Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mlipuko watokea kambi ya Polisi Misri

Mtu mmoja ameuawa na wengine 24 wamejeruhiwa baada ya Mtu mmoja kujitoa muhanga akilenga Kambi ya Polisi, Maafisa wameeleza.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Polisi 6 wauawa katika mlipuko Misri

Polisi 6 wameuawa katika mlipuko uliotokea barabarani katika rasi ya Sinai Misri

 

11 years ago

GPL

MLIPUKO WAUA MAOFISA WA POLISI MISRI

Maofisa wa polisi wakiwa eneo ulipotokea mlipuko huo. MAOFISA wawili wa polisi wameuawa katika mlipuko wa bomu uliotokea leo kwenye wilaya ya Bulaq Abu-al-Ila jirani na Wizara ya Mambo ya Nje jijini Cairo nchini Misri. Mlipuko huo umetokea katika mtaa uliojaa watu wengi jirani na Mto Nile na bomu hilo linadaiwa kutegwa chini ya mti uliokuwa katika eneo hilo. Mpaka sasa hakuna kundi lolote lililodai kuhusika na shambulio hilo....

 

11 years ago

BBCSwahili

Mlipuko mkubwa watokea Nigeria

Mlipuko umetokea katika mji mkuu wa Nigeria, Abuja karibu na eneo ambako kulitokea shambulizi baya la bomu mwezi uliopita.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko mkubwa watokea Yola, Adamawa

Mlipuko mkubwa umetokea katika kambi moja ya wakimbizi wa ndani mjini Yola mji mkuu wa Jimbo la Kaskazini Mashariki la Adamawa

 

11 years ago

Michuzi

MLIPUKO WA BOMU WATOKEA ENEO LA MKUNAZINI HUKO ZANZIBAR

 Eneo ambalo limeharibika kwa kuchimbika na kitu kinachozaniwa ni mlipuko wa bomu uliotokea Jumatatu mchana katika eneo la Mkunazini mjini Zanzibar. Hakuna mtu aliyepata maadhara na hakuna uharibifu wa majengo katika eneo hilo.   
 Mkuu wa Wilaya ya Mjini Unguja, Mhe. Abdi Mahmoud Mzee akizungumza naKiongozi wa Kanisa la Mkunazini, Ndg. Nuhu Salanya, na Maofisa wa JWTZ , katika eneo la tukio  alipofika katika eneo la tukio kuangalia athari na uharibifu uliotokea.
Mkuu wa Wilaya ya...

 

10 years ago

StarTV

Mlipuko unaosadikiwa kuwa ni wa bomu watokea nyumbani kwa Afisa Mafunzo GGM

Watu wasiojulikana wamelipua kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu ambacho kilikuwa kimetegwa kwenye uzio wa tofali katika nyumba anayoishi Afisa Mafunzo wa Mgodi wa Dhahabu wa Geita Lucy Joseph.

Bomu hilo lililipuka Oktoba 28 majira ya saa tatu na nusu usiku baada ya Lucy kupokea ujumbe mfupi wa simu wa vitisho kutoka kwa mtu asiyemfahamu akidai ampatie fedha na vinginevyo atalipua nyumba yake kwa bomu.

Muda mfupi baada ya lucy kupokea ujumbe ndipo ulisikika mshindo mkubwa sana uliosikika eneo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mlipuko kwenye basi la watalii Misri

Taarifa kutoka nchini Misri zinasema kuwa mlipuko kwenye basi katika rasi ya Sinai umewaua watu 3.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wapiga jengo la usalama Misri

Mlipuko mkubwa umepiga jesgo la usalama nchini Misri na kusababisha vifo vya watu 14 na 100 kujeruhiwa

 

11 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wawaua watu wawili nchini Misri

Kumekuwa na mlipuko karibu na jumba la wizara ya maswala ya kigeni nchini Misri.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani