‘Hackers’ wazuia mashambulizi ya ISIS nchini Italia
Magaidi wa ISIS
Rome, Italia
Kundi la wadukuzi wa mtandaoni (Online Hackers) linalojiita Anonymous, limefanikiwa kuzima shambulizi la kigaidi la kundi la ISIS baada ya kuvamia akaunti zao za mitandao ya kijamii kisha kuwataarifu polisi na wahusika wa eneo shambulio hilo lilipokuwa limepangwa kufanyika.
Kwa mujibu wa Anonymous, shambulio hilo lilipangwa kufanyika Jumatatu, Desemba 28, mwaka huu lakini wakafanikiwa kunasa taarifa za magaidi hao wakati wakipanga mipango yao kisha...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/D*jRkBJZGXWpvjOFGHNQxL9ZL8sbxTB9uPLu-5E*r55-VH7xp09Bz1RloGs7KNrMQZuHJjfXut4pDu17QZwVPch1hNsopzJU/1.jpg)
ISIS WAWACHINJA WAPELELEZI WATATU MTAANI NCHINI IRAQ
Mmoja wa wapelelezi hao akichinjwa na mpiganaji wa ISIS. Mpiganaji huyo wa ISIS akimchinja mpelelezi mwingne. Pembeni kushoto ni mwili wa mwenzake. WATU watatu wanaodaiwa kuwa wapelelezi wameuawa kwa kuchinjwa na wapiganaji wa Kundi la ISIS nchini Iraq. Watu hao wanatuhumiwa kwa kulipepeleza kundi hilo kwa ajili ya serikali ya Iraq.…
11 years ago
BBCSwahili03 May
Mashambulizi yatanda nchini Misri
Misururu ya ghasia nchini Misri yatanda ,siku moja tu kabla ya kuanza rasmi kwa kampeni za uchaguzi wa urais mwezi huu.
10 years ago
MichuziTANZANIA KUSHIRIKI MAONYESHO NCHINI ITALIA
Mkurugenzi wa Biashara za Nje,Anna Bulondo, akizungumza katika mkutano wa maandalizi ya maonyesho ya 39 ya kimataifa ulifanyika katika viwanja vya SabaSaba jijini Dar es Salaam leo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-faNMLzH-3ZE/VT-WMMwPz_I/AAAAAAAHT3A/E1htXl5Yea0/s1600/DSC_0054.JPG)
Mkurugenzi Mkuu wa TANTRADE (katikati) akizungumza katika mkutano wa maandalizi ya maonyesho ya 39 ya kimataifa ulifanyika katika viwanja vya SabaSaba jijini Dar es Salaam leo.
![](http://4.bp.blogspot.com/--AJ26COxXUE/VT-V62OzihI/AAAAAAAHT2w/gDJ783IFnuA/s1600/DSC_0068.JPG)
Mkurugenzi wa Biashara za Nje,Anna Bulondo, akizungumza katika mkutano wa maandalizi ya maonyesho ya 39 ya kimataifa ...
Mkurugenzi Mkuu wa TANTRADE (katikati) akizungumza katika mkutano wa maandalizi ya maonyesho ya 39 ya kimataifa ulifanyika katika viwanja vya SabaSaba jijini Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi wa Biashara za Nje,Anna Bulondo, akizungumza katika mkutano wa maandalizi ya maonyesho ya 39 ya kimataifa ...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/dimaond.jpg)
DIAMOND ATWAA TUZO YA MTV EMA NCHINI ITALIA
Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa na tuzo yake kutoka MTV EMA. STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ jana ametwaa tuzo ya MTV EMA katika kipengele cha ‘Best Worldwide Act: Africa/India’ akimgalagaza Miss World 2000, Priyanka Chopra. Diamond alikuwa akichuana na muigizaji wa filamu na aliyekuwa Mrembo wa Dunia (Miss World 2000), Priyanka Chopra katika tuzo za MTV Europe Music Awards (MTV EMA) kwenye...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gp85O2XzVxhCBSYxhNjiAmbd2gdS3mYd-Xv-zaJ6K7sm1iNVBLZC5bf-Bd48qCgEhtpHx5ChbsIntye5ex8tkCQVQ*gn4rSQ/1shein1.jpg?width=650)
DK. SHEIN AZUNGUMZA NA BALOZI WA ITALIA NCHINI ALIYEKWENDA KUJITAMBULISHA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Balozi wa Italia Nchini Tanzania Luigi Scotto,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kujitambulisha kwa Rais jana.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Balozi wa Italia nchini Tanzania Luigi Scotto, alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kujitambulisha kwa Rais jana.… ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZmmYeKcZu64/XtFIOe6UjgI/AAAAAAALsA0/9QaDrRhuQiUJFw9MWkSJJgCFU8pn2AHZACLcBGAsYHQ/s72-c/aa1c150c-9ae3-4e47-8e5e-ad4653b9b17a.jpg)
PROF. KABUDI AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA ITALIA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZmmYeKcZu64/XtFIOe6UjgI/AAAAAAALsA0/9QaDrRhuQiUJFw9MWkSJJgCFU8pn2AHZACLcBGAsYHQ/s640/aa1c150c-9ae3-4e47-8e5e-ad4653b9b17a.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/11e0badb-52e6-494e-a2d2-2d0462575235.jpg)
5 years ago
CCM BlogWAZIRI WA MABOMBO YA NJE PROF. KABUDI AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA ITALIA NCHINI
Mazungumzo hayo pia yalihudhuriwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Kanali Wilbert A. Ibuge, ambapo walijadili masuala mbalimbali yanayohusu mahusiano baina ya Tanzania na Italia.
Aidha, walitumia mazungumzo hayo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RuhPWTGhGn8/XnRrmMbq5yI/AAAAAAALkf8/8_ZcHViZYeADyNorsg1cnvj671Ia70acQCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv774f5f6ad141mcly_800C450.jpg)
Idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na COVID-19 nchini Italia yazidi ile ya China
![](https://1.bp.blogspot.com/-RuhPWTGhGn8/XnRrmMbq5yI/AAAAAAALkf8/8_ZcHViZYeADyNorsg1cnvj671Ia70acQCLcBGAsYHQ/s640/4bv774f5f6ad141mcly_800C450.jpg)
Taarifa iliyotolewa na serikali ya Italia imesema kuwa kesi nyingine mpya za maambukizi ya watu 5322 pia zilisajiliwa katika masaa 24 yaliyopita nchini humo na kuongeza kuwa, hadi kufikia jana jioni watu 41,035 walikuwa wameambukizwa virusi vya corona.
Takwimu hizo za kufariki dunia watu 3,405 nchini Italia kutokana na virusi vya corona zinaonyesha...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania