Jinsi ya kupata ardhi kisheria-1
Ardhi ni mali na watu wanajipatia ardhi kwa njia mbalimbali. Leo tutaangalia njia mbadala ambazo watu hujipatia ardhi hapa nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Dec
Jinsi ya kununua ardhi kisheria
Uwanjani leo tutajikita kwenye kupata ardhi kwa njia ya kununua (by purchase) , wiki iliyopita tuliangalia upatikanaji wa ardhi kwa njia ya kugawiwa na Serikali ( by allocation).
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
George Floyd: Jinsi Wamarekani weusi wanavyokabiliwa kisheria?
We've looked at some of the data around ethnicity and the US crime and justice system.
10 years ago
Mwananchi29 Jan
Haki za mmiliki wa ardhi kisheria
Watu wengi humiliki ardhi kwa njia zozote zinazotambulika kisheria kama kukaa muda mrefu, kwa kurithi au kupewa.
10 years ago
Mwananchi05 Feb
Haki za mmiliki wa ardhi kisheria-2
Uwanja wa Kambole ni ukurasa unaokuletea uchambuzi wa sheria za aina mbalimbali. Tulianza na sheria za ajira, sasa tupo kwenye sheria za ardhi lengo ni kukupa ufahamu kiasi na uelewa wa sheria mbalimbali.
9 years ago
Michuzi29 Sep
UTARATIBU WA KISHERIA UNAPONUNUA ARDHI YA KIJIJI.
KUSOMA ZAIDI links goes to sheriayakub.blogspot.comNa Bashir Yakub.Tulipoandika namna bora na taratibu maalum za kufuata unapotaka kununua ardhi tulisema pia kuwa taratibu za ununuzi wa ardhi huwa zinatofautiana kutegemea na mazingira ya kila ardhi.
Tukasema unaponunua ardhi kwa msimamizi wa mirathi ni tofauti na unaponunua kwa mmiliki mwenyewe. Unaponunua ardhi ya familia ni tofauti na unaponunua isiyo ya ...
Tukasema unaponunua ardhi kwa msimamizi wa mirathi ni tofauti na unaponunua kwa mmiliki mwenyewe. Unaponunua ardhi ya familia ni tofauti na unaponunua isiyo ya ...
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Hatua ya kubadili umiliki wa hati ya ardhi kisheria
Makala hii ni mwendelezo wa makala iliyopita. Umechukua hatua za msingi wakati wa kununua ardhi na umejiridhisha kuwa sasa hiyo ardhi ni mali yako kwa mujibu wa mkataba uliojaza na kusainiwa mbele ya mwanasheria?
10 years ago
GPLKISHERIA LAZIMA MAMA WA NYUMBANI KUPATA MGAO WA MALI NDOA INAPOVUNJIKA
Na Bashir Yakub NDOA inapovunjika kuna kuna mambo makuu matatu ambayo hutokea kutokana na ndoa hiyo kuvunjika. Kwanza ni kugawana mali walizochuma  wanandoa, pili hifadhi ya watoto na tatu matunzo ya watoto. Haya ni matokeo ya kuvunjika kwa ndoa, mengine zaidi kuhusu kuvunjika kwa ndoa tutayaona hapa wakati nikieleza mgawanyo wa mali za wanandoa. 1.MALI ZIPI HUTAKIWA HUGAWANYWA NDOA INAPOVUNJIKA?...
9 years ago
MichuziMAKALA YA SHERIA: MAMBO YA MSINGI KISHERIA KUHUSU UMILIKI WA ARDHI WA PAMOJA
Na Bashir Yakub.
Ardhi inaweza kumilikiwa na mtu zaidi ya mmoja. Inaweza kuwa nyumba au kiwanja. Vyote hivi vinaweza kumilikiwa na mtu zaidi ya mmoja. Kumiliki ardhi kwa zaidi ya mtu mmoja sio lazima iwe kwa wanandoa. Inaweza kuwa ndugu , marafiki , kikundi cha watu kama wafanyabiashara, wana saccos, kikundi cha michezo na aina yoyote ya kikundi cha kimaendeleo. Umiliki wa ardhi kwa pamoja unatofauti na umiliki binafsi yaani umiliki...
Ardhi inaweza kumilikiwa na mtu zaidi ya mmoja. Inaweza kuwa nyumba au kiwanja. Vyote hivi vinaweza kumilikiwa na mtu zaidi ya mmoja. Kumiliki ardhi kwa zaidi ya mtu mmoja sio lazima iwe kwa wanandoa. Inaweza kuwa ndugu , marafiki , kikundi cha watu kama wafanyabiashara, wana saccos, kikundi cha michezo na aina yoyote ya kikundi cha kimaendeleo. Umiliki wa ardhi kwa pamoja unatofauti na umiliki binafsi yaani umiliki...
10 years ago
MichuziMAKALA YA SHERIA: NJIA YA KISHERIA YA KUKUEPUSHA KUNUNUA ARDHI YENYE MGOGORO.
Na Bashir YakubMakala zilizopita nilieleza mambo au taarifa muhimu zinazopaswa kuwa kwenye mkataba wako unapokuwa unanunua nyumba/kiwanja. Nikasema katika niliyosema kuwa mkataba lazima uoneshe ukitokea mgogoro utatatuliwa vipi, ueleze kuwa utapotokea mgogoro muuzaji lazima awajibike kuhakikisha anakupa ushirikiano mnunuzi ili kumaliza mgogoro huo na kuwa muuzaji kama ana mke basi mke wake ni lazima aandaiiwe nyaraka iitwayo ridhaa ya mwanandoa ambayo ni tofauti ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania