyeji Kenya wameingia mchecheto na makali ya Kilimanjaro Stars baada ya kulazimisha mchezo wa nusu fainali ufanyike Machakos badala ya Mombasa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi zaidi Pwani ya Kenya

Watu wasiojulikana wameteketeza nyumba saba katika eneo la kuhifadhi wanyama mjini Lamu , ingawa hakuna vifo vimeripotiwa

 

11 years ago

Habarileo

Watu 29 wauawa katika mashambulizi Kenya

WATU wenye silaha wameua watu 29 katika mashambulizi mawili tofauti eneo la Pwani ya Kenya.

 

10 years ago

Michuzi

Msanii Maarufu Rwanda Kiziti Mihigo Afungwa Miaka 10 Jela kwa Kupanga Njama njama za kupindua serikali na kuua viongozi wake



Muimbaji maarufu wa Rwanda Kizito Mihigo amehukumiwa kifungo cha miaka 10 jela baada ya kushtakiwa kwa njama za kutaka kupindua serikali na kuua viongozi wake na kuonyesha chuki dhidi ya serikali.


Kizito Mihigo awali alisema alikuwa na makosa na kuomba msamaha, akimaanisha hukumu yake ipunguzwe.Kizito Mihigo amekuhumiwa jela miaka 10 kwa njama za kutaka kupindua serikali na kua viongozi wake.

Mshtakiwa mwenzake, Cassien Ntamuhanga kiongozi wa kituo cha redio ya Kikristo, alifungwa miaka 25 kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Ukawa wafichua njama

Wakati kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) ikianza kupitia ripoti ya IPTL kuhusu uchunguzi wa ufisadi katika Akaunti ya Tegeta Escrow, wabunge wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), umedai kwamba kuna mikakati imeandaliwa kuzima ripoti hiyo kusomwa na kujadiliwa bungeni.

 

11 years ago

Mwananchi

Kuna njama kuvuruga Bunge

 Kuna njama. Maneno haya mawili ndiyo yametumiwa na pande mbili zinazopingana ndani ya Bunge Maalumu la Katiba, kuelezea hali iliyojitokeza jana wakati wa kikao cha Bunge hilo kuhusu mvutano wa mabadiliko ya kanuni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Akana njama ya kumuua Mugabe

Makamu wa Rais nchini Zimbabwe, anasema anachukua hatua za kisheria dhidi ya shirika la habari la kitaifa kwa kumhusisha na njama ya kumuua Rais Robert Mugabe.

 

10 years ago

BBCSwahili

Museveni akana njama ya urithi

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amepinga tuhuma kuwa anamuandaa mtoto wake kumrithi katika madaraka ya urais wa nchi hiyo wakati atakapostaafu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani