Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliopewa ardhi na Karume waporwa na vigogo

>Moja ya malengo ya Mapinduzi ya Zanzibar ya Januri 12,1964 ni kuleta usawa na wananchi wanyonge kupewa ardhi yenye rutuba iwasaidie kwa kilimo na kujiletea maendeleo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kesi vigogo wa ardhi yapigwa kalenda

KESI ya madai ya kujimilikisha ardhi kinyume na sheria inayowakabili maofisa watatu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, imeahirishwa hadi Agosti 14, mwaka huu. Jaji wa Mahakama...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Moro wataka vigogo wanyang’anywe ardhi

DIWANI wa Mafisa, Manispaa ya Morogoro, Francis Kayenzi, amelaumiwa kutokana na hatua ya vigogo serikalini kuchukua viwanja na kuvitelekeza katika kata yake. Wananchi wa kata hiyo, wamemtaka diwani huyo kuhakikisha...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali kufuta miliki za ardhi kwa vigogo

Waziri wa wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William LukuviWAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amesema Serikali itafuta umiliki wa ardhi kwa vigogo waliojilimbikizia maeneo.

 

9 years ago

GPL

DK MAGUFULI KUWANYANG'ANYA VIGOGO ARDHI WALIYOJILIMBIKIZIA NA KUIGAWA KWA WANANCHI‏

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akikimbia kuonesha ukakamavu kwenda jukwaani kujinadi wakati wa mkutano wa kampemi katika Uwanja wa Taifa mjini Ifakara wilayani Kilombero, Mkoa wa Morogoro jana.  Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akijinadi  kwa wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika Mjini  Ifakara, wilayani Kilombero, Morogoro. Dk Magufuli jana alifanya… ...

 

10 years ago

GPL

POLISI WAPORWA BUNDUKI TANGA JANA

Muonekano wa askari hao baada ya kuvamia na kuwajeruhi siku ya jana Tanga. Watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi, wamewavamia na kuwajeruhi askari mwenye no G369 PC Mansour na Hv507 PC Mwalimu, wakiwa doria ya pikipiki ambao walinyang'anywa silaha mbili aina ya SMG no 14301230 na 14303545 na watu wasio julikana mkoani Tanga. Mchoro wa ramani unaoonyesha matokeo ya Barabara Tanga. Taarifa yaJeshi hilo kwa vyombo vya habari...

 

5 years ago

Michuzi

KARUME DAY KUMBUKIZI YA MIAKA 48 YA KIFO CHA SHEIKH ABEID AMANI KARUME.



By MZEE WA ATIKALI  ✍️✍️✍️


1. USULI:

Jumanne ya leo, tarehe 7.4.2020, imetimia miaka 48 toka aliyekuwa Rais wa kwanza wa Zanzibar, ndugu SHEIKH ABEID AMANI KARUME,  alipouawa kwa kumiminiwa risasi nane na Luteni HOMOUD MOHAMMED BARWAN katika Afisi Kuu ya Afro Shiraz Party, Kisiwandui, Zanzibar.

Kwa mujibu wa "The Public Holidays Act, Cap. 35 (RE 2002)", sikukuu za kitaifa nchini ziko 17 na mojawapo ya sikukuu hizo ni "KARUME DAY". Hivyo, leo ni siku ya mapumziko.

Je, Mwanamapinduzi huyu...

 

11 years ago

Mwananchi

Chikawe awafunda waliopewa uraia

Wakimbizi waliopewa uraia wa Tanzania wameaswa kuzingatia sheria na tararibu za nchi ikiwa ni pamoja na kutokushiriki kupiga kura katika uchaguzi mkuu mwakani.

 

9 years ago

Vijimambo

MAMA KARUME AZINDUA MICHUANO YA KARUME CUP

Makamu Mwenyekiti wa Mpira wa Mikono Zanzibar (BAZA) Ramadhani Khamis Salmin akizungumza wakati wa ufunguzi huu wa michuano ya Kombe la Karume Cup uliofanyika katika viwanja vya Gymkhana Zanzibar na kushirikisha timu 17 za mchezo huo kwa Zanzibar 6 zikiwa za Wanawake na 11 za Wanaume. Mlezi wa Michuano ya Kombe la Karume Cup Mama Shadya Karume akitowa shukarani zake kwa Chama cha Mpira wa Mikono Zanzibar (BAZA) kufanikisha michuano hiyo kwa kipindi chote cha miaka 12 kwa kumuezi Mzee Abeid...

 

9 years ago

Habarileo

‘Waliopewa ubunge upinzani wakiwa CCM ni mamluki’

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema viongozi wa jumuiya zake walioteuliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika ubunge wa Viti Maalumu, walikuwa mamluki na maharamia kwa kukiuka kiapo cha chama.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani