Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UGONJWA WA CORONA USIWE KIGEZO CHA WATOTO KUKOSA CHANJO


Na WAMJW - Dodoma

Serikali imeitaka jamii kuhakikisha watoto wanapata chanjo kipindi hichi chenye maambukizi ya Virusi vya Corona (Covid-19) ili wapate kinga ya magonjwa mengine.

Rai hiyo imetolewa na Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma ya Afya ya Uzazi na Watoto, Dk.Ahmad Makuwani kwenye semina ya waandishi wa habari wa Mikoa ya Singida na Dodoma kuhusu huduma za chanjo nchini.

Amesema maambukizi ya Corona kwasasa yamepungua na kuwataka watanzania kutotumia ugonjwa huo kama sababu ya kutowapeleka...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

‘Mgogoro Z’bar usiwe kigezo cha kutudharau’

Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Augustine Mahiga amekutana kwa mara ya kwanza na mabalozi wanaowakilisha nchi zao nchini na kusema Tanzania inaheshimu tunu za kimataifa za haki za binadamu na demokrasia na kwamba mgogoro wa Zanzibar usiwe kigezo cha baadhi ya nchi kudharau hatua kubwa za kidemokrasia zilizofikiwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Dunia ilivyokosa fursa ya kupata chanjo ya ugonjwa wa Covid-19

Mwaka 2002, mji wa China wa Guangzhou, kirusi kisichojulikana kilisababishwa mlipuko wa ugonjwa mbaya ambao wanasayansi waliupatia jina la SARS linalomaanisha ugonjwa wa matatizo ya kupumua.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Kuvuruga utaratibu wa chanjo kwa watoto kutasababisha vifo vinavyoweza kuepukika

Mamilioni ya watoto wanaweza kupoteza maisha kutokana na maradhi yanayoweza kuzulika kwa sababu ya kukatizwa kwa programu za chanjo kutokana na virusi vya corona, wataalam wametahadharisha.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Mama apikia watoto wake mawe kwasababu ya kukosa vibarua alivyokuwa akifanya awali

Mjane mmoja nchini Kenya amepikia watoto wake mawe kuwadanganya kwamba chakula kinaiva.

 

11 years ago

Dewji Blog

Watoto 4000 kupatiwa chanjo katika Wiki ya Chanjo — Parseko Kone, Singida

DSC07952

Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizindua utoaji wa chanjo kimkoa katika hospitali ya St.Calorus iliyopo kijiji cha Mtinko. Jumla ya watoto 3,999 wanatarajiwa kupatiwa chanjo mbalimbali.

DSC07953

DSC07970

Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizungumza na wakazi wa tarafa ya Mtinko wilaya ya Singida, muda mfupi baada ya kuzindua zoezi la chanjo kimkoa lililoanza jana na linatarajiwa kumalizika Aprili 30 mwaka huu.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu

JUMLA ya watoto 3,999 mkoani...

 

5 years ago

Michuzi

WAZAZI NA WALEZI WASHAURIWA KUWALINDA WATOTO WAO DHIDI YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19).

NA PATRICIA KIMELEMETA
WAZAZi na walezi wameshauriwa kuwalinda watoto wao ili wasiweze kupata maambukizi ya ugonjwa wa covid -19 ambao unaweza kuhatarisha maisha yao.
Rais wa Chama Cha Madaktari Tanzania (MAT), Dr Elisha Osati amesema kuwa, mzazi au mlezi ana jukumu la kumlinda mtoto wake ili asiweze kupata maambukizo hayo hasa katika kipindi hiki ambacho Dunia imekumbwa na ugonjwa huo.
"Watoto walio chini ya miaka 8, bado wadogo, wanahitaji msaada wa ulinzi na usalama kutoka kwa wazazi au...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI INAHAKIKISHA WALENGWA WA CHANJO WANAFIKIWA KATIKA KIPINDI CHA CORONA

Ofisa Mradi kutoka Mpango wa Taifa wa Chanjo kutoka Wizara ya Afya Lotalis Gadau akihojiana na Mratibu wa chanjo Mkoa wa Pwani Bw. Abbas Hincha kwenye hospitali ya wilaya Mlandizi wakati wa ukaguzi elekezi wa utoaji huduma za chanjo katika mkoa wa Pwani .


Alama zinazoelekeza mteja anayefika kliniki ya hospitali ya wilatya Mlandizi kukaa kwa umbali unaostahili
Wazazi waliofika kwenye hospitali ya mlandizi walivyokaa kwa kuzingatia umbali kati ya mtu na mtu
Ukaguzi ukiendelea kwenye...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Jinsi ugonjwa usio wa kawaida aina ya kawasaki unavyoathiri watoto

"Hilo halistahili kufanya wazazi wasiwaruhusu watoto kutoka nje."

 

5 years ago

Michuzi

Ubongo yatoa programu za watoto kujifunza majumbani wakati shule zimefungwa kutokana na ugonjwa wa corona

Katika kuunga mkono juhudi za kupambana na usambaaji wa ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona, taasisi ya Ubongo, ambayo inayoongoza barani Afrika kwa kutengeneza vipindi kwa njia ya kidigitali kwa ajili ya kufundisha watoto wa rika mbalimbali kwa njia ya mfumo wa elimu-burudani imesema kuwa itatoa ushirikiano mkubwa katika kuchukua hatua madhubuti na kuwaunga mkono walezi na watoto kuendelea kujifunza nyumbani wakati shule zimefungwa.
Takwimu zilizotolewa na shirika la umoja wa Mataifa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani