Kanda ya watoto kuteswa yazua kero Misri
Kanda inayoonyesha msimamizi mkuu wa makao ya kuwatunza watoto mayatima akiwachapa watoto hao walio chini ya ulinzi wake imeleta kero kwa wengi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili13 May
Kanda ya Jay-Z akichapwa yazua hasira
Wakuu wa Hoteli ambako kisa hicho kilifanyika mjini New York,wanachunguza ambavyo kanda hiyo inayoonyesha Jay-Z akichapwa na dadake Beyonce ilivyosambazwa
5 years ago
BBCSwahili05 May
Kanda ya Tyson akifanya mazoezi yazua mshawasha duniani
Zaidi ya miaka 33 baadaye, bondia huyo wa zamani alietia fora bado anaweza kujivunia kuwa mtu hatari zaidi duniani.
11 years ago
BBCSwahili25 Jan
Kero la usalama nchini Misri
Vikosi vya usalama viko katika hali ya tahadhari wakati makundi hasimu nchini Misri ikitarajiwa kuadhimisha miaka 3 ya kung'olewa kwa Hosni Mubarak.
11 years ago
BBCSwahili16 Jun
Misri yataka Youtube kuondoa kanda ya dhuluma
Misri imeomba YouTube kuondoa video ya mwanamke akinyanyaswa kimapenzi katika mkutano wa kisiasa Cairo
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mic1EDqNV5Y/VFx-O5IXUzI/AAAAAAAGv8Y/SKU4ua4-v3k/s72-c/image061%2B(1).jpg)
JESHI LA POLISI KANDA MAALUM LAUNDA KAMATI ITAKAYORATIBU KERO ZA WAFANYABIASHARA WA KARIOAKOO
![](http://1.bp.blogspot.com/-mic1EDqNV5Y/VFx-O5IXUzI/AAAAAAAGv8Y/SKU4ua4-v3k/s1600/image061%2B(1).jpg)
Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Suleiman Kova ametangaza kamati hiyo alipokuwa akijibu hoja na maswali mbalimbali yaliyoulizwa na baadhi ya wafanyabiashara wa sokoni hapo juu ya baadhi ya kero...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-U_ugP0RE2V4/XozDVmkWvpI/AAAAAAALmbQ/7iGNFAGa5jIZWkn8RFafmwTUYM7K0S2xQCLcBGAsYHQ/s72-c/a6a54688-48d6-4e35-8edd-637c0fd94e1b.jpg)
TCRA Kanda ya Mashariki yatoa msaada kwa Kituo Cha Watoto Yatima
![](https://1.bp.blogspot.com/-U_ugP0RE2V4/XozDVmkWvpI/AAAAAAALmbQ/7iGNFAGa5jIZWkn8RFafmwTUYM7K0S2xQCLcBGAsYHQ/s640/a6a54688-48d6-4e35-8edd-637c0fd94e1b.jpg)
Mwakilishi wa Mkuu wa Kanda ya Mashariki wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Vaolet Eseko akimkabidhi msaada kwa niaba ya Mkuu wa Kanda hiyo Mhandisi Lawi Odiero wa Vitakasa Mikono pamoja bidhaa za vyakula Mkurugenzi wa Kituo Cha Watoto Yatima Cha New Home Orphan Kilichopo Boko Jijini Dar es Salaam.
**********************************
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Mashariki imetoa msaada wa vitu mbalimbali katika Kituo cha Watoto Yatima Cha New Home Orphan Kilichopo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6Y2sLcv5vP7nw-QFvpiNsc8PtFvXSf*9nba*qZZn4G1UKNBb7tGZbE8AEoQ*VtgKL2MoOU8pELkAdEkoYC*cfeZ/MTOTOAJIRA.jpg)
MTOTO AAJIRIWA, ADAI KUTESWA
Stori: Shani Ramadhani Mbaya! Mtoto mwenye umri wa miaka (14) anadaiwa kuajiriwa akiwa na umri mdogo kinyume cha sheria za kazi kisha kupokea kipigo na manyanyaso kutoka kwa mtu anayedai ni bosi wake aliyemtaja kwa jina moja la Agness. Mtoto mwenye umri wa miaka (14) ambaye ni mwenyeji wa Rombo mkoani Kilimanjaro anayeripoti manyanyaso kutoka kwa mtu anayedaiwa kuwa bosi wake. Kwa mujibu wa mashuhuda, mbali na kuwepo kwa...
10 years ago
Habarileo18 Sep
Mshitakiwa adai kuteswa, kudhalilishwa polisi
MSHITAKIWA katika kesi ya ugaidi, Abdallah Maginga, ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, kumruhusu kutohudhuria siku za kesi na abaki magereza, kutokana na maumivu makali anayodai anayapata sehemu za siri alikominywa na polisi na kuingiziwa mti kwenye haja kubwa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cFSv-yJm2DRnsyhNeJERsnmlQZkT6BBU8zONvLtYjCRjI3NSR-g1sF7b5pCx80l1UIXV7yLUYGpJxIH6T1gouqCllJT9ToTY/Kiama.jpg)
ESTER AZIDI KUTESWA NA TUMBO LA BIA
Brighton Masalu
KUNENEPEANA! Kuvimbiana na kuongezeka kwa ukubwa wa tumbo kunazidi kumpa wakati mgumu msanii ‘anayechungulia’ katika gemu la uigizaji, Ester Kiama kufuatia kusongwa na madai kuwa ‘amebugia kijusi’ (mjamzito) huku Kulwa Kikumba ‘Dude’ akidaiwa kuwa baba kijacho. Soma zaidi hapa ====>bit.ly/1IuN6l5 ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania