Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi 5 wauawa Misri

Maafisa 5 wa polisi wameuawa nchini Misri katika shambulizi katika izuizi kimoja cha polisi mjini Cairo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Polisi 6 wauawa katika mlipuko Misri

Polisi 6 wameuawa katika mlipuko uliotokea barabarani katika rasi ya Sinai Misri

 

11 years ago

BBCSwahili

Polisi wawili wauawa nchini Misri

Maafisa wawili wa polisi nchini Misri wameuawa kufuatia shambulizi la risasi .

 

11 years ago

BBCSwahili

Polisi 2 wauawa karibu na Ikulu Misri

Mabomu mawili yamelipuka karibu na Ikulu ya Rais mjini Cairo, nchini Misri na kuwaua maafisa wawili wa polisi

 

10 years ago

BBCSwahili

18 wauawa Misri

Serikali ya Misri imesema watu kumi na wanane akiwemo Polisi mmoja wameuawa wakati wa maandamano nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 27 wauawa Misri

Wanamgambo 27 wa kiislamu wameuawa kwenye oparesheni kubwa ilioendeshwa na jeshi la Misri katika eneo la Sinai Kaskazini.

 

10 years ago

BBCSwahili

26 Wauawa Kigaidi,Misri

Takriban watu 26 wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi lililotekelezwa na Islamic State.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi sita wauawa Misri

Watu wasiojulikana wamewashambulia wanajeshi waliokuwa wanashika doria katika kizuizi cha barabarani viungani mwa mji mkuu Misri.

 

10 years ago

BBCSwahili

Askari 15 wa Misri wauawa barabarani

Misri imesema kuwa mtu mmoja aliyekuwa na silaha amewaua askari kumi na watano katika shambulio la kizuizi cha barabarani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu 16 wauawa mgahawani Misri

Watu 16 wameuawa katika mji mkuu wa Mirsi, Cairo, baada ya bomu kulipuliwa kwenye mgahawa mmoja, ripoti zinasema.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani