Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uganda yatibua shambulizi la kigaidi

Uganda imeimarisha usalama katika maeneo mengi ya uma katika mji mkuu wa kampala kufuatia kutibuliwa kwa shambulizi la kigaidi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Tunisia yatibua shambulio la kigaidi

Mamlaka nchini Tunisia imesema kuwa imewakamata wapiganaji 16 na kutibua shambulio ambalo huenda lingekuwa kubwa kuwahi kutokea mwezi huu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Shambulizi la kigaidi lawaua 6 Kenya

Watu 6 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi katika mtaa wa Eastleigh,mjini Nairobi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kumbukumbu la Shambulizi la kigaidi London

Raia wa Uingereza leo wameadhimisha mia kumi tangu shambulio la kigaidi katika kituo kimoja cha treni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Shambulizi la Kigaidi Mali limezimwa

Maafisa wa Usalama wa Mali wamevamia hoteli iliyokuwa imetekwa na wapiganaji na kuwaokoa raia wa kigeni

 

9 years ago

BBCSwahili

Polisi: Shambulizi la kisu London ni la 'kigaidi'

Idara ya polisi nchini Uingereza inasema kuwa inalichukulia kisa cha udungaji kisu katika kituo cha gari moshi jijini London, kama tendo la kigaidi.

 

11 years ago

Habarileo

Shambulizi la kigaidi laua sita Kenya

WATU sita wameuawa na wengine 25 kujeruhiwa vibaya katika shambulizi la kigaidi katika eneo la California, mtaa wa Eastleigh jijini Nairobi. Kamanda wa Polisi mjini Nairobi, Benson Kibue alisema kuwa milipuko miwili ilitokea wakati magaidi waliporusha mabomu katika migahawa miwili midogo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Israel yatibua njama ya Hamas

Serikali ya Israel inasema kuwa maafisa wake wa usalama, wamegundua kuwa kundi la Hamas katika ukingo wa Magharibi lilikuwa linapanga kufanya mashambulizi kadhaa mjini Jerusalm.

 

10 years ago

Mwananchi

Mapinduzi yatibua ratiba ligi

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limepangua ratiba ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara ili kuziwezesha timu nne kushiriki Kombe la Mapinduzi linalotarajiwa kuanza kesho kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kodi ya matandao yatibua maandamano

Maandamano dhidi ya matumizi ya Mtandao Hungary na Google kujiunga na kampeini dhidi ya Saratani katika makala ya wiki hii ya Teknolojia

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani