Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais wa Misri atetea sheria kali za usalama

Rais wa Misri Abdul Fattah al-Sisi ametetea sheria kali za kiusalama nchini humo na kusema taifa lake bado linadumisha demokrasia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Misri yatunga sheria kali dhidi ya Ugaidi

Sheria mpya za kupambana na ugaidi nchini Misri zimezua utata kuwa nia yake ni kukandamiza uhuru wala sio kukabiliana na maasi

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenyatta asaini sheria kali ya usalama

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, ameidhinisha sheria kali ya usalama ambayo ilizua vurugu kati ya wabunge wa upinzani na wa serikali bungeni Alhamisi

 

10 years ago

Mwananchi

Rais Uhuru Kenyatta asaini sheria ya Usalama

Pamoja na kuwapo kwa vuta nikuvute jana katika Bunge la Kenya Rais Uhuru Kenyatta, amesaini na kuiidhinisha sheria mpya ya usalama.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mkapa atetea sheria ya maadili ya viongozi

RAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa, amesema kuwa mgongano wa maslahi miongoni mwa viongozi na watumishi wa Umma, unatokana na kutumia madaraka waliyonayo kuendeleza maslahi binafsi. Mkapa aliyasema...

 

9 years ago

BBCSwahili

Maafisa 4 wa usalama wauawa Misri

Maafisa wanne wa usalama nchini Misri wameuawa katika shambulio la uendeshaji kulingana na maafisa wa usalama.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kero la usalama nchini Misri

Vikosi vya usalama viko katika hali ya tahadhari wakati makundi hasimu nchini Misri ikitarajiwa kuadhimisha miaka 3 ya kung'olewa kwa Hosni Mubarak.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wapiga jengo la usalama Misri

Mlipuko mkubwa umepiga jesgo la usalama nchini Misri na kusababisha vifo vya watu 14 na 100 kujeruhiwa

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA MASHAURIANO KATI YA VYOMBO VYA HABARI NA VYOMBO VYA ULINZI, USALAMA NA SHERIA, JIJINI DAR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi mkutano wa Mashauriano kati ya Vyombo vya Habari na Vyombo vya Ulinzi, Usalama na Sheria, uliofanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro jijini Dar es Salaam, leo Septemba 17, 2014. Mkutano huo uliandaliwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT). Rais wa Baraza la Habari Tanzania, (MCT) Jaji Thomas Mihayo, akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Sheria kali za teksi zapendekezwa Nairobi

Madereva wa teksi Nairobi huenda wakakabiliwa na faini kubwa iwapo watakapitana na hatia ya kuwa wachafu au kucheza muziki wa juu karibuni, sheria mpya ikipitishwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani