Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sheria kali za teksi zapendekezwa Nairobi

Madereva wa teksi Nairobi huenda wakakabiliwa na faini kubwa iwapo watakapitana na hatia ya kuwa wachafu au kucheza muziki wa juu karibuni, sheria mpya ikipitishwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

‘Sheria kali uvuvi haramu zitolewe’

Serikali imetakiwa kuweka sheria kali ya uvuvi haramu baharini pamoja na kuwafutia leseni wanaojishughulisha na vitendo hivyo kwa lengo la kulinda viumbe hai wa baharini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenyatta asaini sheria kali ya usalama

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, ameidhinisha sheria kali ya usalama ambayo ilizua vurugu kati ya wabunge wa upinzani na wa serikali bungeni Alhamisi

 

9 years ago

BBCSwahili

China yapitishia sheria kali dhidi ya Ugaidi

Bunge la China limepitisha sheria ya kwanza katika taifa hilo inayolenga kukabiliana na tishio linaloongezeka la ugaidi.

 

10 years ago

Habarileo

Sheria kali kung’ata wahalifu wa mitandao

WAHALIFU wa mtandao pamoja na wasambazaji wa picha za utupu na ngono, wasambazaji wa taarifa za uwongo, za kibaguzi na matusi na watu wengine ambao wanafanya udanganyifu unaohusiana na kompyuta wametungiwa sheria kali ambayo itawafanya kwenda jela hadi miaka 10 au kulipa faini isiyopungua Sh milioni 50.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais wa Misri atetea sheria kali za usalama

Rais wa Misri Abdul Fattah al-Sisi ametetea sheria kali za kiusalama nchini humo na kusema taifa lake bado linadumisha demokrasia.

 

11 years ago

Mwananchi

Zitungwe sheria kali kwa wapora ardhi

Niliwahi kuandika katika moja ya makala zangu kuhusu Serikali kukosa mwarobaini wa migogoro ya ardhi nchini.

 

9 years ago

BBCSwahili

Misri yatunga sheria kali dhidi ya Ugaidi

Sheria mpya za kupambana na ugaidi nchini Misri zimezua utata kuwa nia yake ni kukandamiza uhuru wala sio kukabiliana na maasi

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI ZUNGU ATOA ONYO KALI KWA WANAOKIKA SHERIA NA KUTOA MAELEKEZO KWA NEMC

  Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mussa Azzan Zungu akiongea na wadau katika kikao cha kukuza uelewa wa Sheria na Utekelezaji wa Kanuni ya Katazo la Mifuko ya Plastiki kwa Wazalishaji, waingizaji, wasambazaji na wauzaji wa Mifuko mbadala ya Plastiki. Kikao hicho kimefanyika katika Ukumbi wa LAPF, Jijini Dar es Salaam. Wengine katika picha (kushoto) Ni Mkurugenzi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Dkt. Samwel Gwamaka, Bi. ...

 

11 years ago

Habarileo

Dereva teksi apotea

DEREVA teksi wa Maili Moja na mkazi wa Mwendapole mjini hapa, Richard Ponera (36) amepotea katika mazingira ya kutatanisha baada ya kukodiwa na watu wasiofahamika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani