Zitungwe sheria kali kwa wapora ardhi
Niliwahi kuandika katika moja ya makala zangu kuhusu Serikali kukosa mwarobaini wa migogoro ya ardhi nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWAZIRI ZUNGU ATOA ONYO KALI KWA WANAOKIKA SHERIA NA KUTOA MAELEKEZO KWA NEMC
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Sheria za ardhi kikwazo kwa wakulima
Wakulima wadogo wilayani Kilosa wameonekana kukosa ufahamu wa sheria za ardhi, jambo linalowafanya kushindwa kufuatilia kwa makini masuala ya ardhi pale inapotokea migogoro katika maeneo yao.
10 years ago
Mwananchi08 Jan
Jinsi ya kurithi ardhi kwa kutumia sheria
Kurithi ni njia ambayo ni ya zamani zaidi kuliko njia zote za upatikanaji wa ardhi. Kurithi kumeanza enzi za mababu mpaka leo kupo.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dI8dRi3oSbQ/VUcHkXf_ccI/AAAAAAAHVDg/g-SwY-wiAWk/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: UWEZEKANO WA KUMSHTAKI KWA JINAI ALIYEVAMIA ARDHI YAKO
![](http://1.bp.blogspot.com/-dI8dRi3oSbQ/VUcHkXf_ccI/AAAAAAAHVDg/g-SwY-wiAWk/s1600/law_5.jpg)
Katika migogoro ya ardhi yapo mambo mengi ambayo hujitokeza. Yumkini hii yote huwa ni katika kusaka haki. Liko jambo moja ambalo ni muhimu watu kulijua hasa wale ambao tayari wamejikuta katika migogoro ya ardhi. Mara nyingi imekuwa ikitokea pale ambapo mtu fulani ana mgogoro wa ardhi na mtu mwingine kumwendea polisi na kumshitaki kwa jinai ya kuvamia ardhi yake( criminal trespass). Ni kweli jambo hili lipo...
9 years ago
BBCSwahili18 Dec
Sheria kali za teksi zapendekezwa Nairobi
Madereva wa teksi Nairobi huenda wakakabiliwa na faini kubwa iwapo watakapitana na hatia ya kuwa wachafu au kucheza muziki wa juu karibuni, sheria mpya ikipitishwa.
10 years ago
Mwananchi19 Aug
‘Sheria kali uvuvi haramu zitolewe’
Serikali imetakiwa kuweka sheria kali ya uvuvi haramu baharini pamoja na kuwafutia leseni wanaojishughulisha na vitendo hivyo kwa lengo la kulinda viumbe hai wa baharini.
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Kenyatta asaini sheria kali ya usalama
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, ameidhinisha sheria kali ya usalama ambayo ilizua vurugu kati ya wabunge wa upinzani na wa serikali bungeni Alhamisi
9 years ago
BBCSwahili27 Dec
China yapitishia sheria kali dhidi ya Ugaidi
Bunge la China limepitisha sheria ya kwanza katika taifa hilo inayolenga kukabiliana na tishio linaloongezeka la ugaidi.
10 years ago
Habarileo30 Mar
Sheria kali kung’ata wahalifu wa mitandao
WAHALIFU wa mtandao pamoja na wasambazaji wa picha za utupu na ngono, wasambazaji wa taarifa za uwongo, za kibaguzi na matusi na watu wengine ambao wanafanya udanganyifu unaohusiana na kompyuta wametungiwa sheria kali ambayo itawafanya kwenda jela hadi miaka 10 au kulipa faini isiyopungua Sh milioni 50.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania