Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shambulizi la Kigaidi Mali limezimwa

Maafisa wa Usalama wa Mali wamevamia hoteli iliyokuwa imetekwa na wapiganaji na kuwaokoa raia wa kigeni

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Uganda yatibua shambulizi la kigaidi

Uganda imeimarisha usalama katika maeneo mengi ya uma katika mji mkuu wa kampala kufuatia kutibuliwa kwa shambulizi la kigaidi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Shambulizi la kigaidi lawaua 6 Kenya

Watu 6 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi katika mtaa wa Eastleigh,mjini Nairobi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kumbukumbu la Shambulizi la kigaidi London

Raia wa Uingereza leo wameadhimisha mia kumi tangu shambulio la kigaidi katika kituo kimoja cha treni.

 

11 years ago

Habarileo

Shambulizi la kigaidi laua sita Kenya

WATU sita wameuawa na wengine 25 kujeruhiwa vibaya katika shambulizi la kigaidi katika eneo la California, mtaa wa Eastleigh jijini Nairobi. Kamanda wa Polisi mjini Nairobi, Benson Kibue alisema kuwa milipuko miwili ilitokea wakati magaidi waliporusha mabomu katika migahawa miwili midogo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Polisi: Shambulizi la kisu London ni la 'kigaidi'

Idara ya polisi nchini Uingereza inasema kuwa inalichukulia kisa cha udungaji kisu katika kituo cha gari moshi jijini London, kama tendo la kigaidi.

 

10 years ago

BBCSwahili

26 Wauawa Kigaidi,Misri

Takriban watu 26 wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi lililotekelezwa na Islamic State.

 

10 years ago

BBCSwahili

EU kupambana na mashambulio ya kigaidi

EU yaungana na nchi ulimwenguni kukabiliana na wapiganaji wa dola ya kiislam.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ufaransa yakwamisha shambulio la Kigaidi

Waziri wa Mambo ya ndani wa Ufaransa Bernard Cazeneuve amesema vyombo vya usalama nchini humo vimefanikiwa kuwakamata watu wane wanaodaiwa kupanga njama za kigaidi

 

10 years ago

BBCSwahili

Canada yakumbwa na shambulio la Kigaidi

Mwanajeshi mmoja ameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa nje na ndani ya Bunge la Canada mjini Ottawa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani