‘Sheria ni kikwazo cha malengo EAC’
Wataalamu wa uchumi wamesema tofauti za sheria zinazosimamia biashara katika nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), ni kikwazo cha kufikiwa kwa malengo ya kuanzishwa kwake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Sheria za ardhi kikwazo kwa wakulima
10 years ago
Dewji Blog03 Aug
Sera, sheria dhaifu, rushwa ni kikwazo katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya nchini
Mtumiaji wa kujinduga akitumia dawa hizo.
Baadhi ya watumiaji wa dawa za kulevya wakihudhuria moja semina zinazoendeshwa nchini.
Na Damas Makangale, Makangale Satellite Blog
“Kila mwaka idadi ya watumiaji wa dawa za kulevya nchini hasa kwa vijana wenye umri mdogo kabisa kati ya miaka 15 mpaka 25 inakadiliwa kufika 10,000 hadi 11,000 kila mwaka nchini ni idadi kubwa na hali inatisha,’ anasema Afisa kutoka Kitengo cha Kudhibiti dawa za kulevya nchini, Moza Makumbuli
Wiki iliyopita Kitengo...
10 years ago
MichuziWatumishi Katiba na Sheria waaswa kufanya kazi kwa malengo
Akizungumza na watumishi wa makao makuu ya Wizara hiyo jijini Dar es Salaam leo (Alhamisi, Novemba 20, 2014), Katibu Mkuu Bi. Maimuna Tarishi amesema ushirikiano na upendo ni ngunzo muhimu za mafanikio katika taasisi yoyote.
“Watumishi wa umma, hasa tuliopo Dar es Salaam, tunatumia muda mrefu tukiwa kazini hivyo tunatakiwa tupendane na...
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
Sheria ya ndoa kikwazo kukabili ndoa za utotoni
KUFUATANA na sheria ya ndoa ya mwaka 1971, ndoa ni muungano wa hiari kati ya mwanamme na mwanamke unaokusudiwa kudumu kwa muda wa maisha yao. Sheria ya ndoa inasema kuwa...
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
PSPF yalia kikwazo cha miundombinu
MFUKO wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) unakabiliwa na changamoto ya miundombinu hasa ya umeme katika miradi ya ujenzi wanayoitekeleza. Akizungumza jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki wakati...
9 years ago
Dewji Blog12 Oct
Ubadhirifu kikwazo cha Ushirika kushamiri
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii (ESRF), Dk. Tausi Kida na Mkurugenzi Msaidizi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) Tanzania, (Ushauri na Miradi), Amon Manyama wakipitia makabrasha ya mafunzo ya siku moja juu ya Uimarishaji wa Ushirika wa Akiba na Mikopo kwa Viongozi wa Vyama vya Ushirika (SACCOS na VICOBA) na Maafisa Ushirika wa kutoka Wilaya za Bunda, Bukoba na Sengerema yaliyoandaliwa na ESRF na kufadhiliwa na Shirika la Maendeleo (UNDP)...
11 years ago
Tanzania Daima02 Mar
‘Viongozi msiwe kikwazo cha maendeleo’
VIONGOZI wa serikali na siasa wametakiwa kutokuwa kikwazo kwa wataalamu kuhusu kutekeleza majukumu yao. Wito huo ulitolewa na Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, mkoani Tanga, Mrisho Gambo, alipozungumza na Baraza...
11 years ago
BBCSwahili19 May
Umasikini kikwazo cha kulea watoto China
11 years ago
Habarileo28 Feb
Umasikini uliokithiri kikwazo cha kujiunga na CHF
UMASIKINI wa kipato uliokithiri miongoni mwa wananchi, upungufu wa dawa , vifaa na vifaa tiba katika vituo vinavyotoa huduma za afya wilayani Nkasi, vimetajwa kutoa changamoto kwa wananchi katika kujiunga na Mfuko wa Afya ya Msingi (CHF) wilayani humo.