Wakulima wasinyang’anywe ardhi — TAHA
OFISA Mtendaji wa Chama cha Wakulima wa Mbogamboga na Maua Tanzania (TAHA), Jacqueline Mkindi, amewataka viongozi wa serikali kukomesha tabia ya wananchi kunyang’anywa ardhi ya kijiji ambayo hutumiwa kwa kilimo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
Moro wataka vigogo wanyang’anywe ardhi
DIWANI wa Mafisa, Manispaa ya Morogoro, Francis Kayenzi, amelaumiwa kutokana na hatua ya vigogo serikalini kuchukua viwanja na kuvitelekeza katika kata yake. Wananchi wa kata hiyo, wamemtaka diwani huyo kuhakikisha...
10 years ago
Michuzi01 Sep
TAHA YAADHIMISHA SIKU YA WAKULIMA SHAMBANI KILIMANJARO
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
![picha 1](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/TYaO9rWlcKPb9LbOCyVzEmO-sVm9Vao8e4zrWXjTNAf60WCnYJ0x0rjRoqNjt1THZNbehNNSZWsFP3p1uR-Wvl6ANcKqEwWhsA_SsIwj8PoEaIayICKs=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/picha-1.jpg?w=300)
11 years ago
Dewji Blog06 Aug
Wakulima Mbeya waneemeka na elimu ya uzalishaji wa mbogamboga kutoka TAHA
Mh. Dr. Christine Ishengoma Mkuu wa Mkoa wa Iringa akipokea taarifa kuhusu mfumo wa taarifa za masoko kutoka TAHA unavyofanya kazi zake kutoka kwa Cyrila Antony Afisa wa Masoko.
Mkuu wa mkoa wa Iringa Mh. Dr. Christine Ishengoma akisikiliza maelezo kutoka kwa Mtaalamu wa kilimo wa TAHA Bw Ringo kuhusu uzalishaji wa zao la nyanya.
Aina Mbalimbali za matunda ambazo zimezalishwa na wakulima kutokana na elimu Bora waliyo ipata...
11 years ago
MichuziWakulima Mbeya Waneemeka na Elimu ya uzalishaji wa Mboga Mboga kutoka TAHA
11 years ago
GPLWAKULIMA MBEYA WANEEMEKA NA ELIMU YA UZALISHAJI WA MBOGA MBOGA KUTOKA TAHA
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Majaji waendesha mahakama ya wazi kusikiliza na kupokea malalamiko ya wakulima walionyang’anywa Ardhi,Wafugaji na Migogoro ya wakulima na wafugaji
![IMG_0113](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_0113.jpg)
11 years ago
Habarileo10 May
Wakulima wahimizwa kutumia ardhi kujikwamua
PAMOJA na kuwepo kwa ugonjwa wa mnyauko wa migomba mkoani Kagera wananchi wametakiwa kutumia ardhi kujikwamua kiuchumi.
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Sheria za ardhi kikwazo kwa wakulima
9 years ago
StarTV29 Nov
Mgogoro Wa Ardhi Wafugaji na wakulima wavutana Mkoani Morogoro
Hali ya taharuki imezuka katika kijiji cha maharaka kata ya doma wilaya ya Mvomero mkoani morogoro baada ya wananchi wa humo kukusanyika katika ofisi ya kijiji kushinikiza kupatiwa ufumbuzi juu ya wafugaji walio ingia kwenye mashamba yao nakuwatia hasara kubwa kwa kuharibu miundombinu ya umwagiliaji iliyopo kwenye mashamba hayo
Wakizungumza wakiwa katika ofisi ya kijijini hicho, wananchi hao wamesema wameshangaa kuona wafugaji kijijini hapo wakidai wanatafuta mifugo yao, ambapo wananchi...