China yapitishia sheria kali dhidi ya Ugaidi
Bunge la China limepitisha sheria ya kwanza katika taifa hilo inayolenga kukabiliana na tishio linaloongezeka la ugaidi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili17 Aug
Misri yatunga sheria kali dhidi ya Ugaidi
Sheria mpya za kupambana na ugaidi nchini Misri zimezua utata kuwa nia yake ni kukandamiza uhuru wala sio kukabiliana na maasi
9 years ago
BBCSwahili17 Nov
Ufaransa na mikakati dhidi ya Ugaidi
Ufaransa imesema imedhamiria kutokomeza makundi ya wapiganaji wa Kiislam, kufuatia shambulio la Kigaidi la mwishoni mwa juma.
10 years ago
Habarileo24 Mar
Vita dhidi ya ugaidi kuimarishwa
LICHA ya jeshi la polisi kuwakamata watuhumiwa 84 wa matukio ya kigaidi nchini na 17 kati yao kufunguliwa mashitaka, Rais Jakaya Kikwete amelitaka jeshi hilo kuendelea kujipanga kukabiliana na aina yoyote ya tishio la kigaidi, huku akisema Serikali itaendelea kuliwezesha katika kukabiliana nao.
10 years ago
BBCSwahili19 Mar
Tunisia yatangaza vita dhidi ya ugaidi
Rais wa Tunisia, Beji Caib Essebsi, amesema nchi yake imo vitani na ugaidi baada ya watu waliojihami kwa bunduki kuwaua watalii
11 years ago
BBCSwahili25 Apr
Vita vya Kenya dhidi ya ugaidi
Serikali ya Kenya imeahidi kuendeleza juhudi za kuwawinda magaidi wanaondelea kusababisha usalama mdogo nchini humo.
10 years ago
BBCSwahili21 Sep
Je,Kenya inashinda vita dhidi ya ugaidi?
Kikosi cha kupambana na ugaidi kinadaiwa kunyanyasa na kuuwa vijana huku wengine wakitoweka mikononi mwa polisi.
5 years ago
BBCSwahili28 Jun
Je vita 'dhidi ya ugaidi' vitawahi kuitaisha?
Jitihada zilizwekwa bado hazijaweza kufanikiwa kukabiliana na vitisho vya ugaidi vinavyoendelea duniani kote.
11 years ago
BBCSwahili16 Apr
Opresheni dhidi ya ugaidi yaanza Ukraine
Rais wa serikali ya mpwito ya ukraine amesema jeshi limekomboa uwanja wa ndege ulioko Kramatosk Mashariki mwa nchi hiyo .
10 years ago
Mwananchi19 Aug
‘Sheria kali uvuvi haramu zitolewe’
Serikali imetakiwa kuweka sheria kali ya uvuvi haramu baharini pamoja na kuwafutia leseni wanaojishughulisha na vitendo hivyo kwa lengo la kulinda viumbe hai wa baharini.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania