Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Hackers’ wazuia mashambulizi ya ISIS nchini Italia

ISIS-militantsMagaidi wa ISIS

Rome, Italia
Kundi la wadukuzi wa mtandaoni (Online Hackers) linalojiita Anonymous, limefanikiwa kuzima shambulizi la kigaidi la kundi la ISIS baada ya kuvamia akaunti zao za mitandao ya kijamii kisha kuwataarifu polisi na wahusika wa eneo shambulio hilo lilipokuwa limepangwa kufanyika.
Kwa mujibu wa Anonymous, shambulio hilo lilipangwa kufanyika Jumatatu, Desemba 28, mwaka huu lakini wakafanikiwa kunasa taarifa za magaidi hao wakati wakipanga mipango yao kisha...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ISIS WAWACHINJA WAPELELEZI WATATU MTAANI NCHINI IRAQ

Mmoja wa wapelelezi hao akichinjwa na mpiganaji wa ISIS. Mpiganaji huyo wa ISIS akimchinja mpelelezi mwingne. Pembeni kushoto ni mwili wa mwenzake. WATU watatu wanaodaiwa kuwa wapelelezi wameuawa kwa kuchinjwa na wapiganaji wa Kundi la ISIS nchini Iraq. Watu hao wanatuhumiwa kwa kulipepeleza kundi hilo kwa ajili ya serikali ya Iraq.…

 

11 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi yatanda nchini Misri

Misururu ya ghasia nchini Misri yatanda ,siku moja tu kabla ya kuanza rasmi kwa kampeni za uchaguzi wa urais mwezi huu.

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA KUSHIRIKI MAONYESHO NCHINI ITALIA

Mkurugenzi wa Biashara za Nje,Anna Bulondo, akizungumza katika mkutano wa maandalizi ya maonyesho ya 39 ya kimataifa ulifanyika katika viwanja vya SabaSaba jijini Dar es Salaam leo.

 Mkurugenzi Mkuu wa TANTRADE (katikati) akizungumza katika mkutano wa maandalizi ya maonyesho ya 39 ya kimataifa  ulifanyika katika viwanja vya SabaSaba jijini Dar es Salaam leo.


Mkurugenzi wa Biashara za Nje,Anna Bulondo, akizungumza katika mkutano wa maandalizi ya maonyesho ya 39 ya kimataifa ...

 

9 years ago

GPL

DIAMOND ATWAA TUZO YA MTV EMA NCHINI ITALIA

Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa na tuzo yake kutoka MTV EMA. STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ jana ametwaa tuzo ya MTV EMA katika kipengele cha ‘Best Worldwide Act: Africa/India’ akimgalagaza Miss World 2000, Priyanka Chopra. Diamond alikuwa akichuana na muigizaji wa filamu na aliyekuwa Mrembo wa Dunia (Miss World 2000), Priyanka Chopra katika tuzo za MTV Europe Music Awards (MTV EMA) kwenye...

 

11 years ago

GPL

DK. SHEIN AZUNGUMZA NA BALOZI WA ITALIA NCHINI ALIYEKWENDA KUJITAMBULISHA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Balozi wa Italia Nchini Tanzania Luigi Scotto,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kujitambulisha kwa Rais jana.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Balozi wa Italia nchini Tanzania Luigi Scotto, alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kujitambulisha kwa Rais jana.… ...

 

5 years ago

Michuzi

PROF. KABUDI AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA ITALIA NCHINI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi katika picha ya pamoja na Balozi wa Italia nchini Mhe. Roberto Mengoni na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Kanali WilbertA. IbugeWaziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi akimuelezea jambo Balozi wa Italia nchini Mhe. Roberto Mengoni pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na...

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI WA MABOMBO YA NJE PROF. KABUDI AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA ITALIA NCHINI

  Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Italia nchini Mhe. Roberto Mengoni katika ofisi ndogo za wizara jijini Dar es Salaam.
Mazungumzo hayo pia yalihudhuriwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Kanali Wilbert A. Ibuge, ambapo walijadili masuala mbalimbali yanayohusu mahusiano baina ya Tanzania na Italia.
Aidha, walitumia mazungumzo hayo...

 

5 years ago

Michuzi

Idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na COVID-19 nchini Italia yazidi ile ya China

Serikali ya Italia ilitangaza jana usiku kwamba idadi ya watu walioaga dunia kutokana na ugonjwa wa COVID-19 (corona) nchini humo imefikia 3,405.

Taarifa iliyotolewa na serikali ya Italia imesema kuwa kesi nyingine mpya za maambukizi ya watu 5322 pia zilisajiliwa katika masaa 24 yaliyopita nchini humo na kuongeza kuwa, hadi kufikia jana jioni watu 41,035 walikuwa wameambukizwa virusi vya corona.

Takwimu hizo za kufariki dunia watu 3,405 nchini Italia kutokana na virusi vya corona zinaonyesha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani