Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashambulizi yatanda nchini Misri

Misururu ya ghasia nchini Misri yatanda ,siku moja tu kabla ya kuanza rasmi kwa kampeni za uchaguzi wa urais mwezi huu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Hofu ya Ebola yatanda nchini

20150810_182328NA EDITHA KARLO, KIGOMA

RAIA wa Burundi aliyetambulika kwa jina la Buchumi Joel (39), amefariki dunia baada ya kuugua ugonjwa wenye dalili sawa na Ebola, ikiwa ni pamoja na kutokwa na damu sehemu mbalimbali za mwili wake.

Madaktari, wauguzi na ndugu waliomuhudumia mgonjwa huyo, wamewekwa chini ya uangalizi maalumu kwa siku 21 kama hatua ya tahadhari, huku wakisubiri kupokea majibu ya sampuli za vipimo ili kubaini iwapo kweli ni ugonjwa wa Ebola ama la.

Akizungumza na waandishi wa habari...

 

9 years ago

Global Publishers

‘Hackers’ wazuia mashambulizi ya ISIS nchini Italia

ISIS-militantsMagaidi wa ISIS

Rome, Italia
Kundi la wadukuzi wa mtandaoni (Online Hackers) linalojiita Anonymous, limefanikiwa kuzima shambulizi la kigaidi la kundi la ISIS baada ya kuvamia akaunti zao za mitandao ya kijamii kisha kuwataarifu polisi na wahusika wa eneo shambulio hilo lilipokuwa limepangwa kufanyika.
Kwa mujibu wa Anonymous, shambulio hilo lilipangwa kufanyika Jumatatu, Desemba 28, mwaka huu lakini wakafanikiwa kunasa taarifa za magaidi hao wakati wakipanga mipango yao kisha...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kero la usalama nchini Misri

Vikosi vya usalama viko katika hali ya tahadhari wakati makundi hasimu nchini Misri ikitarajiwa kuadhimisha miaka 3 ya kung'olewa kwa Hosni Mubarak.

 

11 years ago

BBCSwahili

Polisi wawili wauawa nchini Misri

Maafisa wawili wa polisi nchini Misri wameuawa kufuatia shambulizi la risasi .

 

10 years ago

BBCSwahili

Kesi ya Mubarak yaahirishwa nchini Misri

Kesi inayomkabili aliyekuwa rais wa Misri kuhusu mashtaka ya ufisadi na mauaji ya waandamanaji mwaka 2011 imeahirishwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa mashtaka nchini Misri auawa

Kiongozi wa mashtaka nchini Misri Hisham Barakat amefariki kutokana na majeraha aliopata baada ya bomu kulipua gari lake mjini Cairo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 200 kushtakiwa nchini Misri

Mwendesha mashtaka nchini Misri amewafungulia mashtaka watu 200 wa kundi moja la waislamu wenye itikadi kali.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa polisi auawa nchini Misri

Brigedia Jenerali wa jeshi la polisi nchini Misri ameuawa katika milipuko miwili tofauti iliyotokea kwa wakati mmoja karibu na chuo kikuu cha Cairo.

 

11 years ago

BBCSwahili

683 wahukumiwa kifo nchini Misri

Miongoni mwao ni kiongozi wa kundi la Muslim Brotherhood Mohammed Badie

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani