Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


26 Wauawa Kigaidi,Misri

Takriban watu 26 wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi lililotekelezwa na Islamic State.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Misri:Hamas si kundi la kigaidi

Mahakama nchini Misri imefuta hukumu ya awali ambayo ilikitaja chama cha Hamas cha Palestina kama kikundi cha kigaidi.

 

9 years ago

Bongo5

Watu 153 wauawa kwenye matukio ya kigaidi jijini Paris, Ufaransa

2E6CE39A00000578-3317776-image-a-21_1447457824193

Ufaransa imetangaza hali ya tahadhari na kuimarisha ulinzi kwenye mipaka yake baada ya watu takriban 153 kuuawa jana usiku kwenye mashambulio ya mabomu na bunduki kwenye mji mkuu, Paris.

2E6C9FB000000578-3317776-Two_police_officials_said_at_least_11_people_were_killed_in_the_-a-63_1447454685404

Takriban watu 100 waliuwa baada ya watu wenye silaha kuvamia kwenye ukumbi wa Bataclan na kuwashikilia mateka.

Watu wengi walipigwa risasi na kuuawa kwenye baa na migahawa kwenye maeneo mengine matano jijini humo. Washambuliaji wanane wanadaiwa kuwa wameuawa.

2E6CE39A00000578-3317776-image-a-21_1447457824193

Wakazi wa Paris wameombwa kujifungia majumbani...

 

10 years ago

BBCSwahili

18 wauawa Misri

Serikali ya Misri imesema watu kumi na wanane akiwemo Polisi mmoja wameuawa wakati wa maandamano nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 27 wauawa Misri

Wanamgambo 27 wa kiislamu wameuawa kwenye oparesheni kubwa ilioendeshwa na jeshi la Misri katika eneo la Sinai Kaskazini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Polisi 5 wauawa Misri

Maafisa 5 wa polisi wameuawa nchini Misri katika shambulizi katika izuizi kimoja cha polisi mjini Cairo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Maafisa 4 wa usalama wauawa Misri

Maafisa wanne wa usalama nchini Misri wameuawa katika shambulio la uendeshaji kulingana na maafisa wa usalama.

 

11 years ago

BBCSwahili

Maafisa wa jeshi wauawa Misri

Maafisa 2 wa jeshi na wapiganaji 5 wa kiisilamu, wameuawa katika makabiliano ya kufyatuliana risasi wakati jeshi lilipokuwa linafanya msako nchini Misri

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi sita wauawa Misri

Watu wasiojulikana wamewashambulia wanajeshi waliokuwa wanashika doria katika kizuizi cha barabarani viungani mwa mji mkuu Misri.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu 16 wauawa mgahawani Misri

Watu 16 wameuawa katika mji mkuu wa Mirsi, Cairo, baada ya bomu kulipuliwa kwenye mgahawa mmoja, ripoti zinasema.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani