Shambulizi la kigaidi lawaua 6 Kenya
Watu 6 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi katika mtaa wa Eastleigh,mjini Nairobi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo02 Apr
Shambulizi la kigaidi laua sita Kenya
WATU sita wameuawa na wengine 25 kujeruhiwa vibaya katika shambulizi la kigaidi katika eneo la California, mtaa wa Eastleigh jijini Nairobi. Kamanda wa Polisi mjini Nairobi, Benson Kibue alisema kuwa milipuko miwili ilitokea wakati magaidi waliporusha mabomu katika migahawa miwili midogo.
10 years ago
BBCSwahili22 Jun
Shambulizi lawaua watu 4 Burundi
10 years ago
BBCSwahili12 Apr
Shambulizi lawaua wanajesi 3 wa Saudia
11 years ago
BBCSwahili03 Aug
Shambulizi la Israel lawaua watu 10
10 years ago
BBCSwahili02 May
Shambulizi la muungano lawaua 50 Syria
11 years ago
BBCSwahili05 Feb
Shambulizi lawaua watoto 6 Libya
10 years ago
StarTV29 Jun
Shambulizi la Guruneti lawaua watu 4 Burundi
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/18/150518160556_burundi_640x360__nocredit.jpg)
Burundi
Polisi nchini Burundi wanasema kuwa watu wanne wameuawa na wengine karibu 30 kujeruhiwa kwenye mashambulizi ya guruneti Jumapili usiku.
Mashambulizi hayo yalifanyika katika miji mitatu ukiwemo mji mkuu Bujumbura.
Polisi wanasema kuwa guruneti hizo zilirushwa na wafuasi wa upinzani ambao wanataka kuvuruga uchaguzi mkuu unaokuja.
Siku ya ijumaa watu 11 walijeruhiwa kwenye misururu ya mashambulizi ya guruneti.
Burundi imekumbwa na ghasia zilizoendeshwa na wapinzani wa rais Nkurunziza...
10 years ago
BBCSwahili07 Jul
Kumbukumbu la Shambulizi la kigaidi London
10 years ago
BBCSwahili14 Sep
Uganda yatibua shambulizi la kigaidi