Shambulizi lililotikisa Kenya zaidi
Jengo lenye maduka kadha ya biashara la WestGate lililojaa wateja lilishambuliwa na magaidi watu wakiwa katika starehe za wikendi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili02 Jan
10 wajeruhiwa kwenye shambulizi Kenya
11 years ago
BBCSwahili06 Jul
Shambulizi lafanyika pwani ya kenya
11 years ago
BBCSwahili31 Mar
Shambulizi la kigaidi lawaua 6 Kenya
10 years ago
BBCSwahili05 Apr
Kenya yaomboleza shambulizi la Garissa
11 years ago
BBCSwahili23 Apr
4 wauawa katika shambulizi Kenya
10 years ago
BBCSwahili12 Apr
Hofu ya shambulizi yazua mauti Kenya
10 years ago
StarTV02 Apr
Watu 6 wauawa kufuatia shambulizi Kenya
Takriban watu sita wameuawa baada ya watu watano wanaodaiwa kufinika nyuso zao kushambulia chuo kikuu cha Garrissa Kaskazini mashariki mwa Kenya.
Watu hao wanadaiwa kuingia katika taasisi hiyo mwendo wa saa kumi asubuhi wakati ambapo waislamu walikuwa wakifanya sala yao ya alfajiri.
Hatahivyo maafisa wa polisi wanasema kuwa shambulizi hilo lilifanyika mwendo wa saa kumi na moja unusu.
Mwandishi wa BBC mjini humo anasema kuwa walinzi wawili waliuawa katika lango la chuo hicho huku maafisa...
11 years ago
BBCSwahili01 Apr
200 wakamatwa baada ya shambulizi Kenya
11 years ago
Habarileo02 Apr
Shambulizi la kigaidi laua sita Kenya
WATU sita wameuawa na wengine 25 kujeruhiwa vibaya katika shambulizi la kigaidi katika eneo la California, mtaa wa Eastleigh jijini Nairobi. Kamanda wa Polisi mjini Nairobi, Benson Kibue alisema kuwa milipuko miwili ilitokea wakati magaidi waliporusha mabomu katika migahawa miwili midogo.