Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


200 wakamatwa baada ya shambulizi Kenya

Polisi nchini kenya wamewakamata zaidi ya watu 200 kufuatia mashambulizi ya hapo jana jijni Nairobi ambapo watu 6 waliuawa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Polisi wa Kenya lawamani baada ya shambulizi la Westgate

Siku yenyewe ya shambulio la Westgate ilikua vurugu tupu vikosi vya usalama vilichukua dakika 90 kuwasili katika eneo hilo

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakamatwa na nyara za mil. 200/-

WATU sita wakazi wa wilayani ya Manyoni mkoani Singida, wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kukutwa na nyara za serikali zenye thamani ya zaidi ya sh. milioni 200....

 

10 years ago

BBCSwahili

Albino:Zaidi ya waganga 200 wakamatwa TZ

Zaidi ya waganga 200 wa kienyeji wamekamatwa nchini Tanzania katika juhudi za kusitisha mauaji ya Albino.

 

10 years ago

Mtanzania

Waliotembea km 1, 200 kwenda Ikulu wakamatwa

Pg 1

 

Na Elias Msuya
ILE safari ya zaidi ya kilometa 1,200 ya makada watatu wa Chadema kutoka mkoani Geita waliotaka kwenda Ikulu ya Dar es Salaam kumwona Rais Jakaya Kikwete, imeishia mikononi mwa polisi baada ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana, kuwazuia kuendelea na safari yao hadi watakapopata maelekezo.
Vijana hao, Khalid Selemani, Athanas Michael na Juma Maganga, walisema wameamua kutembea kwa miguu kwa siku 37 ili kumfikishia Rais Kikwete ujumbe wao kuhusu kupinga ufisadi,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Hali mjini Mandera baada ya shambulizi

Wachimba mawe 20 wametozwa faini ya shilingi elfu 60,000 na mahakama moja ya Mandera kenya kwa kukaidi amri ya serikali

 

10 years ago

BBCSwahili

Shambulizi lililotikisa Kenya zaidi

Jengo lenye maduka kadha ya biashara la WestGate lililojaa wateja lilishambuliwa na magaidi watu wakiwa katika starehe za wikendi.

 

11 years ago

BBCSwahili

10 wajeruhiwa kwenye shambulizi Kenya

Angalau watu kumi wamejeruhiwa katika shambulizi la guruneti katika eneo moja la watalii mjini Mombasa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Shambulizi la kigaidi lawaua 6 Kenya

Watu 6 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi katika mtaa wa Eastleigh,mjini Nairobi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yaomboleza shambulizi la Garissa

kufuatia shambulizi la chuo kikuu cha Garissa,makanisa yote nchini Kenya yatajitolea kuwaombea waathiriwa wa tukio hilo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani