Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sheria za ardhi kikwazo kwa wakulima

Wakulima wadogo wilayani Kilosa wameonekana kukosa ufahamu wa sheria za ardhi, jambo linalowafanya kushindwa kufuatilia kwa makini masuala ya ardhi pale inapotokea migogoro katika maeneo yao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wizara ya Ardhi ni kikwazo kwa maendeleo ya wanyonge nchini

Mimi ni mmoja kati ya wananchi waliofarijika, siku niliposikia Rais Benjamin Mkapa mwaka 2004 anamleta mtaalamu wa uchumi kuja kuisaidia Tanzania kubaini kila Mtanzania anamiliki nini kinachoweza kumsaidia kukopa katika benki na kumwinua kiuchumi.

 

11 years ago

Mwananchi

Zitungwe sheria kali kwa wapora ardhi

Niliwahi kuandika katika moja ya makala zangu kuhusu Serikali kukosa mwarobaini wa migogoro ya ardhi nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Jinsi ya kurithi ardhi kwa kutumia sheria

Kurithi ni njia ambayo ni ya zamani zaidi kuliko njia zote za upatikanaji wa ardhi. Kurithi kumeanza enzi za mababu mpaka leo kupo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Majaji waendesha mahakama ya wazi kusikiliza na kupokea malalamiko ya wakulima walionyang’anywa Ardhi,Wafugaji na Migogoro ya wakulima na wafugaji

IMG_0113   Jaji Mh. Richard Mziray akitoa hukumu katika Mahakama ya wazi  katika Kesi zote Mbili ya Kiteto na Kilosa ,ambapo katika Kesi ya Wilaya ya Kiteto alitoa Maamuzi kwamba kulikuwa na umuhimu wa utekelezeji wa Amri ya Mahakama na kuheshimu Amri za Mahakama kuwa Mahakama ilisha tamka kuwa ile ni Hifadhi hivyo inatakiwa kulindwa na kuheshimiwa na ameongeza kuwa kama kungekuwa na kuzingatiwa kwa Sera za Ardhi basi kusingekuwa na Migogoro yote hiyo ametolea mfano pia maeneo ambayo yanatakiwa...

 

9 years ago

Mwananchi

‘Sheria ni kikwazo cha malengo EAC’

Wataalamu wa uchumi wamesema tofauti za sheria zinazosimamia biashara katika nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), ni kikwazo cha kufikiwa kwa malengo ya kuanzishwa kwake.

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: UWEZEKANO WA KUMSHTAKI KWA JINAI ALIYEVAMIA ARDHI YAKO

Na  Bashir  Yakub.
Katika  migogoro  ya  ardhi  yapo  mambo  mengi  ambayo  hujitokeza. Yumkini  hii  yote  huwa  ni  katika  kusaka  haki.  Liko  jambo  moja  ambalo  ni  muhimu  watu  kulijua  hasa  wale  ambao   tayari  wamejikuta  katika  migogoro  ya  ardhi.  Mara  nyingi  imekuwa  ikitokea  pale  ambapo  mtu  fulani  ana  mgogoro  wa  ardhi  na  mtu  mwingine  kumwendea  polisi  na  kumshitaki  kwa  jinai  ya  kuvamia  ardhi  yake( criminal trespass). Ni  kweli  jambo  hili  lipo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Sera, sheria dhaifu, rushwa ni kikwazo katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya nchini

drug injection

 

Mtumiaji wa kujinduga akitumia dawa hizo.

mtumiaji 2

Baadhi ya watumiaji wa dawa za kulevya wakihudhuria moja semina zinazoendeshwa nchini.

Na Damas Makangale, Makangale Satellite Blog

“Kila mwaka idadi ya watumiaji wa dawa za kulevya nchini hasa kwa vijana wenye umri mdogo kabisa kati ya miaka 15 mpaka 25 inakadiliwa kufika 10,000 hadi 11,000 kila mwaka nchini ni idadi kubwa na hali inatisha,’ anasema Afisa kutoka Kitengo cha Kudhibiti dawa za kulevya nchini, Moza Makumbuli

Wiki iliyopita Kitengo...

 

11 years ago

Habarileo

Wakulima wahimizwa kutumia ardhi kujikwamua

PAMOJA na kuwepo kwa ugonjwa wa mnyauko wa migomba mkoani Kagera wananchi wametakiwa kutumia ardhi kujikwamua kiuchumi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima wasinyang’anywe ardhi — TAHA

OFISA Mtendaji wa Chama cha Wakulima wa Mbogamboga na Maua Tanzania (TAHA), Jacqueline Mkindi, amewataka viongozi wa serikali kukomesha tabia ya wananchi kunyang’anywa  ardhi ya kijiji ambayo hutumiwa kwa kilimo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani