Akana njama ya kumuua Mugabe
Makamu wa Rais nchini Zimbabwe, anasema anachukua hatua za kisheria dhidi ya shirika la habari la kitaifa kwa kumhusisha na njama ya kumuua Rais Robert Mugabe.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania28 Apr
JK akana njama za kummaliza Mengi
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete ameshtushwa na taarifa za kuhusishwa na mikakati ya kummaliza Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Dk. Reginald Mengi. Kauli hiyo ya Rais Kikwete imekuja siku chache baada ya Dk. Mengi kudai kuwa kiongozi huyo wa nchi ameapa kupambana naye kama ilivyoripotiwa na moja ya magazeti ya kila wiki nchini.
Kauli ya Rais Kikwete ilitolewa jijini Dar es Salaam jana na Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Salva Rweyemamu, alipokuwa akitoa ufafanuzi wa mambo...
10 years ago
BBCSwahili22 Oct
Museveni akana njama ya urithi
11 years ago
Tanzania Daima09 Aug
Waziri atajwa njama za kumuua Dk. Slaa
HALI ya siasa nchini inazidi kuwa tete baada ya Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Stephen Masele, kuhusishwa katika njama za kutaka kumuua Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na...
11 years ago
Tanzania Daima18 Feb
Lulu akana kumuua Kanumba
MSANII maarufu wa filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’, amekana shitaka linalomkabili la kumuua bila kukusudia msanii mwenzake, Steven Kanumba, aliyefariki dunia alfajiri ya Aprili 7, mwaka 2012. Licha ya kukana...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-is_AtRAdld0/VPQhQSQ5BHI/AAAAAAAACD8/oUfBcib_Koc/s72-c/00291460-4e9694611e29a3e22a35b3924757b48d-arc614x376-w614-us1.jpg)
Muimbaji Maarufu Rwanda Afungwa Miaka 10 Jela kwa Kupanga Njama Kumuua Rais Kagame.
![](http://1.bp.blogspot.com/-is_AtRAdld0/VPQhQSQ5BHI/AAAAAAAACD8/oUfBcib_Koc/s640/00291460-4e9694611e29a3e22a35b3924757b48d-arc614x376-w614-us1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CwPhPjmqGpQ/VPQhIv6w8uI/AAAAAAAACDo/o9MyJVrPz6w/s640/kizito2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/KfHg6YGqxZ0/default.jpg)
Msanii Maarufu Rwanda Kiziti Mihigo Afungwa Miaka 10 Jela kwa Kupanga Njama njama za kupindua serikali na kuua viongozi wake
Muimbaji maarufu wa Rwanda Kizito Mihigo amehukumiwa kifungo cha miaka 10 jela baada ya kushtakiwa kwa njama za kutaka kupindua serikali na kuua viongozi wake na kuonyesha chuki dhidi ya serikali.
![](https://3.bp.blogspot.com/-CwPhPjmqGpQ/VPQhIv6w8uI/AAAAAAAACDo/o9MyJVrPz6w/s640/kizito2.jpg)
Kizito Mihigo awali alisema alikuwa na makosa na kuomba msamaha, akimaanisha hukumu yake ipunguzwe.Kizito Mihigo amekuhumiwa jela miaka 10 kwa njama za kutaka kupindua serikali na kua viongozi wake.
Mshtakiwa mwenzake, Cassien Ntamuhanga kiongozi wa kituo cha redio ya Kikristo, alifungwa miaka 25 kwa...
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Ukawa wafichua njama
11 years ago
BBCSwahili18 Mar
Njama ya mashambulizi yatibuliwa Kenya
11 years ago
Mwananchi27 Mar
Kuna njama kuvuruga Bunge