Waliopewa ardhi na Karume waporwa na vigogo
>Moja ya malengo ya Mapinduzi ya Zanzibar ya Januri 12,1964 ni kuleta usawa na wananchi wanyonge kupewa ardhi yenye rutuba iwasaidie kwa kilimo na kujiletea maendeleo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
Kesi vigogo wa ardhi yapigwa kalenda
KESI ya madai ya kujimilikisha ardhi kinyume na sheria inayowakabili maofisa watatu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, imeahirishwa hadi Agosti 14, mwaka huu. Jaji wa Mahakama...
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
Moro wataka vigogo wanyang’anywe ardhi
DIWANI wa Mafisa, Manispaa ya Morogoro, Francis Kayenzi, amelaumiwa kutokana na hatua ya vigogo serikalini kuchukua viwanja na kuvitelekeza katika kata yake. Wananchi wa kata hiyo, wamemtaka diwani huyo kuhakikisha...
10 years ago
Habarileo06 May
Serikali kufuta miliki za ardhi kwa vigogo
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amesema Serikali itafuta umiliki wa ardhi kwa vigogo waliojilimbikizia maeneo.
9 years ago
GPLDK MAGUFULI KUWANYANG'ANYA VIGOGO ARDHI WALIYOJILIMBIKIZIA NA KUIGAWA KWA WANANCHI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I3dypOdGvF2AcrV1rJVW8zgi2vEvKs9vNFEsdldb9WeortWt3l30Z58PUHoVh0D5ixa2B0zEUjFSsIx3tPFQMaDf3fWR0fMv/Newfolder1001.jpg?width=750)
POLISI WAPORWA BUNDUKI TANGA JANA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-C0p1uBUQa2Q/XowRoqRH2SI/AAAAAAALmUw/d5suSC8vw88z5NglDNMOG74AhDcUCAQuACLcBGAsYHQ/s72-c/9edacecc-d70c-45eb-98aa-f6e2513480ef.jpg)
KARUME DAY KUMBUKIZI YA MIAKA 48 YA KIFO CHA SHEIKH ABEID AMANI KARUME.
![](https://1.bp.blogspot.com/-C0p1uBUQa2Q/XowRoqRH2SI/AAAAAAALmUw/d5suSC8vw88z5NglDNMOG74AhDcUCAQuACLcBGAsYHQ/s640/9edacecc-d70c-45eb-98aa-f6e2513480ef.jpg)
By MZEE WA ATIKALI ✍️✍️✍️
1. USULI:
Jumanne ya leo, tarehe 7.4.2020, imetimia miaka 48 toka aliyekuwa Rais wa kwanza wa Zanzibar, ndugu SHEIKH ABEID AMANI KARUME, alipouawa kwa kumiminiwa risasi nane na Luteni HOMOUD MOHAMMED BARWAN katika Afisi Kuu ya Afro Shiraz Party, Kisiwandui, Zanzibar.
Kwa mujibu wa "The Public Holidays Act, Cap. 35 (RE 2002)", sikukuu za kitaifa nchini ziko 17 na mojawapo ya sikukuu hizo ni "KARUME DAY". Hivyo, leo ni siku ya mapumziko.
Je, Mwanamapinduzi huyu...
11 years ago
Mwananchi07 Jun
Chikawe awafunda waliopewa uraia
9 years ago
VijimamboMAMA KARUME AZINDUA MICHUANO YA KARUME CUP
9 years ago
Habarileo12 Nov
‘Waliopewa ubunge upinzani wakiwa CCM ni mamluki’
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema viongozi wa jumuiya zake walioteuliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika ubunge wa Viti Maalumu, walikuwa mamluki na maharamia kwa kukiuka kiapo cha chama.