Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PSPF yalia kikwazo cha miundombinu

MFUKO wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) unakabiliwa na changamoto ya miundombinu hasa ya umeme katika miradi ya ujenzi wanayoitekeleza. Akizungumza jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki wakati...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

DAWASCO YALIA NA WAHUJUMU WA MIUNDOMBINU YA MAJI JIJINI

Licha ya jitihada zinazoendelea kufanywa kuzuia uhujumu miundombinu ya Majisafi na wizi wa Maji, hujuma nyingine kubwa ya chuma chakavu za MAJITAKA imebainika baada ya DAWASCO kukamata mifuniko ya Majitaka katika kiwanda cha nondo cha IRON&STEEL cha jijini Dar es salaam.
 Vyuma Chakavu hivyo ambavyo ni mifuniko ya chemba za Majitaka za DAWASCO zimebainika baada ya uchunguzi wa kina na taarifa kutoka kwa wasamaria wema kuhusu upatikanaji wa mifuniko hiyo kiwandani hapo.
Afisa Uhusiano...

 

10 years ago

Michuzi

KITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA CHA AMANI ORPHANAGE CENTER CHA POKEA ZAWADI NA MSAADA WA MAANDALIZI YA KRISMASI KUTOKA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF.

Kushoto ni Meneja wa Pwani wa PSPF Msafiri S. Mugaka  akiwa na Afisa Mahusiano wa PSPF Coleta Mnyamani wakiwakabidhi zawadi ya Mbuzi  kwa ajilli ya Krismasi watoto wa kituo cha kulelea yatima cha Amani Orphanage Centre tarehe 5.12.2014 Afisa Mahusiano wa PSPF Coleta Mnyamani akimkabidhi zawadi ya vinywaji mmoja wa watoto katika kituo hicho Meneja wa Pwani wa PSPF Msafiri S. Mugaka akimkabidhi mmoja wa watoto msaada wa mafuta ya kupikia kwa niaba ya watoto wenzake walipo watembelea katika...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ubadhirifu kikwazo cha Ushirika kushamiri

IMG_6069

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii (ESRF), Dk. Tausi Kida na Mkurugenzi Msaidizi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) Tanzania, (Ushauri na Miradi), Amon Manyama wakipitia makabrasha ya mafunzo ya siku moja juu ya Uimarishaji  wa Ushirika wa Akiba na Mikopo kwa Viongozi wa Vyama vya Ushirika (SACCOS na VICOBA) na Maafisa Ushirika wa  kutoka Wilaya za Bunda, Bukoba na Sengerema yaliyoandaliwa na ESRF na kufadhiliwa na Shirika la Maendeleo (UNDP)...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Sheria ni kikwazo cha malengo EAC’

Wataalamu wa uchumi wamesema tofauti za sheria zinazosimamia biashara katika nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), ni kikwazo cha kufikiwa kwa malengo ya kuanzishwa kwake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Viongozi msiwe kikwazo cha maendeleo’

VIONGOZI wa serikali na siasa wametakiwa kutokuwa kikwazo kwa wataalamu kuhusu kutekeleza majukumu yao. Wito huo ulitolewa na Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, mkoani Tanga, Mrisho Gambo, alipozungumza na Baraza...

 

11 years ago

BBCSwahili

Umasikini kikwazo cha kulea watoto China

Wazazi wengi wanawapeleka watoto wao katika makao ya kuwahifdhi watoto kutokana na umaskini mkubwa

 

11 years ago

Mwananchi

Vinyweleo visiwe kikwazo cha urembo wako

Kutawaliwa na vinyweleo vingi mikononi na miguuni ni hali ambayo huwakera watu wengi hasa wanawake, ambao huona kuwa ni kikwazo kwao kuonekana warembo.

 

11 years ago

Mwananchi

Umri usiwe kikwazo cha kwenda na wakati

Watu wengi wamekuwa na kasumba kwamba watu wazima hawapaswi kujihusisha sana na masuala ya mitindo kwa madai kuwa umri wao umesonga mbele.

 

11 years ago

Habarileo

Umasikini uliokithiri kikwazo cha kujiunga na CHF

UMASIKINI wa kipato uliokithiri miongoni mwa wananchi, upungufu wa dawa , vifaa na vifaa tiba katika vituo vinavyotoa huduma za afya wilayani Nkasi, vimetajwa kutoa changamoto kwa wananchi katika kujiunga na Mfuko wa Afya ya Msingi (CHF) wilayani humo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani