Wakulima Mbeya waneemeka na elimu ya uzalishaji wa mbogamboga kutoka TAHA
Mh. Dr. Christine Ishengoma Mkuu wa Mkoa wa Iringa akipokea taarifa kuhusu mfumo wa taarifa za masoko kutoka TAHA unavyofanya kazi zake kutoka kwa Cyrila Antony Afisa wa Masoko.
Mkuu wa mkoa wa Iringa Mh. Dr. Christine Ishengoma akisikiliza maelezo kutoka kwa Mtaalamu wa kilimo wa TAHA Bw Ringo kuhusu uzalishaji wa zao la nyanya.
Aina Mbalimbali za matunda ambazo zimezalishwa na wakulima kutokana na elimu Bora waliyo ipata...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziWakulima Mbeya Waneemeka na Elimu ya uzalishaji wa Mboga Mboga kutoka TAHA
11 years ago
GPLWAKULIMA MBEYA WANEEMEKA NA ELIMU YA UZALISHAJI WA MBOGA MBOGA KUTOKA TAHA
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
TBL yatoa elimu kwa wakulima juu ya uzalishaji bora wa zao la Shayiri
Joel Msechu mtaalamu wa zao la shayiri kutoka Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) akiwaonesha wakulima magonjwa wa shayiri na namna ya kuzuia magonjwa hayo katika katika mashamba yaliyopo Kijiji cha Emairete Monduli juu, mkoani Arusha. Wakulima hao huwezeshwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) katika uzalishaji wa zao hilo ambalo ni malighafi ya kutengenezea bia zinzozalishwa na kampuni hiyo.
Meneja wa Zao la Shayiri Dk. Bennie Basson akiwaonesha wakulima kijitabu cha muongozo wa kilimo cha...
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Wakulima wasinyang’anywe ardhi — TAHA
OFISA Mtendaji wa Chama cha Wakulima wa Mbogamboga na Maua Tanzania (TAHA), Jacqueline Mkindi, amewataka viongozi wa serikali kukomesha tabia ya wananchi kunyang’anywa ardhi ya kijiji ambayo hutumiwa kwa kilimo...
10 years ago
Michuzi01 Sep
TAHA YAADHIMISHA SIKU YA WAKULIMA SHAMBANI KILIMANJARO
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
![picha 1](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/TYaO9rWlcKPb9LbOCyVzEmO-sVm9Vao8e4zrWXjTNAf60WCnYJ0x0rjRoqNjt1THZNbehNNSZWsFP3p1uR-Wvl6ANcKqEwWhsA_SsIwj8PoEaIayICKs=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/picha-1.jpg?w=300)
5 years ago
MichuziUHITAJI MKUBWA WA MAZAO YA MBOGAMBOGA JIJINI MBEYA UMECHANGIA KASI YA KILIMO CHA UMWAGILIAJI
Katika picha, mkulima wa zao la mahindi Bi. Joyce Nassoro akionyesha shamba lake la mahindi yatokanayo na kilimo cha umwagiliaji katika bonde la Uyole Jijini Mbeya , halipo katika picha, ambapo mkulima huyo ameeleza kuwa ameweza kulima mahindi hayo kwa muda mfupi ambapo kwa sasa anayavuna kwa matumizi ya chakula cha nyumbani kwake.
Bibi Rose Samwande katika picha mkulima wa mbogamboga aina ya karoti katika Bonde la Uyole jijini Mbeya akionesha karoti ambazo zipo tayari kuvunwa kwa ajili...
10 years ago
StarTV02 Dec
Uzalishaji aina mpya ya Mgomba, wakulima wapewa darasa.
Na Ramadhani Mvungi, Arusha.
Kituo cha utafiti na mafunzo ya kilimo cha mazao ya Mboga, Matunda na Maua cha Tengeru Arusha kikishirikiana na taasisi za TAHA na TAPP kimeanza kutoa mafunzo kwa wakulima kuhusu uzalishaji wa aina mpya ya zao la mgomba kupitia mashamba darasa.
Hatua hiyo ni mpango mahususi wa kuongeza uzalishaji wa mazao ya mbogamboga, matunda na maua katika kuendeleza dhana ya kilimo biashara nchini.
Ikiwa chini ya Wizara ya Kilimo chakula na Ushirika kituo cha...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bXYdBtGXBxY/VGIJ1L5KhkI/AAAAAAAGwkk/TlUZMem-64Y/s72-c/002.KILIMO%2BKLABU.jpg)
Matumizi ya simu za mkononi kuongeza uzalishaji na mapato ya wakulima 30,000 nchini
Wakulima wadogo wa Tanzania watanufaika kiteknolojia kupitia huduma inayojulikana kama Kilimo Club.Kwa huduma hii wataweza kutumia huduma ya M-Pesa kutuma na kupokea fedha ikiwemo kufanya malipo wakati huo huo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uw8ZJ9XBTbVQQ5deDwcC5DoBQhhcjNIn*cIb6lr5k4PXr1DthlVy4O*fvsclYFIoHzUw5zPaCKy3AkVqsxzg2LEV0qpGQ0SR/002.KILIMOKLABU.jpg?width=650)
MATUMIZI YA SIMU ZA MKONONI KUONGEZA UZALISHAJI NA MAPATO YA WAKULIMA 30,000 NCHINI