Polisi Tabora wakamata bunduki 9 za kienyeji
JESHI la Polisi mkoani Tabora limeendelea kuimarisha ulinzi na usalama katika msimu wa sikukuu za mwishoni mwa mwaka na kufanikiwa kukamata bunduki tisa za kienyeji aina ya gobori wilayani Nzega.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Polisi Dar Wakamata Meno ya Tembo 156, Bunduki mbili
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova akionesha baadhi ya vipande vya bunduki zilizokamatwa aina ya ‘RIFLE’ katika oparesheniiliyofanyika jana Temeke Sudan, Dar.
Kamanda Kova akionesha baadhi ya vipande vya meno ya Tembo kwa wanahabari.
… Kova akivishikilia vipinde hivyo.
… Kova akivitoa kwenye magunia yaliyokuwa yamehifadhi vipande hivyo vya meno ya Tembo.
Wanahabari wakichukua tukio hilo.
Kamishna wa polisi, Suleiman Kova (kushoto) akiongea na wanahabari.
Baadhi ya...
10 years ago
MichuziPOLISI WAKAMATA BUNDUKI SMG, RISASI 59 PAMOJA NA WATUHUMIWA KATIKA MATUKIO TOFAUTI JIJINI DAR.
Katika tukio la kwanza mnamo tarehe 03/06/2015 majira saa 08:00HRS maeneo ya Tabata Kinyerezi mtaa wa Kibaga askari wa kikosi kazi (TASK FORCE) walimkamata mtuhumiwa HEMED S/O...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eZwIs-rY9go/VXKf-nWXLyI/AAAAAAAHccE/M_m35vod3sA/s72-c/unnamed%2B%252890%2529.jpg)
TAARIFA: POLISI WAKAMATA BUNDUKI AINA YA SMG NA JUMLA YA RISASI 59 PAMOJA NA WATUHUMIWA KATIKA MATUKIO TOFAUTI JIJINI DAR
Katika tukio la kwanza mnamo tarehe 03/06/2015 majira saa 08:00HRS maeneo ya Tabata Kinyerezi mtaa wa Kibaga askari wa kikosi kazi (TASK FORCE) walimkamata mtuhumiwa HEMED S/O...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-dx_1PFoFwu4/VXKgDVm_QJI/AAAAAAAHccQ/Mr88YcPBKn4/s72-c/unnamed%2B%252889%2529.jpg)
POLISI WAKAMATA BUNDUKI AINA YA SMG NA JUMLA YA RISASI 59,PEMBE ZA NDOVU PAMOJA NA WATUHUMIWA KATIKA MATUKIO TOFAUTI JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-dx_1PFoFwu4/VXKgDVm_QJI/AAAAAAAHccQ/Mr88YcPBKn4/s640/unnamed%2B%252889%2529.jpg)
Naibu Kamishna wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam (DCP), Simon Sirro Sirro akiwaonesha baahdhi ya waandishi wa habali hawapo pichani pembe za Ndovu zilizo kamatwa maeneo ya Kimara Suka katika oparesheni ukaguzi wa magari.Picha na Emmanuel Massaka.
![](http://3.bp.blogspot.com/-eZwIs-rY9go/VXKf-nWXLyI/AAAAAAAHccE/M_m35vod3sA/s640/unnamed%2B%252890%2529.jpg)
Naibu Kamishna wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam (DCP), Simon Sirro akiwaonesha baadhi ya waandishi wa habari (hawapo pichan) Bunduki aina ya (SMG) iliyofutwa namba zake ikiwa na risasi 10.
![](http://2.bp.blogspot.com/-d4jwxXiBmQ8/VXKgDSL-TGI/AAAAAAAHccM/tIX_qi3Ij-0/s640/unnamed%2B%252888%2529.jpg)
Naibu Kamishna wa Jeshi la...
10 years ago
Habarileo30 Apr
Rukwa wakamata bunduki 50, risasi 768
JESHI la Polisi mkoani Rukwa limewakamata watuhumiwa 50 na silaha za aina mbalimbali zikiwemo bunduki 48 , risasi 768 na maganda ya risasi 101.
10 years ago
MichuziJeshi la polisi nchini lathibitisha kuwa mlipuko uliowajeruhi askari polisi Songea ni bomu la kienyeji
JESHI la polisi chini limethibitisha kuwa kitu kilichokuwa kinadaiwa kuwa nio bomu lililorushwa mjini Songea mkoani Ruvum Septemba 16 mwaka huu majira ya saa 1.25 usiku katika eneo la Misufini na kuwajeruhi askari polisi watatu kati ya wanne waliokuwa doria kuwa ni bomu la kutupwa kwa mkono...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jQ6EO_Nz47o/VAyexLTS8-I/AAAAAAAGhNs/Vq-7Y2WmPaA/s72-c/8dcacabf33f6098a97598c1329d203b0.jpg)
BREAKING NEWZZZZ: JESHI LA POLISI MKOANI GEITA LAKAMATA BUNDUKI SABA ZILIZOPORWA KITUO CHA POLISI BUKOMBE, WATU WAWILI MBARONI NA MSAKO MKALI UNAENDELEA
![](http://3.bp.blogspot.com/-jQ6EO_Nz47o/VAyexLTS8-I/AAAAAAAGhNs/Vq-7Y2WmPaA/s1600/8dcacabf33f6098a97598c1329d203b0.jpg)
10 years ago
Mwananchi07 Aug
Polisi yakamata bunduki 16 za Stakishari