Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mlipuko wapiga jengo la usalama Misri

Mlipuko mkubwa umepiga jesgo la usalama nchini Misri na kusababisha vifo vya watu 14 na 100 kujeruhiwa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wapiga ngome ya Hizbollah

Watu wawili wameripotiwa kuuawa na wengine 20 kujeruhiwa kufuatia mlipuko katika ngome kuu ya Hezbollah kusini mwa Beirut

 

11 years ago

BBCSwahili

Mlipuko kwenye basi la watalii Misri

Taarifa kutoka nchini Misri zinasema kuwa mlipuko kwenye basi katika rasi ya Sinai umewaua watu 3.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko watokea kambi ya Polisi Misri

Mtu mmoja ameuawa na wengine 24 wamejeruhiwa baada ya Mtu mmoja kujitoa muhanga akilenga Kambi ya Polisi, Maafisa wameeleza.

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi 6 wauawa katika mlipuko Misri

Polisi 6 wameuawa katika mlipuko uliotokea barabarani katika rasi ya Sinai Misri

 

10 years ago

GPL

MLIPUKO WAUA MAOFISA WA POLISI MISRI

Maofisa wa polisi wakiwa eneo ulipotokea mlipuko huo. MAOFISA wawili wa polisi wameuawa katika mlipuko wa bomu uliotokea leo kwenye wilaya ya Bulaq Abu-al-Ila jirani na Wizara ya Mambo ya Nje jijini Cairo nchini Misri. Mlipuko huo umetokea katika mtaa uliojaa watu wengi jirani na Mto Nile na bomu hilo linadaiwa kutegwa chini ya mti uliokuwa katika eneo hilo. Mpaka sasa hakuna kundi lolote lililodai kuhusika na shambulio hilo....

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wawaua watu wawili nchini Misri

Kumekuwa na mlipuko karibu na jumba la wizara ya maswala ya kigeni nchini Misri.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jengo laanguka, Kumi wafa Misri

Watu kumi wapoteza maisha nchini Misri baada ya Jengo la ghorofa nane kuanguka Cairo

 

9 years ago

BBCSwahili

Maafisa 4 wa usalama wauawa Misri

Maafisa wanne wa usalama nchini Misri wameuawa katika shambulio la uendeshaji kulingana na maafisa wa usalama.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kero la usalama nchini Misri

Vikosi vya usalama viko katika hali ya tahadhari wakati makundi hasimu nchini Misri ikitarajiwa kuadhimisha miaka 3 ya kung'olewa kwa Hosni Mubarak.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani