Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jinsi ya kurithi ardhi kwa kutumia sheria

Kurithi ni njia ambayo ni ya zamani zaidi kuliko njia zote za upatikanaji wa ardhi. Kurithi kumeanza enzi za mababu mpaka leo kupo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

CloudsFM

MAHAKAMA YAELEZWA JINSI BILIONEA ERASTO MSUYA ALIVYOUAWA KINYAMA KWA KUTUMIA BUNDUKI YA SMG

Bunduki ya kivita aina ya Sub Machine Gun (SMG) iliyotumika kumuua mfanyabiashara tajiri wa Mirerani, Erasto Msuya, ilinunuliwa kwa Sh4 milioni nchini Kenya, Mahakama imeelezwa.
Imeelezwa pia kwamba wauaji wanne waliokwenda eneo la tukio kutekeleza mauaji hayo, walilipwa Sh5 milioni kila mmoja na washirika wao wakilipwa Sh3 milioni kila mmoja.

Hayo yamo katika maelezo ya mashahidi 57 kwa washtakiwa yalisomwa mbele ya Hakimu Mkazi wa Mkoa Kilimanjaro, Munga Sabuni juzi na mawakili wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Sheria za ardhi kikwazo kwa wakulima

Wakulima wadogo wilayani Kilosa wameonekana kukosa ufahamu wa sheria za ardhi, jambo linalowafanya kushindwa kufuatilia kwa makini masuala ya ardhi pale inapotokea migogoro katika maeneo yao.

 

11 years ago

Mwananchi

Zitungwe sheria kali kwa wapora ardhi

Niliwahi kuandika katika moja ya makala zangu kuhusu Serikali kukosa mwarobaini wa migogoro ya ardhi nchini.

 

11 years ago

Michuzi

Ofisi ya Makamu wa Rais yatoa mafunzo kwa vijana jinsi ya kutumia njia bora za kuhudumia Majokofu na Viyoyozi

Kundi la washiriki kutoka mkoa wa Dar es Salaam wakielekezana jinsi ya kutumia vifaa rafiki ya kuhudumia Majokofu na Viyoyozi siku ya pili ya mafunzo jijini Dar es Salaam. Sehemu ya wakufunzi kutoka vyuo vya ufundi Mbeya, Mwanza na Mkunazini – Zanzibar wakijifunza kwa vitendo jinsi ya kutumia njia rafiki ya kuhudumia majokofu na viyoyozi bila ya kuharibu tabaka la Ozoni. Picha na Rashda Swedi.

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: UWEZEKANO WA KUMSHTAKI KWA JINAI ALIYEVAMIA ARDHI YAKO

Na  Bashir  Yakub.
Katika  migogoro  ya  ardhi  yapo  mambo  mengi  ambayo  hujitokeza. Yumkini  hii  yote  huwa  ni  katika  kusaka  haki.  Liko  jambo  moja  ambalo  ni  muhimu  watu  kulijua  hasa  wale  ambao   tayari  wamejikuta  katika  migogoro  ya  ardhi.  Mara  nyingi  imekuwa  ikitokea  pale  ambapo  mtu  fulani  ana  mgogoro  wa  ardhi  na  mtu  mwingine  kumwendea  polisi  na  kumshitaki  kwa  jinai  ya  kuvamia  ardhi  yake( criminal trespass). Ni  kweli  jambo  hili  lipo...

 

10 years ago

Mwananchi

Jinsi ya kupata ardhi kisheria-1

Ardhi ni mali na watu wanajipatia ardhi kwa njia mbalimbali. Leo tutaangalia njia mbadala ambazo watu hujipatia ardhi hapa nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Jinsi ya kununua ardhi kisheria

Uwanjani leo tutajikita kwenye kupata ardhi kwa njia ya kununua (by purchase) , wiki iliyopita tuliangalia upatikanaji wa ardhi kwa njia ya kugawiwa na Serikali ( by allocation).

 

10 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA : Jinsi ya kutumia propaganda katika maisha yako

Mmoja wa wasomaji wangu aliyesoma makala yangu niliyoitoa Septemba 2014 niliyoiita “Propaganda za Wafanyabiashara” ameniomba nieleze zaidi kuhusu propaganda. Hususan, nieleze kama propaganda hutumika katika biashara tu au hata katika shughuli nyingine na kama propaganda ni kitu kizuri au kibaya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani