Polisi 6 wauawa katika mlipuko Misri
Polisi 6 wameuawa katika mlipuko uliotokea barabarani katika rasi ya Sinai Misri
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*6ZFuLsTz61Pv1fPCe90nMLH1sTTraWkFqOujwM6FZf84B3wriHIeHSggSUQWi4Ga3JW8fe5Go4LJ9ej0E0B81gtEXNaXEQ-/BOMU.jpg)
MLIPUKO WAUA MAOFISA WA POLISI MISRI
Maofisa wa polisi wakiwa eneo ulipotokea mlipuko huo. MAOFISA wawili wa polisi wameuawa katika mlipuko wa bomu uliotokea leo kwenye wilaya ya Bulaq Abu-al-Ila jirani na Wizara ya Mambo ya Nje jijini Cairo nchini Misri. Mlipuko huo umetokea katika mtaa uliojaa watu wengi jirani na Mto Nile na bomu hilo linadaiwa kutegwa chini ya mti uliokuwa katika eneo hilo. Mpaka sasa hakuna kundi lolote lililodai kuhusika na shambulio hilo....
10 years ago
BBCSwahili10 Mar
Mlipuko watokea kambi ya Polisi Misri
Mtu mmoja ameuawa na wengine 24 wamejeruhiwa baada ya Mtu mmoja kujitoa muhanga akilenga Kambi ya Polisi, Maafisa wameeleza.
11 years ago
BBCSwahili23 Jan
Polisi 5 wauawa Misri
Maafisa 5 wa polisi wameuawa nchini Misri katika shambulizi katika izuizi kimoja cha polisi mjini Cairo.
11 years ago
BBCSwahili19 May
5 wauawa katika mlipuko Nigeria
Watu 5 akiwemo mshambuliaji wauawa katika mlipuko wa bomu katika gari, kaskazini mashariki mwa Nigeria
11 years ago
BBCSwahili20 Apr
Polisi wawili wauawa nchini Misri
Maafisa wawili wa polisi nchini Misri wameuawa kufuatia shambulizi la risasi .
11 years ago
BBCSwahili30 Jun
Polisi 2 wauawa karibu na Ikulu Misri
Mabomu mawili yamelipuka karibu na Ikulu ya Rais mjini Cairo, nchini Misri na kuwaua maafisa wawili wa polisi
11 years ago
BBCSwahili20 May
Watu 46 wauawa katika mlipuko Nigeria
Zaidi ya watu 46 wameripotiwa kufa katika milipuko miwili iliyotokea jos Nigeria
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6Yi1*KCqJUSszRNDQeKn1cjkz6ZQPyU2Mv04SQOz9sI8G**ZhrOHbxdYVqvoWfqebURH3inX6hUlXjuiQEFA9kS5w7cRzJXV/BREAKINGNEWS.gif)
TISA WAUAWA KATIKA MLIPUKO NIGERIA
WATU zaidi ya tisa wamepoteza maisha wakati kadhaa wakijeruhiwa katika mlipuko mkubwa uliotokea karibu na kituo cha basi eneo la Nyanya nchini Nigeria!
9 years ago
BBCSwahili25 Aug
Watoto 10 wauawa katika mlipuko Afghanistan
Mlipuko mkubwa nje ya kituo cha kusambaza gesi katika mji wa Herat nchini Afghanistan, umesababisha vifo vya watoto kumi na mtu mzima mmoja.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania