Shambulizi la Kigaidi Mali limezimwa
Maafisa wa Usalama wa Mali wamevamia hoteli iliyokuwa imetekwa na wapiganaji na kuwaokoa raia wa kigeni
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili14 Sep
Uganda yatibua shambulizi la kigaidi
Uganda imeimarisha usalama katika maeneo mengi ya uma katika mji mkuu wa kampala kufuatia kutibuliwa kwa shambulizi la kigaidi.
11 years ago
BBCSwahili31 Mar
Shambulizi la kigaidi lawaua 6 Kenya
Watu 6 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi katika mtaa wa Eastleigh,mjini Nairobi.
10 years ago
BBCSwahili07 Jul
Kumbukumbu la Shambulizi la kigaidi London
Raia wa Uingereza leo wameadhimisha mia kumi tangu shambulio la kigaidi katika kituo kimoja cha treni.
11 years ago
Habarileo02 Apr
Shambulizi la kigaidi laua sita Kenya
WATU sita wameuawa na wengine 25 kujeruhiwa vibaya katika shambulizi la kigaidi katika eneo la California, mtaa wa Eastleigh jijini Nairobi. Kamanda wa Polisi mjini Nairobi, Benson Kibue alisema kuwa milipuko miwili ilitokea wakati magaidi waliporusha mabomu katika migahawa miwili midogo.
9 years ago
BBCSwahili06 Dec
Polisi: Shambulizi la kisu London ni la 'kigaidi'
Idara ya polisi nchini Uingereza inasema kuwa inalichukulia kisa cha udungaji kisu katika kituo cha gari moshi jijini London, kama tendo la kigaidi.
10 years ago
BBCSwahili30 Jan
26 Wauawa Kigaidi,Misri
Takriban watu 26 wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi lililotekelezwa na Islamic State.
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
EU kupambana na mashambulio ya kigaidi
EU yaungana na nchi ulimwenguni kukabiliana na wapiganaji wa dola ya kiislam.
10 years ago
BBCSwahili16 Jul
Ufaransa yakwamisha shambulio la Kigaidi
Waziri wa Mambo ya ndani wa Ufaransa Bernard Cazeneuve amesema vyombo vya usalama nchini humo vimefanikiwa kuwakamata watu wane wanaodaiwa kupanga njama za kigaidi
10 years ago
BBCSwahili23 Oct
Canada yakumbwa na shambulio la Kigaidi
Mwanajeshi mmoja ameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa nje na ndani ya Bunge la Canada mjini Ottawa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania