Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kero la usalama nchini Misri

Vikosi vya usalama viko katika hali ya tahadhari wakati makundi hasimu nchini Misri ikitarajiwa kuadhimisha miaka 3 ya kung'olewa kwa Hosni Mubarak.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Kanda ya watoto kuteswa yazua kero Misri

Kanda inayoonyesha msimamizi mkuu wa makao ya kuwatunza watoto mayatima akiwachapa watoto hao walio chini ya ulinzi wake imeleta kero kwa wengi

 

9 years ago

BBCSwahili

Maafisa 4 wa usalama wauawa Misri

Maafisa wanne wa usalama nchini Misri wameuawa katika shambulio la uendeshaji kulingana na maafisa wa usalama.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wapiga jengo la usalama Misri

Mlipuko mkubwa umepiga jesgo la usalama nchini Misri na kusababisha vifo vya watu 14 na 100 kujeruhiwa

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais wa Misri atetea sheria kali za usalama

Rais wa Misri Abdul Fattah al-Sisi ametetea sheria kali za kiusalama nchini humo na kusema taifa lake bado linadumisha demokrasia.

 

5 years ago

Michuzi

KUFUATIA VURUGU ZINAZOENDELEA NCHINI MSUMBIJI, HALI YA USALAMA YAIMARISHWA HAPA NCHINI,

MKUU wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, amesema kuwa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Nchini vimejipanga vyema kuhakikisha vinadhibiti vitendo vya uhalifu hasa kutokana na vitendo vya vurugu vinavyoendelea katika nchi jirani ya Msumbiji.  Aidha, IGP Sirro, amewataka Watanzaania hususan vijana kuacha kutumiwa na watu wachache  wanaowataka wajiingize kwenye vitendo vya uvunjifu wa amani nchini ikiwemo kufanya uhalifu.IGP Sirro amesema hayo leo wakati akizungumza na baadhi ya wakazi wa eneo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi yatanda nchini Misri

Misururu ya ghasia nchini Misri yatanda ,siku moja tu kabla ya kuanza rasmi kwa kampeni za uchaguzi wa urais mwezi huu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 200 kushtakiwa nchini Misri

Mwendesha mashtaka nchini Misri amewafungulia mashtaka watu 200 wa kundi moja la waislamu wenye itikadi kali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kesi ya Mubarak yaahirishwa nchini Misri

Kesi inayomkabili aliyekuwa rais wa Misri kuhusu mashtaka ya ufisadi na mauaji ya waandamanaji mwaka 2011 imeahirishwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa mashtaka nchini Misri auawa

Kiongozi wa mashtaka nchini Misri Hisham Barakat amefariki kutokana na majeraha aliopata baada ya bomu kulipua gari lake mjini Cairo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani