Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watoto 10 wauawa katika mlipuko Afghanistan

Mlipuko mkubwa nje ya kituo cha kusambaza gesi katika mji wa Herat nchini Afghanistan, umesababisha vifo vya watoto kumi na mtu mzima mmoja.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

50 wauawa katika shambulizi Afghanistan

Ripoti zinasema kuwa takriban watu 50 wameuawa katika shambulizi la bomu lililotokea katika soko moja mashariki mwa Afghanistan

 

5 years ago

CCM Blog

ASKARI 7 WAUAWA KATIKA SHAMBULIZI AFGHANISTAN

  Askari 7 wameuawa katika shambulizi la silaha lililotekelezwa na wanamgambo wa Taliban katika kituo cha jeshi magharibi mwa Afghanistan.

Wizara ya Ulinzi imetangaza kwamba wanamgambo walishambulia kituo cha jeshi katika kijiji cha Akazi wilayani Bala Murgab.

Imeelezwa kuwa askari 7 wamepoteza maisha yao na askari 5 wamejeruhiwa katika shambulizi hilo.

Hata hivyo, inasemekana kuwa Taliban nao wamepoteza idadi kubwa ya wanamgambo wao wakati wa shambulizi hilo.

 

11 years ago

BBCSwahili

5 wauawa katika mlipuko Nigeria

Watu 5 akiwemo mshambuliaji wauawa katika mlipuko wa bomu katika gari, kaskazini mashariki mwa Nigeria

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi 6 wauawa katika mlipuko Misri

Polisi 6 wameuawa katika mlipuko uliotokea barabarani katika rasi ya Sinai Misri

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 46 wauawa katika mlipuko Nigeria

Zaidi ya watu 46 wameripotiwa kufa katika milipuko miwili iliyotokea jos Nigeria

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 10 wauawa katika mlipuko Nigeria

Ripoti za kaskazini mwa Nigeria zinasema kuwa watu kadhaa wameuawa na mlipuko wa bomu karibu na mashine ya kutoa pesa ya ATM.

 

11 years ago

GPL

TISA WAUAWA KATIKA MLIPUKO NIGERIA

WATU zaidi ya tisa wamepoteza maisha wakati kadhaa wakijeruhiwa katika mlipuko mkubwa uliotokea karibu na kituo cha basi eneo la Nyanya nchini Nigeria!

 

5 years ago

CCM Blog

WATU 25 WAUAWA NA KUJERUHIWA KATIKA MLIPUKO WA BOMU KUSINI MWA SOMALIA

Watu 25 wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu kusini mwa SomaliaDuru za habari nchini Somalia zimeripoti kujiri mripuko wa bomu Jumapili usiku katika mji wa Baidoa, kusini mwa nchi hiyo.Kwa mujibu wa ripoti, bomu hilo liliripuka wakati wa sherehe za Idul-Fitr katika mji huo. Aidha duru za habari zimearifu kwamba katika hujuma hiyo kwa akali watu watano wameuawa na wengine 20 wamejeruhiwa. Hadi sasa hakuna kundi lililotangaza kuhusika na shambulizi hilo, ingawa inadhaniwa kwamba kundi la kigaidi la ash-Shabab ndilo lililotekeleza jinai hiyo. Kundi la...

 

11 years ago

BBCSwahili

Watoto milioni moja wauawa katika Vita

'Zaidi ya watoto milioni moja hufariki dunia kila mwaka katika siku yao ya kwanza ya maisha' Shirika la Save the Children.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani