Watumishi Katiba na Sheria waaswa kufanya kazi kwa malengo
Watumishi wa Wizara ya Katiba na Sheria wameaswa kuendeleza ushirikiano katika utekelezaji wa majukumu yao ili kutimiza malengo ambayo Wizara imejiwekea.
Akizungumza na watumishi wa makao makuu ya Wizara hiyo jijini Dar es Salaam leo (Alhamisi, Novemba 20, 2014), Katibu Mkuu Bi. Maimuna Tarishi amesema ushirikiano na upendo ni ngunzo muhimu za mafanikio katika taasisi yoyote.
“Watumishi wa umma, hasa tuliopo Dar es Salaam, tunatumia muda mrefu tukiwa kazini hivyo tunatakiwa tupendane na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-GU5F3WPPzUI/VRR9roEr2KI/AAAAAAAHNiQ/4MaYP3wfkPs/s72-c/1.jpg)
WATUMISHI WAPYA 222 WA OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI WAASWA KUFANYA KAZI KWA KUJITUMA NA UZALENDO
![](http://2.bp.blogspot.com/-GU5F3WPPzUI/VRR9roEr2KI/AAAAAAAHNiQ/4MaYP3wfkPs/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xDN8HxdYR7A/VRR9rBuGSTI/AAAAAAAHNiM/0n8CDbzBa7k/s1600/2.jpg)
11 years ago
Dewji Blog30 Apr
Wafanyakazi ‘Katiba na Sheria’ waaswa kuchapa kazi
Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya (TUGHE) Mkoa wa Dar-es-salaam Bw. Hassan Kaumo akiongea na wafanyakazi wa Wizara ya Katiba na Sheria katika mkutano wa Baraza la Wafanyakazi la Wizara hiyo jijini Dar es Salaam leo (Jumatano, Aprili 30, 2014). Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bw. Fanuel Mbonde. (Picha na Martha Komba – Wizara ya Katiba na Sheria).
Baadhi ya wafanyakazi wa Wizara ya Katiba na Sheria katika mkutano wa Baraza la Wafanyakazi la Wizara hiyo...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YVaXL1eV6Hg/VmqyDxt9x9I/AAAAAAAAoyY/1n4a_VW_UF8/s72-c/1.jpg)
WASANII WA KIKE WAASWA KUFANYA KAZI KWA BIDII
![](http://2.bp.blogspot.com/-YVaXL1eV6Hg/VmqyDxt9x9I/AAAAAAAAoyY/1n4a_VW_UF8/s640/1.jpg)
Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Sanaa kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Leah Kihimbi akitoa hotuba katika Warsha ya siku mbili kuhusu wasanii wanawake kupinga ukatili wa kijinsia, mafunzo hayo yamefanyika ili kuhitimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia na kusheherekea siku ya msanii Tanzania iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo.
![](http://3.bp.blogspot.com/-XcvejFxq_7w/VmqyGzZB0gI/AAAAAAAAoyg/NjZPMbgDmGE/s640/2.jpg)
11 years ago
Habarileo03 May
Ndugai ahimiza watumishi kufanya kazi kwa uadilifu
NAIBU Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai amewashauri watumishi wanaofanya kazi kwenye Halmashauri ya Kongwa, mkoani Dodoma, kuiga mwenendo wa uaminifu na uadilifu katika utumishi wa umma.
9 years ago
Dewji Blog10 Oct
Watumishi watakiwa kufanya kazi kwa bidii, uwajibikaji na ushirikiano
Naibu Katibu Katibu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Prof. Elisante Ole Gabriel akibadilishana mawazo na aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Seth Kamuhanda aliyestaafu kwa mujibu wa sheria wakati wa hafla ya kuwaaga Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali waliomaliza muda wao wa Utumishi wa Umma. Hafla hiyo ilifanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jana (Ijumaa Oktoba 9, 2015) Jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akimkabidhi Cheti...
11 years ago
Dewji Blog02 Jun
Watumishi Sheria waaswa kupinga unyanyasaji wa kijinsia
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Ndg. Fanuel Mbonde akifungua mafunzo kuhusu uzingatiwaji na uelewa wa masuala ya jinsia kwa watumishi wa Wizara hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Mkufunzi wa Masuala ya Jinsia na Rais wa Chama cha Majaji Wanawake Duniani (TAWJA) Jaji Mstaafu Eusebia Munuo akiongea wakati wa mafunzo kuhusu uzingatiwaji na uelewa wa masuala ya jinsia kwa watumishi wa Wizara ya Katiba na Sheria jijini Dar es Salaam mwishoni mwaka wiki.
Mkufunzi wa...
11 years ago
MichuziWatumishi Sheria waaswa kupinga unyanyasaji kijinsia
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Watumishi wa kada za afya watakiwa kufanya kazi kwa kufuata maadili
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu akimjulia hali mama aliyejifungua kwenye wodi ya wazazi hospitali teule ya rufaa ya mkoa wa Geita.(Picha Zote na Catherine Sungura WAMJW-GEITA).
Tabibu wa kituo cha afya Nyankumbu, Abdallah Kiroboto akimsikiliza Waziri Ummy mara alipoingia kwenye chumba cha kutolea huduma, pembeni ni mama aliyefika kituoni hapo na watoto wake kupata matibabu.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy...