Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Moro wataka vigogo wanyang’anywe ardhi

DIWANI wa Mafisa, Manispaa ya Morogoro, Francis Kayenzi, amelaumiwa kutokana na hatua ya vigogo serikalini kuchukua viwanja na kuvitelekeza katika kata yake. Wananchi wa kata hiyo, wamemtaka diwani huyo kuhakikisha...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima wasinyang’anywe ardhi — TAHA

OFISA Mtendaji wa Chama cha Wakulima wa Mbogamboga na Maua Tanzania (TAHA), Jacqueline Mkindi, amewataka viongozi wa serikali kukomesha tabia ya wananchi kunyang’anywa  ardhi ya kijiji ambayo hutumiwa kwa kilimo...

 

10 years ago

Michuzi

Makalla wataka wanasheria na watalaam wa ardhi kutoka wizara ya ardhi kufika haraka Mvomero

Naibu Waziri wa Maji na Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Mh. Amos Makalla amewataka wanasheria na watalaam wa ardhi kutoka wizara ya ardhi kufika haraka Mvomero kukutana na wananchi wa Vijiji vyote ambao ni wadau wa bonde la Mgongolwa ili kutoa Elimu, kutoa tafsiri na kuwapa mipaka mipya kufuatia hukumu ya kesi ya muda mrefu iliyotolewa wiki iliyopita.
Makalla akiyasema hayo wakati wa Mkutano wake na wananchi hao leo kwenye kijiji cha Mkindo Bungoma ndani ya Jimbo hilo la Mvomero.Naibu Waziri wa...

 

11 years ago

Habarileo

Waliovunjiwa makazi na mwekezaji Moro wataka ulinzi

WAKAZI wa kijiji cha Kidago katika Halmashauri ya wilaya ya Morogoro ambao walivunjiwa makazi yao kwa kile kinachodaiwa kuvamia shamba la mwekezaji Martin Shem, wameiomba serikali na vyombo vya usalama mkoani Morogoro kuwawekea ulinzi.

 

11 years ago

Mwananchi

Waliopewa ardhi na Karume waporwa na vigogo

>Moja ya malengo ya Mapinduzi ya Zanzibar ya Januri 12,1964 ni kuleta usawa na wananchi wanyonge kupewa ardhi yenye rutuba iwasaidie kwa kilimo na kujiletea maendeleo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kesi vigogo wa ardhi yapigwa kalenda

KESI ya madai ya kujimilikisha ardhi kinyume na sheria inayowakabili maofisa watatu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, imeahirishwa hadi Agosti 14, mwaka huu. Jaji wa Mahakama...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali kufuta miliki za ardhi kwa vigogo

Waziri wa wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William LukuviWAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amesema Serikali itafuta umiliki wa ardhi kwa vigogo waliojilimbikizia maeneo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wafugaji wataka matumizi bora ya ardhi

ASILIMIA 75 ya watanzania ni wafugaji hivyo serikali imeombwa kuharakisha mpango wa upimaji matumizi bora ya ardhi ili kuepuka migogoro ya wakulima na wafugaji inayorudisha nyuma juhudi za maendeleo. Rai...

 

11 years ago

Habarileo

Wajumbe wataka sura ya ardhi Katiba mpya

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wametaka kuwepo kwa sura maalumu katika Katiba mpya, itakayozungumzia suala la ardhi pekee, ikiwa ni hatua ya kupunguza migogoro baina ya wakulima na wafugaji kwa kuweka mgawanyo sahihi wa rasilimali hiyo.

 

9 years ago

GPL

DK MAGUFULI KUWANYANG'ANYA VIGOGO ARDHI WALIYOJILIMBIKIZIA NA KUIGAWA KWA WANANCHI‏

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akikimbia kuonesha ukakamavu kwenda jukwaani kujinadi wakati wa mkutano wa kampemi katika Uwanja wa Taifa mjini Ifakara wilayani Kilombero, Mkoa wa Morogoro jana.  Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akijinadi  kwa wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika Mjini  Ifakara, wilayani Kilombero, Morogoro. Dk Magufuli jana alifanya… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani