Ofisi ya Makamu wa Rais yatoa mafunzo kwa vijana jinsi ya kutumia njia bora za kuhudumia Majokofu na Viyoyozi
Kundi la washiriki kutoka mkoa wa Dar es Salaam wakielekezana jinsi ya kutumia vifaa rafiki ya kuhudumia Majokofu na Viyoyozi siku ya pili ya mafunzo jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya wakufunzi kutoka vyuo vya ufundi Mbeya, Mwanza na Mkunazini – Zanzibar wakijifunza kwa vitendo jinsi ya kutumia njia rafiki ya kuhudumia majokofu na viyoyozi bila ya kuharibu tabaka la Ozoni. Picha na Rashda Swedi.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi11 Mar
elimu kwa umma juu ya njia bora za kuhudumia majokofu na viyoyozi ili kulinda tabaka la Ozoni.
![](https://4.bp.blogspot.com/-WD21MQSvl8A/Ux8LVpmP0-I/AAAAAAACrOg/jTWoybng280/s1600/DSC0100.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-m-lcn_oUUeI/Ux8KQqRmUFI/AAAAAAACrOI/uUcYZ9e6Aks/s1600/DSC0076.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-XQ3d6P71Jyg/Ux8Kdxl1hSI/AAAAAAACrOQ/PrsAI3EeFD8/s1600/DSC0119.jpg)
11 years ago
MichuziUFUNGUZI WA WARSHA YA MAFUNZO YA MAFUNDI MAJOKOFU NA VIYOYOZI JIJINI ARUSHA LEO
10 years ago
GPLOFISI YA MAKAMU WA RAIS NA MAKUMBUSHO YA TAIFA WATOA MAFUNZO KWA SHULE ZA MSINGI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CYqE0xCwXUo/VaYlj1IyKBI/AAAAAAACfr8/EHfv3Jfp5Z8/s72-c/03.jpg)
MGOMBEA MWENZA, SAMIA SULUHU, WAZIRI WA NCHI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MUUNGANO) AWAAGA NA KUWASHUKURU WAFANYAKAZI WENZAKE OFISI YA MAKAMU WA RAIS
![](http://4.bp.blogspot.com/-CYqE0xCwXUo/VaYlj1IyKBI/AAAAAAACfr8/EHfv3Jfp5Z8/s640/03.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HSnE6FiMaPA/VaYnvictEfI/AAAAAAACfvg/yEb7H3eNWx8/s640/01.jpg)
Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akisoma...
11 years ago
Habarileo05 Jul
UNEP yaikabidhi Tanzania mitambo ya kuhudumia majokofu
TANZANIA imepokea msaada wa mitambo na vifaa vyenye teknolojia ya kisasa ya kuhudumia majokofu, viyoyozi na mitambo ya kupozea.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NVznyC-6YyE/VJRlKI5w8QI/AAAAAAAG4gY/MB-o0o3wKnI/s72-c/unnamed%2B(49).jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi atembelea ofisi za Wakala wa Mafunzo kwa Njia ya Mtandao (TaGLA)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NVznyC-6YyE/VJRlKI5w8QI/AAAAAAAG4gY/MB-o0o3wKnI/s1600/unnamed%2B(49).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZKT8NgOeYeU/VJRlKU-Dv4I/AAAAAAAG4gQ/FhNEnXQi8bo/s1600/unnamed%2B(50).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BeavaMIavpU/VJRlKoVnLBI/AAAAAAAG4gU/gQuLBNuNziU/s1600/unnamed%2B(51).jpg)
9 years ago
Dewji Blog20 Oct
TaGLA yatoa wito kwa Watanzania kushiriki kutumia mafunzo ya mtandao
Mkurugenzi Mtendaji,Wakala wa Mafunzo kwa Njia ya Mtandao(TaGLaA) Bw.Charles Senkondo (katikati mstari wa mbele )akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam kuhusu mafanikio ya taasisi hiyo pamoja na kuanzishwa kwa maktaba ya kisasa za maendeleo ikishirikiana na wadau mbali mbali ndani na nje ya nchi.(Picha na Magreth Kinabo- Maelezo).
Baadhi ya waandishi wa habari leo wakiwa katika mafunzo kuhusu Wakala wa Mafunzo kwa Njia ya Mtandao (TaGLaA) inavyofanya kazi na mafanikio...
10 years ago
GPLFRAT ILALA YATOA MAFUNZO YA UKOCHA KWA VIJANA 28