Mbowe: Sheria tata zinalenga kudhibiti upinzani Oktoba.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, (pichani) amesema sheria tatu za makosa ya jinai zilizo mbioni kupitishwa na serikali, zimelenga kuwanyamazisha wapinzani kwenye uchaguzi mkuu ujao, ili wasiweze kuanika madudu ya serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Katika taarifa yake iliyopatikana jana jijini Dar es Salaam, Mbowe alizitaja sheria hizo ambazo ama zimesainiwa au zinasubiri saini...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 May
Mbowe: Ndoto ya Nyerere kutimia Oktoba
5 years ago
BBCSwahili09 Jun
Tanzania: Mwanasiasa wa upinzani Freeman Mbowe avamiwa na kushambuliwa
10 years ago
Mwananchi05 Aug
JK asaini sheria zilizopingwa na upinzani
10 years ago
BBCSwahili14 Nov
Uingereza yaandaa sheria kudhibiti IS
10 years ago
Habarileo21 Aug
Sheria kudhibiti mgongano wa maslahi
MAPENDEKEZO ya Sheria mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi, miongoni mwa viongozi wa umma, yanatarajiwa kudhibiti viongozi wa umma kushiriki au kuendesha harambee na kutoa zawadi kubwa kubwa.
11 years ago
Tanzania Daima30 May
Upinzani wataka sheria ya uhuru wa habari
KAMBI Rasmi ya Upinzani, imeitaka Serikali kuharakisha mchakato wa kupata sheria mpya ya uhuru wa vyombo vya habari ili kufuta sheria kandamizi zinazominya uhuru wa habari. Kauli hiyo ilitolewa jana...
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Upinzani wahofia muswada wa sheria ya takwimu
10 years ago
Habarileo22 Mar
Washauriwa kutunga sheria kudhibiti uchafu
MKUU wa Wilaya ya Ilemela, Manju Msambya ameshauri Halmashauri ya Manispaa kutunga sheria ndogo ya kuzuia utupaji ovyo wa mifuko ya rambo, ili kurejesha hadhi ya usafi kwenye manispaa hiyo.
11 years ago
Habarileo12 Dec
‘Sheria kudhibiti mavazi yasiyofaa ipo’
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Masoud Othman amesema sheria ya kudhibiti mavazi yanayokwenda kinyume na utamaduni ya Mzanzibari ikiwemo ya kuwadhalilisha wanawake ipo na haijafutwa.