Kenyatta asaini sheria kali ya usalama
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, ameidhinisha sheria kali ya usalama ambayo ilizua vurugu kati ya wabunge wa upinzani na wa serikali bungeni Alhamisi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Rais Uhuru Kenyatta asaini sheria ya Usalama
9 years ago
BBCSwahili04 Nov
Rais wa Misri atetea sheria kali za usalama
10 years ago
Mwananchi05 Aug
JK asaini sheria zilizopingwa na upinzani
10 years ago
Habarileo06 Aug
Rais asaini sheria 5 za Bunge
RAIS Jakaya Kikwete ameridhia kwa kusaini sheria tano mpya zilizopitishwa na Bunge lililomalizika mapema mwezi uliopita kabla ya kuvunjwa ili kupisha Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu. Hafla ya utiaji saini wa sheria hizo ilifanywa juzi jioni Ikulu Dar es Salaam na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa sheria hizo.
10 years ago
Habarileo14 May
Shein asaini miswada mitatu ya sheria
SPIKA wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Ameir Kificho ameliambia Baraza la Wawakilishi kuwa, Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein tayari amesaini miswada mitatu ambayo ilipitishwa na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi katika vikao viivyopita.
9 years ago
BBCSwahili18 Dec
Sheria kali za teksi zapendekezwa Nairobi
10 years ago
Mwananchi19 Aug
‘Sheria kali uvuvi haramu zitolewe’
11 years ago
Mwananchi06 Mar
Zitungwe sheria kali kwa wapora ardhi
10 years ago
Habarileo30 Mar
Sheria kali kung’ata wahalifu wa mitandao
WAHALIFU wa mtandao pamoja na wasambazaji wa picha za utupu na ngono, wasambazaji wa taarifa za uwongo, za kibaguzi na matusi na watu wengine ambao wanafanya udanganyifu unaohusiana na kompyuta wametungiwa sheria kali ambayo itawafanya kwenda jela hadi miaka 10 au kulipa faini isiyopungua Sh milioni 50.