Watoto 10 wauawa katika mlipuko Afghanistan
Mlipuko mkubwa nje ya kituo cha kusambaza gesi katika mji wa Herat nchini Afghanistan, umesababisha vifo vya watoto kumi na mtu mzima mmoja.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili15 Jul
50 wauawa katika shambulizi Afghanistan
Ripoti zinasema kuwa takriban watu 50 wameuawa katika shambulizi la bomu lililotokea katika soko moja mashariki mwa Afghanistan
5 years ago
CCM BlogASKARI 7 WAUAWA KATIKA SHAMBULIZI AFGHANISTAN
Askari 7 wameuawa katika shambulizi la silaha lililotekelezwa na wanamgambo wa Taliban katika kituo cha jeshi magharibi mwa Afghanistan.
Wizara ya Ulinzi imetangaza kwamba wanamgambo walishambulia kituo cha jeshi katika kijiji cha Akazi wilayani Bala Murgab.
Imeelezwa kuwa askari 7 wamepoteza maisha yao na askari 5 wamejeruhiwa katika shambulizi hilo.
Hata hivyo, inasemekana kuwa Taliban nao wamepoteza idadi kubwa ya wanamgambo wao wakati wa shambulizi hilo.
Wizara ya Ulinzi imetangaza kwamba wanamgambo walishambulia kituo cha jeshi katika kijiji cha Akazi wilayani Bala Murgab.
Imeelezwa kuwa askari 7 wamepoteza maisha yao na askari 5 wamejeruhiwa katika shambulizi hilo.
Hata hivyo, inasemekana kuwa Taliban nao wamepoteza idadi kubwa ya wanamgambo wao wakati wa shambulizi hilo.
11 years ago
BBCSwahili19 May
5 wauawa katika mlipuko Nigeria
Watu 5 akiwemo mshambuliaji wauawa katika mlipuko wa bomu katika gari, kaskazini mashariki mwa Nigeria
10 years ago
BBCSwahili16 Sep
Polisi 6 wauawa katika mlipuko Misri
Polisi 6 wameuawa katika mlipuko uliotokea barabarani katika rasi ya Sinai Misri
11 years ago
BBCSwahili20 May
Watu 46 wauawa katika mlipuko Nigeria
Zaidi ya watu 46 wameripotiwa kufa katika milipuko miwili iliyotokea jos Nigeria
10 years ago
BBCSwahili07 Nov
Watu 10 wauawa katika mlipuko Nigeria
Ripoti za kaskazini mwa Nigeria zinasema kuwa watu kadhaa wameuawa na mlipuko wa bomu karibu na mashine ya kutoa pesa ya ATM.
11 years ago
GPLTISA WAUAWA KATIKA MLIPUKO NIGERIA
WATU zaidi ya tisa wamepoteza maisha wakati kadhaa wakijeruhiwa katika mlipuko mkubwa uliotokea karibu na kituo cha basi eneo la Nyanya nchini Nigeria!
5 years ago
CCM Blog25 May
WATU 25 WAUAWA NA KUJERUHIWA KATIKA MLIPUKO WA BOMU KUSINI MWA SOMALIA
Duru za habari nchini Somalia zimeripoti kujiri mripuko wa bomu Jumapili usiku katika mji wa Baidoa, kusini mwa nchi hiyo.Kwa mujibu wa ripoti, bomu hilo liliripuka wakati wa sherehe za Idul-Fitr katika mji huo. Aidha duru za habari zimearifu kwamba katika hujuma hiyo kwa akali watu watano wameuawa na wengine 20 wamejeruhiwa. Hadi sasa hakuna kundi lililotangaza kuhusika na shambulizi hilo, ingawa inadhaniwa kwamba kundi la kigaidi la ash-Shabab ndilo lililotekeleza jinai hiyo. Kundi la...
11 years ago
BBCSwahili25 Feb
Watoto milioni moja wauawa katika Vita
'Zaidi ya watoto milioni moja hufariki dunia kila mwaka katika siku yao ya kwanza ya maisha' Shirika la Save the Children.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania