Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shambulizi lililotikisa Kenya zaidi

Jengo lenye maduka kadha ya biashara la WestGate lililojaa wateja lilishambuliwa na magaidi watu wakiwa katika starehe za wikendi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

10 wajeruhiwa kwenye shambulizi Kenya

Angalau watu kumi wamejeruhiwa katika shambulizi la guruneti katika eneo moja la watalii mjini Mombasa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Shambulizi lafanyika pwani ya kenya

Kuna Ripoti ya mashambulizi matatu katika maeneo ya pwani ya kenya karibu na mpaka wa kenya na Somali.

 

11 years ago

BBCSwahili

Shambulizi la kigaidi lawaua 6 Kenya

Watu 6 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi katika mtaa wa Eastleigh,mjini Nairobi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yaomboleza shambulizi la Garissa

kufuatia shambulizi la chuo kikuu cha Garissa,makanisa yote nchini Kenya yatajitolea kuwaombea waathiriwa wa tukio hilo

 

11 years ago

BBCSwahili

4 wauawa katika shambulizi Kenya

Watu 4 wanahofiwa kufariki katika shambulizi la bomu lililokuwa limetegwa katika gari moja karibu na kituo cha polisi mjini Nairobi

 

10 years ago

BBCSwahili

Hofu ya shambulizi yazua mauti Kenya

Mwanafunzi mmoja amefariki na wengine zaidi ya mia moja kujeruhiwa baada ya kukanyagana katika chuo kimoja kikuu nchini Kenya.

 

10 years ago

StarTV

Watu 6 wauawa kufuatia shambulizi Kenya

Takriban watu sita wameuawa baada ya watu watano wanaodaiwa kufinika nyuso zao kushambulia chuo kikuu cha Garrissa Kaskazini mashariki mwa Kenya.

Watu hao wanadaiwa kuingia katika taasisi hiyo mwendo wa saa kumi asubuhi wakati ambapo waislamu walikuwa wakifanya sala yao ya alfajiri.

Hatahivyo maafisa wa polisi wanasema kuwa shambulizi hilo lilifanyika mwendo wa saa kumi na moja unusu.

Mwandishi wa BBC mjini humo anasema kuwa walinzi wawili waliuawa katika lango la chuo hicho huku maafisa...

 

11 years ago

BBCSwahili

200 wakamatwa baada ya shambulizi Kenya

Polisi nchini kenya wamewakamata zaidi ya watu 200 kufuatia mashambulizi ya hapo jana jijni Nairobi ambapo watu 6 waliuawa.

 

11 years ago

Habarileo

Shambulizi la kigaidi laua sita Kenya

WATU sita wameuawa na wengine 25 kujeruhiwa vibaya katika shambulizi la kigaidi katika eneo la California, mtaa wa Eastleigh jijini Nairobi. Kamanda wa Polisi mjini Nairobi, Benson Kibue alisema kuwa milipuko miwili ilitokea wakati magaidi waliporusha mabomu katika migahawa miwili midogo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani