Ugaidi:Shindano lasitishwa Ujerumani
Polisi wa Ujerumani wamefuta mashindano ya kimataifa ya baiskeli yaliyotarajiwa kufanyika ijumaa katika mji wa Frankfurt, kwa hofu ya shambulio la kigaidi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi31 May
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6xzDXLZEGutO9vx3lEh5wtOstOP24B9me-e2PcfG8l1JEOjuImcue0t0QV9D6eFNEniUJXpgqP4qmFAic9IdiMjbT10b01dQ/BACKUWAZI.gif?width=650)
MAUAJI YA POLISI 2 MKOA WA PWANI UGAIDI UGAIDI
Makongoro Oging’ na Issa Mnally
HUKU watu wakisherehekea Sikukuu ya Pasaka kwa vifijo, shangwe na nderemo, kwa familia za polisi waliouawa Vikindu wilayani Mkuranga, Pwani, Sajenti Michael Aaron Tuheri (49) na Koplo Francis Mkinga (53) ilikuwa ni huzuni kutokana na vifo vya wapendwa wao hao. Mauaji ya polisi hayo yamewaacha ndugu na jeshi la polisi nchini katika hali ya huzuni huku yakifananishwa na yale yaliyotokea...
11 years ago
BBCSwahili17 Feb
Zoezi la uokoaji lasitishwa A.kusini
Operesheni ya kuokoa wachimba madini waliokwama kwenye shimo la mgodi yasitishwa
10 years ago
BBCSwahili22 Jun
Shambulizi la bunge Afghanistan lasitishwa
Serikali ya Afghanistan inasema kuwa imefanikiwa kusitisha shambulio katika bunge na kuweza kuwaua washambuliaji wote.
11 years ago
GPLWIKI 3 KUELEKEA FAINALI YA SHINDANO LA TMT, WASHIRIKI WENGINE 2VWAAGA SHINDANO
 Joyce Kalinga Mshiriki wa Shindano la TMT ambae apia alikua mshindi kutoka Kanda ya Kati Mkoani Dodoma akitoa maneno yake ya shukrani na pia kuwashukuru wadau, Kampuni ya Proin Promotions na watazamaji na waliompigia kura japokuwa bahati haikuwa yake kutokana na kutolewa kwenye kinyanganyiro hicho baada na uchache wa kura kutoka kwa watazamaji.  Lulu na Joti wakitoa maelekezo kwa washiriki wawili wa Shindano la TMT...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DqaYw0w2aP8foRkCOeqdd2DOFNoVqzMWWoZ7F00Qia9LJArtTT3Z9icxU0yJ680WTjQWyQ*STrZTlTWc7ZUZ*qygUHULCgHD/MELI.jpg)
ZOEZI LA KUITAFUTA NDEGE YA MALAYSIA LASITISHWA
Meli ya Australia ikiwa kwenye zoezi la utafutaji wa ndege ya Malaysia iliyopotea kabla ya zoezi hilo kusitishwa. Mmoja wa ndugu wa abiria waliokuwemo kwenye ndege iliyopotea akilia kwa simanzi baada ya taarifa kuwa ndege hiyo ilianguka kusini mwa bahari ya Hindi. IDARA ya usalama wa baharini ya Australia imetangaza kwamba shughuli za kuitafuta… ...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ySdVWq-YR30/VDz08xfx2II/AAAAAAAGqdo/uvb42TWAlbM/s72-c/unnamed%2B(46).jpg)
ZOEZI LA UOPOAJI WA MIILI KATIKA AJALI YA MITUMBWI ZIWA TANGANYIKA LASITISHWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ySdVWq-YR30/VDz08xfx2II/AAAAAAAGqdo/uvb42TWAlbM/s1600/unnamed%2B(46).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-laDMM-_ZONY/VDz0x66UPsI/AAAAAAAGqdg/kaPw_F3vEaw/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
SEREKALI ya Mkoa wa Kigoma imesitisha zoezi la uopoaji wa miili ya ajali ya mitumbwi miwili ya maharusi iliyotokea tokea hivi karibuni katika Ziwa Tanganyika kwenye kijiji cha Kalalangabo kilichopo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MBFbhAzGgg0/Xkv-ssOToQI/AAAAAAALeEg/QhZOYbv2I5YtnVod0ew3yUQiYXJxLEYJgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200218_152305_8.jpg)
KIWANDA cha Sherlys pharmaceutical LTD chaibuka kidedea kwenye shindano la KAIZEN, kuwakilisha katika shindano la KAIZEN Afrika
KIWANDA cha Sherlys pharmaceutical LTD cha Mwenge jijini Dar es Salaam chaibuka kidedea katika shindano la nne la KAIZEN lililofanyika jijini Dar es Salaam leo.
Akizungumza wakati wa kuwapa tuzo za ushindi wa kiwanda bora za KAIZEN jijini Dar es Salaam leo, Katibu Mkuu wa wizara ya Viwanda na Biashara, Riziki Shemdoe amesema kuwa kiwanda kilichoshinda kitatuwakilisha katika mashindano ya KAIZEN kwa nchi za Afrika zitakazofanyika Mwakani 2020 nchini Afrika Kusini.
"Sisis kama Sherlys...
Akizungumza wakati wa kuwapa tuzo za ushindi wa kiwanda bora za KAIZEN jijini Dar es Salaam leo, Katibu Mkuu wa wizara ya Viwanda na Biashara, Riziki Shemdoe amesema kuwa kiwanda kilichoshinda kitatuwakilisha katika mashindano ya KAIZEN kwa nchi za Afrika zitakazofanyika Mwakani 2020 nchini Afrika Kusini.
"Sisis kama Sherlys...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--W_U7B0HpKw/VAnUuPB7LGI/AAAAAAAGfD8/CzDXpJpWJFg/s72-c/L.jpg)
TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2014 MUSOMA LASITISHWA KUFUATIA AJALI MBAYA ILIYOTOKEA LEO.
![](http://3.bp.blogspot.com/--W_U7B0HpKw/VAnUuPB7LGI/AAAAAAAGfD8/CzDXpJpWJFg/s1600/L.jpg)
Kuaihirishwa huko kunafuatia ajali mbaya na ya aina yake iliyopelekea...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania