Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kenyatta asaini sheria kali ya usalama

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, ameidhinisha sheria kali ya usalama ambayo ilizua vurugu kati ya wabunge wa upinzani na wa serikali bungeni Alhamisi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Rais Uhuru Kenyatta asaini sheria ya Usalama

Pamoja na kuwapo kwa vuta nikuvute jana katika Bunge la Kenya Rais Uhuru Kenyatta, amesaini na kuiidhinisha sheria mpya ya usalama.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais wa Misri atetea sheria kali za usalama

Rais wa Misri Abdul Fattah al-Sisi ametetea sheria kali za kiusalama nchini humo na kusema taifa lake bado linadumisha demokrasia.

 

10 years ago

Mwananchi

JK asaini sheria zilizopingwa na upinzani

Rais Jakaya Kikwete ametia saini sheria tano zilizopitishwa na Bunge hivi karibuni licha ya kupingwa na wabunge wa upinzani wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

 

10 years ago

Habarileo

Rais asaini sheria 5 za Bunge

RAIS Jakaya Kikwete ameridhia kwa kusaini sheria tano mpya zilizopitishwa na Bunge lililomalizika mapema mwezi uliopita kabla ya kuvunjwa ili kupisha Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu. Hafla ya utiaji saini wa sheria hizo ilifanywa juzi jioni Ikulu Dar es Salaam na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa sheria hizo.

 

10 years ago

Habarileo

Shein asaini miswada mitatu ya sheria

SPIKA wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Ameir Kificho ameliambia Baraza la Wawakilishi kuwa, Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein tayari amesaini miswada mitatu ambayo ilipitishwa na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi katika vikao viivyopita.

 

9 years ago

BBCSwahili

Sheria kali za teksi zapendekezwa Nairobi

Madereva wa teksi Nairobi huenda wakakabiliwa na faini kubwa iwapo watakapitana na hatia ya kuwa wachafu au kucheza muziki wa juu karibuni, sheria mpya ikipitishwa.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Sheria kali uvuvi haramu zitolewe’

Serikali imetakiwa kuweka sheria kali ya uvuvi haramu baharini pamoja na kuwafutia leseni wanaojishughulisha na vitendo hivyo kwa lengo la kulinda viumbe hai wa baharini.

 

11 years ago

Mwananchi

Zitungwe sheria kali kwa wapora ardhi

Niliwahi kuandika katika moja ya makala zangu kuhusu Serikali kukosa mwarobaini wa migogoro ya ardhi nchini.

 

10 years ago

Habarileo

Sheria kali kung’ata wahalifu wa mitandao

WAHALIFU wa mtandao pamoja na wasambazaji wa picha za utupu na ngono, wasambazaji wa taarifa za uwongo, za kibaguzi na matusi na watu wengine ambao wanafanya udanganyifu unaohusiana na kompyuta wametungiwa sheria kali ambayo itawafanya kwenda jela hadi miaka 10 au kulipa faini isiyopungua Sh milioni 50.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani