Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shambulizi la bunge Afghanistan lasitishwa

Serikali ya Afghanistan inasema kuwa imefanikiwa kusitisha shambulio katika bunge na kuweza kuwaua washambuliaji wote.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

50 wauawa katika shambulizi Afghanistan

Ripoti zinasema kuwa takriban watu 50 wameuawa katika shambulizi la bomu lililotokea katika soko moja mashariki mwa Afghanistan

 

5 years ago

CCM Blog

ASKARI 7 WAUAWA KATIKA SHAMBULIZI AFGHANISTAN

  Askari 7 wameuawa katika shambulizi la silaha lililotekelezwa na wanamgambo wa Taliban katika kituo cha jeshi magharibi mwa Afghanistan.

Wizara ya Ulinzi imetangaza kwamba wanamgambo walishambulia kituo cha jeshi katika kijiji cha Akazi wilayani Bala Murgab.

Imeelezwa kuwa askari 7 wamepoteza maisha yao na askari 5 wamejeruhiwa katika shambulizi hilo.

Hata hivyo, inasemekana kuwa Taliban nao wamepoteza idadi kubwa ya wanamgambo wao wakati wa shambulizi hilo.

 

11 years ago

GPL

BUNGE LA KATIBA LASITISHWA KWA MUDA BAADA YA ZOMEA ZOMEA YA WAJUMBE

Shughuli za Bunge Maalum la Katiba zimeshindwa kuendelea jioni hii ambapo Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Sinde Warioba alitakiwa kuwasilisha Rasimu ya Katiba kwenye Bunge hilo. Kabla hajaanza, wajumbe walianza kuzomea wengine wakipiga kelele ndipo Mwenyekiti wa Kudumu wa Bunge hilo, Samuel Sitta alipoamua kusitisha shughuli za bunge mpaka… ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Bunge la Afghanistan lashambuliwa

Ripoti zinasema kuwa kumetokea mlipuko mkubwa karibu na bunge la Afghanistan huko Kabul .

 

10 years ago

BBCSwahili

Taleban yashambulia bunge la Afghanistan

Serikali ya Afghanistan inasema kuwa imefanikiwa kusitisha shambulio katika bunge na kuweza kuwaua washambuliaji wote.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugaidi:Shindano lasitishwa Ujerumani

Polisi wa Ujerumani wamefuta mashindano ya kimataifa ya baiskeli yaliyotarajiwa kufanyika ijumaa katika mji wa Frankfurt, kwa hofu ya shambulio la kigaidi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Zoezi la uokoaji lasitishwa A.kusini

Operesheni ya kuokoa wachimba madini waliokwama kwenye shimo la mgodi yasitishwa

 

11 years ago

GPL

ZOEZI LA KUITAFUTA NDEGE YA MALAYSIA LASITISHWA

Meli ya Australia ikiwa kwenye zoezi la utafutaji wa ndege ya Malaysia iliyopotea kabla ya zoezi hilo kusitishwa. Mmoja wa ndugu wa abiria waliokuwemo kwenye ndege iliyopotea akilia kwa simanzi baada ya taarifa kuwa ndege hiyo ilianguka kusini mwa bahari ya Hindi. IDARA ya usalama wa baharini ya Australia imetangaza kwamba shughuli za kuitafuta… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani