JK asaini sheria zilizopingwa na upinzani
Rais Jakaya Kikwete ametia saini sheria tano zilizopitishwa na Bunge hivi karibuni licha ya kupingwa na wabunge wa upinzani wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo06 Aug
Rais asaini sheria 5 za Bunge
RAIS Jakaya Kikwete ameridhia kwa kusaini sheria tano mpya zilizopitishwa na Bunge lililomalizika mapema mwezi uliopita kabla ya kuvunjwa ili kupisha Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu. Hafla ya utiaji saini wa sheria hizo ilifanywa juzi jioni Ikulu Dar es Salaam na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa sheria hizo.
10 years ago
Habarileo14 May
Shein asaini miswada mitatu ya sheria
SPIKA wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Ameir Kificho ameliambia Baraza la Wawakilishi kuwa, Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein tayari amesaini miswada mitatu ambayo ilipitishwa na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi katika vikao viivyopita.
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Kenyatta asaini sheria kali ya usalama
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Rais Uhuru Kenyatta asaini sheria ya Usalama
11 years ago
Tanzania Daima30 May
Upinzani wataka sheria ya uhuru wa habari
KAMBI Rasmi ya Upinzani, imeitaka Serikali kuharakisha mchakato wa kupata sheria mpya ya uhuru wa vyombo vya habari ili kufuta sheria kandamizi zinazominya uhuru wa habari. Kauli hiyo ilitolewa jana...
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Upinzani wahofia muswada wa sheria ya takwimu
9 years ago
BBCSwahili01 Sep
Sheria mpya yaanza kutumika TZ licha ya upinzani
10 years ago
Vijimambo11 Jun
Mbowe: Sheria tata zinalenga kudhibiti upinzani Oktoba.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mbowe-11June2015.jpg)
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, (pichani) amesema sheria tatu za makosa ya jinai zilizo mbioni kupitishwa na serikali, zimelenga kuwanyamazisha wapinzani kwenye uchaguzi mkuu ujao, ili wasiweze kuanika madudu ya serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Katika taarifa yake iliyopatikana jana jijini Dar es Salaam, Mbowe alizitaja sheria hizo ambazo ama zimesainiwa au zinasubiri saini...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UT7S8PB7RnY/VZLgiU0KfiI/AAAAAAAHl-c/dBCGQM1l9m8/s72-c/silinde-june7-2013.jpg)
MAONI YA KAMBI RASMI YA UPINZANI KUHUSU MUSWADA WA SHERIA YA MASOKO YA BIDHAA YA MWAKA 2015 (COMMODITY EXCHANGE ACT,2015)
![](http://1.bp.blogspot.com/-UT7S8PB7RnY/VZLgiU0KfiI/AAAAAAAHl-c/dBCGQM1l9m8/s640/silinde-june7-2013.jpg)