POLISI WAPORWA BUNDUKI TANGA JANA
![](http://api.ning.com:80/files/I3dypOdGvF2AcrV1rJVW8zgi2vEvKs9vNFEsdldb9WeortWt3l30Z58PUHoVh0D5ixa2B0zEUjFSsIx3tPFQMaDf3fWR0fMv/Newfolder1001.jpg?width=750)
Muonekano wa askari hao baada ya kuvamia na kuwajeruhi siku ya jana Tanga. Watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi, wamewavamia na kuwajeruhi askari mwenye no G369 PC Mansour na Hv507 PC Mwalimu, wakiwa doria ya pikipiki ambao walinyang'anywa silaha mbili aina ya SMG no 14301230 na 14303545 na watu wasio julikana mkoani Tanga. Mchoro wa ramani unaoonyesha matokeo ya Barabara Tanga. Taarifa yaJeshi hilo kwa vyombo vya habari...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jQ6EO_Nz47o/VAyexLTS8-I/AAAAAAAGhNs/Vq-7Y2WmPaA/s72-c/8dcacabf33f6098a97598c1329d203b0.jpg)
BREAKING NEWZZZZ: JESHI LA POLISI MKOANI GEITA LAKAMATA BUNDUKI SABA ZILIZOPORWA KITUO CHA POLISI BUKOMBE, WATU WAWILI MBARONI NA MSAKO MKALI UNAENDELEA
![](http://3.bp.blogspot.com/-jQ6EO_Nz47o/VAyexLTS8-I/AAAAAAAGhNs/Vq-7Y2WmPaA/s1600/8dcacabf33f6098a97598c1329d203b0.jpg)
10 years ago
Mwananchi07 Aug
Polisi yakamata bunduki 16 za Stakishari
10 years ago
Habarileo23 Dec
Polisi Tabora wakamata bunduki 9 za kienyeji
JESHI la Polisi mkoani Tabora limeendelea kuimarisha ulinzi na usalama katika msimu wa sikukuu za mwishoni mwa mwaka na kufanikiwa kukamata bunduki tisa za kienyeji aina ya gobori wilayani Nzega.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/1..jpg?width=650)
POLISI YAKAMATA BUNDUKI, BANGI, NYARA ZA SERIKALI
11 years ago
Habarileo13 Mar
Polisi yanasa bunduki ya kivita, risasi 399
WATU wawili wakazi wa Kijiji cha Kitagasembe wamekamatwa na polisi wakituhumiwa kwa ujambazi wa kutumia silaha.
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Mbaroni kwa kukutwa na bunduki, sare za polisi
JESHI la Polisi Mkoa wa Tanga linawashikilia watu watano kwa tuhuma za kukutwa na bunduki aina ya Shotgun na sare za Jeshi la Polisi ambazo zilitumika katika matukio ya uhalifu...
10 years ago
Vijimambo17 Feb
UHALIFU TANGA: Polisi: Hatujakamata mtu Tanga
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Said-17Feb2015.jpg)
Jeshi la Polisi nchini, limesema majambazi waliokuwa wamejificha katika mapango ya Amboni nje kidogo ya jiji la Tanga wamekimbia.
Mkurugenzi wa Operesheni na Mafunzo wa jeshi hilo, Kamishna Paul Chagonja, akizungumza jana katika mahojiano na Radio One katika kipindi cha Kumepambazuka, alisema majambazi hao wamekimbia baada ya kuzidiwa nguvu na askari wa jeshi lake wanaoshirikiana na Jeshi la Ulinzi wa Wananchi wa Tanzania (JWTZ).
Hata hivyo, alisema vyombo...
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Polisi Dar Wakamata Meno ya Tembo 156, Bunduki mbili
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova akionesha baadhi ya vipande vya bunduki zilizokamatwa aina ya ‘RIFLE’ katika oparesheniiliyofanyika jana Temeke Sudan, Dar.
Kamanda Kova akionesha baadhi ya vipande vya meno ya Tembo kwa wanahabari.
… Kova akivishikilia vipinde hivyo.
… Kova akivitoa kwenye magunia yaliyokuwa yamehifadhi vipande hivyo vya meno ya Tembo.
Wanahabari wakichukua tukio hilo.
Kamishna wa polisi, Suleiman Kova (kushoto) akiongea na wanahabari.
Baadhi ya...
11 years ago
MichuziPOLISI KILIMANJARO YANASA BUNDUKI MBILI ,MOJA IKIWA IMEFUNGWA HIRIZI.