‘Sheria kali uvuvi haramu zitolewe’
Serikali imetakiwa kuweka sheria kali ya uvuvi haramu baharini pamoja na kuwafutia leseni wanaojishughulisha na vitendo hivyo kwa lengo la kulinda viumbe hai wa baharini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dLwPaiQCdFk/XpcQ28x9r8I/AAAAAAALnEI/H4twfYpVdbIw76x_5yQCN2ExsEEZOMBxQCLcBGAsYHQ/s72-c/waziri%2Bmkuuu.jpg)
ALIYEKAMATWA NA ZANA UVUVI HARAMU MWANZA ACHUKULIWE HATUA KALI-WAZIRI MKUU
![](https://1.bp.blogspot.com/-dLwPaiQCdFk/XpcQ28x9r8I/AAAAAAALnEI/H4twfYpVdbIw76x_5yQCN2ExsEEZOMBxQCLcBGAsYHQ/s640/waziri%2Bmkuuu.jpg)
“Yuko mfanyabiashara anaitwa Jeremiah Asam Omolo amekamatwa mara kadhaa kwa kukutwa na nyavu haramu. Wizara ilitoa specifications (aina ya nyavu) zinazoruhusiwa kutumika na KUU ya Mkoa ikasimamia lakini kuna maafisa wa Wizara waliingilia zoezi hilo mara tatu na akatozwa faini mara...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aKMXL9OoOWw/Xpd1m8UDrII/AAAAAAALnG0/OiND5bQ1qJ0YTWMZ-k1pHokxizotxTuqACLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_8435AAA-768x725.jpg)
ALIYEKAMATWA NA ZANA UVUVI HARAMU MWANZA ACHUKULIWE HATUA KALI - WAZIRI MKUU
“Yuko mfanyabiashara anaitwa Jeremiah Asam Omolo ambaye amekamatwa mara kadhaa kwa kukutwa na nyavu haramu. Wizara ilitoa specifications (aina ya nyavu) zinazoruhusiwa kutumika na KUU ya Mkoa ikasimamia lakini kuna maafisa wa Wizara waliingilia zoezi hilo mara tatu na akatozwa faini...
10 years ago
Mwananchi16 Oct
Uvuvi haramu unazorotesha sekta ya uvuvi ziwa Nyasa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6p9VYUh4v3k/XlDq1Ua71gI/AAAAAAALezE/cXIO1UF_YGcew-JChxGT3Iy2wxThsb8GACLcBGAsYHQ/s72-c/AA-7-1024x576.jpg)
NAIBU WAZIRI ULEGA AWATAKA MAAFISA UVUVI KUSIMAMIA SHERIA, KANUNI NA TARATIBU ZA SEKTA YA UVUVI
![](https://1.bp.blogspot.com/-6p9VYUh4v3k/XlDq1Ua71gI/AAAAAAALezE/cXIO1UF_YGcew-JChxGT3Iy2wxThsb8GACLcBGAsYHQ/s640/AA-7-1024x576.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/AA-8-1024x576.jpg)
11 years ago
Habarileo04 May
Zana haramu za uvuvi zateketezwa
KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa, Rachel Kassanda ameshiriki katika hafla ya kuteketeza zana haramu za uvuvi zenye thamani ya Sh milioni 68.6. Shughuli hiyo ilifanyika wilayani Muleba mkoani Kagera.
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
Mbaroni kwa uvuvi haramu
JESHI la Polisi mkoani Kigoma, linawashikilia watu watano wakiwemo raia wa Burundi kwa tuhuma za uvuvi haramu katika Ziwa Tanganyika eneo la kijiji cha Kiziba Wilaya ya Kigoma Vijijini, baada...
11 years ago
Habarileo09 Aug
Ukerewe kukabiliana na uvuvi haramu
BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya wilaya ya Ukerewe, Mwanza limetangaza kuwa tatizo la uvuvi haramu, hasa wa kutumia sumu ni janga, hivyo kupitisha azimio la kulikabili.
11 years ago
Habarileo06 Mar
Doria za uvuvi haramu kuendelea
DORIA za maeneo ya hifadhi ya uvuvi, Unguja na Pemba kwa kiasi kikubwa zimepunguza uvuvi haramu uliokuwa ukifanywa na wavuvi wasiokuwa waaminifu. Mkuu wa Doria wa Idara ya Maendeleo ya Uvuvi ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Haji Shomari alisema doria hizo zinazowashirikisha wavuvi kutoka katika kamati za uvuvi za shehia zimefanikiwa kudhibiti uvuvi haramu kwa asilimia kubwa.
11 years ago
Dewji Blog21 Jul
Wizara yacharukia Uvuvi Haramu Igunga
Na Mwandishi wetu
Wizara ya Mifugo na Uvuvi kanda ya kati imewaagiza watu wote wanaojishughulisha na uvuvi haramu kwenye bwawa la Mwanzugi,lililopo katika Kijiji cha Mwanzugi,wilaya ya Igunga,Mkoani Tabora usiofuata taratibu zilizowekwa waache mara moja na kwamba endapo wataendelea kukaidi amri hiyo halali hatua kali na za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.
Afisa Uvuvi Mfawidhi na uvunaji wa viumbe hai Kanda ya kati,Bwana Renatus Charles Karumbeta alisema hayo katika mahojiano maalumu na...