UGONJWA WA CORONA USIWE KIGEZO CHA WATOTO KUKOSA CHANJO
![](https://1.bp.blogspot.com/-FpRUhBaXnVQ/XvGeISkGSnI/AAAAAAALvBg/B41UArfGfS8G0CE6JBfzcVxLBaSAYTX2ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-23%2Bat%2B8.45.13%2BAM.jpeg)
Na WAMJW - Dodoma
Serikali imeitaka jamii kuhakikisha watoto wanapata chanjo kipindi hichi chenye maambukizi ya Virusi vya Corona (Covid-19) ili wapate kinga ya magonjwa mengine.
Rai hiyo imetolewa na Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma ya Afya ya Uzazi na Watoto, Dk.Ahmad Makuwani kwenye semina ya waandishi wa habari wa Mikoa ya Singida na Dodoma kuhusu huduma za chanjo nchini.
Amesema maambukizi ya Corona kwasasa yamepungua na kuwataka watanzania kutotumia ugonjwa huo kama sababu ya kutowapeleka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi23 Dec
‘Mgogoro Z’bar usiwe kigezo cha kutudharau’
5 years ago
BBCSwahili15 Apr
Virusi vya corona: Dunia ilivyokosa fursa ya kupata chanjo ya ugonjwa wa Covid-19
5 years ago
BBCSwahili04 Jun
Virusi vya corona: Kuvuruga utaratibu wa chanjo kwa watoto kutasababisha vifo vinavyoweza kuepukika
5 years ago
BBCSwahili30 Apr
Virusi vya corona: Mama apikia watoto wake mawe kwasababu ya kukosa vibarua alivyokuwa akifanya awali
11 years ago
Dewji Blog25 Apr
Watoto 4000 kupatiwa chanjo katika Wiki ya Chanjo — Parseko Kone, Singida
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizindua utoaji wa chanjo kimkoa katika hospitali ya St.Calorus iliyopo kijiji cha Mtinko. Jumla ya watoto 3,999 wanatarajiwa kupatiwa chanjo mbalimbali.
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizungumza na wakazi wa tarafa ya Mtinko wilaya ya Singida, muda mfupi baada ya kuzindua zoezi la chanjo kimkoa lililoanza jana na linatarajiwa kumalizika Aprili 30 mwaka huu.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu
JUMLA ya watoto 3,999 mkoani...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kpn-XL6JNEU/XpGlke-04wI/AAAAAAALmyM/oUdtQiWs2_ES5i0WGiwgBPzXIppmwuewwCLcBGAsYHQ/s72-c/DKT%2BMAT.jpg)
WAZAZI NA WALEZI WASHAURIWA KUWALINDA WATOTO WAO DHIDI YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19).
WAZAZi na walezi wameshauriwa kuwalinda watoto wao ili wasiweze kupata maambukizi ya ugonjwa wa covid -19 ambao unaweza kuhatarisha maisha yao.
Rais wa Chama Cha Madaktari Tanzania (MAT), Dr Elisha Osati amesema kuwa, mzazi au mlezi ana jukumu la kumlinda mtoto wake ili asiweze kupata maambukizo hayo hasa katika kipindi hiki ambacho Dunia imekumbwa na ugonjwa huo.
"Watoto walio chini ya miaka 8, bado wadogo, wanahitaji msaada wa ulinzi na usalama kutoka kwa wazazi au...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Sy7McT45ZoI/XsVwKwfE6II/AAAAAAALrBM/54t5sZGHl0g-fcaR8quxQZXx5Pt7kDHZwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_5360AA-768x512.jpg)
SERIKALI INAHAKIKISHA WALENGWA WA CHANJO WANAFIKIWA KATIKA KIPINDI CHA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Sy7McT45ZoI/XsVwKwfE6II/AAAAAAALrBM/54t5sZGHl0g-fcaR8quxQZXx5Pt7kDHZwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_5360AA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG_5378AAAA-1024x682.jpg)
Alama zinazoelekeza mteja anayefika kliniki ya hospitali ya wilatya Mlandizi kukaa kwa umbali unaostahili
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG_5385AAA-1024x682.jpg)
Wazazi waliofika kwenye hospitali ya mlandizi walivyokaa kwa kuzingatia umbali kati ya mtu na mtu
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG_5398AAA-1024x682.jpg)
Ukaguzi ukiendelea kwenye...
5 years ago
BBCSwahili15 May
Virusi vya Corona: Jinsi ugonjwa usio wa kawaida aina ya kawasaki unavyoathiri watoto
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cPh-K-nP1JI/XnnSaP4VzVI/AAAAAAAEGaY/My26ik4PTYMMerVwoSgHAeUf5Rj5-Tl7gCLcBGAsYHQ/s72-c/download.png)
Ubongo yatoa programu za watoto kujifunza majumbani wakati shule zimefungwa kutokana na ugonjwa wa corona
Takwimu zilizotolewa na shirika la umoja wa Mataifa...