ZOEZI LA KUITAFUTA NDEGE YA MALAYSIA LASITISHWA
![](http://api.ning.com:80/files/DqaYw0w2aP8foRkCOeqdd2DOFNoVqzMWWoZ7F00Qia9LJArtTT3Z9icxU0yJ680WTjQWyQ*STrZTlTWc7ZUZ*qygUHULCgHD/MELI.jpg)
Meli ya Australia ikiwa kwenye zoezi la utafutaji wa ndege ya Malaysia iliyopotea kabla ya zoezi hilo kusitishwa. Mmoja wa ndugu wa abiria waliokuwemo kwenye ndege iliyopotea akilia kwa simanzi baada ya taarifa kuwa ndege hiyo ilianguka kusini mwa bahari ya Hindi. IDARA ya usalama wa baharini ya Australia imetangaza kwamba shughuli za kuitafuta… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili02 May
Itachukua mwaka kuitafuta ndege ya Malaysia
10 years ago
BBCSwahili06 Oct
Malaysia kuitafuta ndege iliyopotea tena
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGFMwh5Ceg7BXEC662X9vMFXEnx1z9OTx*7cfJZorojLiN4FpgOdi*Lmfz-hdnOtWfQ4ZoBEkxbiQdjbhCS99Mb2/NDEGEKUPOTEA1.jpg?width=650)
SIKU YA 17 KUPOTEA NDEGE YA MALAYSIA: NDEGE YA MALAYSIA ILIRUKA CHINI YA FUTI 12,000
11 years ago
BBCSwahili17 Feb
Zoezi la uokoaji lasitishwa A.kusini
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ySdVWq-YR30/VDz08xfx2II/AAAAAAAGqdo/uvb42TWAlbM/s72-c/unnamed%2B(46).jpg)
ZOEZI LA UOPOAJI WA MIILI KATIKA AJALI YA MITUMBWI ZIWA TANGANYIKA LASITISHWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ySdVWq-YR30/VDz08xfx2II/AAAAAAAGqdo/uvb42TWAlbM/s1600/unnamed%2B(46).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-laDMM-_ZONY/VDz0x66UPsI/AAAAAAAGqdg/kaPw_F3vEaw/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
SEREKALI ya Mkoa wa Kigoma imesitisha zoezi la uopoaji wa miili ya ajali ya mitumbwi miwili ya maharusi iliyotokea tokea hivi karibuni katika Ziwa Tanganyika kwenye kijiji cha Kalalangabo kilichopo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhmxEpcM5NKRVYcj176nP8jC-vTe3qNFifzWYnR5EQTf7ojf7oMxlcw7TcPYwDNzLwhsgz7N*Z-WuHrnkLrGeUNq/MH3701.jpg?width=650)
PICHA SI ZA MABAKI YA NDEGE YA MALAYSIA - MAOFISA WA MALAYSIA
9 years ago
Dewji Blog05 Jan
Breaking News: Zoezi la bomoabomoa kwa wakazi wa mabonde ya Kinondoni lasitishwa mpaka kesi ya msingi itakaposikilizwa
Baadhi ya wakazi wa mabonde ya Kinondoni wakiwa katika maeneo ya Mahakama Kuu ya Ardhi
Modewjiblog team
Zoezi la bomoabomoa kwa wakazi wa mabonde ya Kinondoni limesitishwa mpaka kesi ya msingi itakaposikilizwa katika mahakama kuu ya ardhi.
Jaji wa mahakama kuu ya ardhi amemtaka wakili wa walalamikaji kuwasilisha mapema orodha ya walalamikaji wote 674 na majina yao kamili,anuani za makazi na nyumba zao na kisha shauli hilo litafikishwa Jumatatu, 11 January kwa ajili ya kupangiwa tarehe ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*X48WsmNc23pmAB6oPcDv5ITM4Ut6B81jkUWsZQnbW89vUcnUyeltPn5O34Ge4z1GYQDZKo3PdFtKSkDX--vxEg/article25841331C69423300000578784_634x422.jpg?width=650)
SIKU YA KUMI NA MOJA BAADA YA NDEGE KUPOTEA: NDUGU WA ABIRIA WA NDEGE YA MALAYSIA ILIYOPOTEA WAISHUTUMU SERIKALI
10 years ago
Vijimambo30 Jul
MABAKI YA NDEGE YANAYOSEMEKANA NI YA NDEGE YA MALAYSIA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/07/150307074359_mh370_512x288_non_nocredit.jpg)
Mamlaka ya usafirishaji nchini Ufaransa imesema inachunguza mabaki ya ndege ya yanayodaiwa kupatikana ndani ya Bahari ya Hindi yanachunguzwa ili kubaini kama ni ya ndege ya Malaysia ya MH370 iliyopotea bila kuwa na taarifa zozote kwa muda mrefusasa.
Taarifa kutoka Marekani zinasema wachunguzihao ambao wameona picha za mabaki hayo wana uhakika mkubwa kwamba ni ya ndege hiyo ya Malaysia ambapo mabaki hayo ni sehemu ya bawa la ndege.
Hata hivyo,...