Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Umri usiwe kikwazo cha kwenda na wakati

Watu wengi wamekuwa na kasumba kwamba watu wazima hawapaswi kujihusisha sana na masuala ya mitindo kwa madai kuwa umri wao umesonga mbele.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

‘Mgogoro Z’bar usiwe kigezo cha kutudharau’

Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Augustine Mahiga amekutana kwa mara ya kwanza na mabalozi wanaowakilisha nchi zao nchini na kusema Tanzania inaheshimu tunu za kimataifa za haki za binadamu na demokrasia na kwamba mgogoro wa Zanzibar usiwe kigezo cha baadhi ya nchi kudharau hatua kubwa za kidemokrasia zilizofikiwa.

 

5 years ago

Michuzi

UGONJWA WA CORONA USIWE KIGEZO CHA WATOTO KUKOSA CHANJO


Na WAMJW - Dodoma

Serikali imeitaka jamii kuhakikisha watoto wanapata chanjo kipindi hichi chenye maambukizi ya Virusi vya Corona (Covid-19) ili wapate kinga ya magonjwa mengine.

Rai hiyo imetolewa na Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma ya Afya ya Uzazi na Watoto, Dk.Ahmad Makuwani kwenye semina ya waandishi wa habari wa Mikoa ya Singida na Dodoma kuhusu huduma za chanjo nchini.

Amesema maambukizi ya Corona kwasasa yamepungua na kuwataka watanzania kutotumia ugonjwa huo kama sababu ya kutowapeleka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

PSPF yalia kikwazo cha miundombinu

MFUKO wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) unakabiliwa na changamoto ya miundombinu hasa ya umeme katika miradi ya ujenzi wanayoitekeleza. Akizungumza jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki wakati...

 

9 years ago

Mwananchi

‘Sheria ni kikwazo cha malengo EAC’

Wataalamu wa uchumi wamesema tofauti za sheria zinazosimamia biashara katika nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), ni kikwazo cha kufikiwa kwa malengo ya kuanzishwa kwake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Viongozi msiwe kikwazo cha maendeleo’

VIONGOZI wa serikali na siasa wametakiwa kutokuwa kikwazo kwa wataalamu kuhusu kutekeleza majukumu yao. Wito huo ulitolewa na Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, mkoani Tanga, Mrisho Gambo, alipozungumza na Baraza...

 

9 years ago

Dewji Blog

Ubadhirifu kikwazo cha Ushirika kushamiri

IMG_6069

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii (ESRF), Dk. Tausi Kida na Mkurugenzi Msaidizi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) Tanzania, (Ushauri na Miradi), Amon Manyama wakipitia makabrasha ya mafunzo ya siku moja juu ya Uimarishaji  wa Ushirika wa Akiba na Mikopo kwa Viongozi wa Vyama vya Ushirika (SACCOS na VICOBA) na Maafisa Ushirika wa  kutoka Wilaya za Bunda, Bukoba na Sengerema yaliyoandaliwa na ESRF na kufadhiliwa na Shirika la Maendeleo (UNDP)...

 

11 years ago

Habarileo

Umasikini uliokithiri kikwazo cha kujiunga na CHF

UMASIKINI wa kipato uliokithiri miongoni mwa wananchi, upungufu wa dawa , vifaa na vifaa tiba katika vituo vinavyotoa huduma za afya wilayani Nkasi, vimetajwa kutoa changamoto kwa wananchi katika kujiunga na Mfuko wa Afya ya Msingi (CHF) wilayani humo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Umasikini kikwazo cha kulea watoto China

Wazazi wengi wanawapeleka watoto wao katika makao ya kuwahifdhi watoto kutokana na umaskini mkubwa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani