ASKARI 7 WAUAWA KATIKA SHAMBULIZI AFGHANISTAN
![](https://1.bp.blogspot.com/-BXXO5euNIhI/XvQ2PkABGqI/AAAAAAAAWto/4k1yE8Jo3eQ_zRCd-gZTsN7V37BiAuKrwCLcBGAsYHQ/s72-c/5bd4209b5ce5e.jpg)
Askari 7 wameuawa katika shambulizi la silaha lililotekelezwa na wanamgambo wa Taliban katika kituo cha jeshi magharibi mwa Afghanistan.
Wizara ya Ulinzi imetangaza kwamba wanamgambo walishambulia kituo cha jeshi katika kijiji cha Akazi wilayani Bala Murgab.
Imeelezwa kuwa askari 7 wamepoteza maisha yao na askari 5 wamejeruhiwa katika shambulizi hilo.
Hata hivyo, inasemekana kuwa Taliban nao wamepoteza idadi kubwa ya wanamgambo wao wakati wa shambulizi hilo.
CCM Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili15 Jul
50 wauawa katika shambulizi Afghanistan
11 years ago
BBCSwahili23 Apr
4 wauawa katika shambulizi Kenya
10 years ago
Vijimambo15 Apr
17 wauawa katika shambulizi la Al Shabaab
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/28/150328014047_somalia_hotel_attack_2_624x351_afp.jpg)
Watu 17 wameripotiwa kuuawa na wengine 20 kujeruhiwa vibaya wakati wanamgambo wa Kiislamu wa Al Shaabab waliposhambulia majengo ya wizara ya elimu mjini Mogadishu,Somalia.
Mwandishi wa BBC Mohammed Moalimu,amesema kuwa wavamizi hao walilipua bomu lililotegwa ndani ya gari kwenye ukuta wa jengo hilo
Kulingana na msemaji wa idara ya usalama wa ndani Mohammed Yusuf...
10 years ago
BBCSwahili26 Jul
14 wauawa katika shambulizi Cameroon.
9 years ago
BBCSwahili25 Aug
Watoto 10 wauawa katika mlipuko Afghanistan
11 years ago
BBCSwahili21 May
17 wauawa katika shambulizi Borno,Nigeria
10 years ago
BBCSwahili13 Jul
Polisi 4 wauawa katika shambulizi Tanzania
10 years ago
BBCSwahili17 May
2 wauawa katika shambulizi la bomu Kabul
10 years ago
BBCSwahili22 Jun
Shambulizi la bunge Afghanistan lasitishwa