Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kanda ya watoto kuteswa yazua kero Misri

Kanda inayoonyesha msimamizi mkuu wa makao ya kuwatunza watoto mayatima akiwachapa watoto hao walio chini ya ulinzi wake imeleta kero kwa wengi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Kanda ya Jay-Z akichapwa yazua hasira

Wakuu wa Hoteli ambako kisa hicho kilifanyika mjini New York,wanachunguza ambavyo kanda hiyo inayoonyesha Jay-Z akichapwa na dadake Beyonce ilivyosambazwa

 

5 years ago

BBCSwahili

Kanda ya Tyson akifanya mazoezi yazua mshawasha duniani

Zaidi ya miaka 33 baadaye, bondia huyo wa zamani alietia fora bado anaweza kujivunia kuwa mtu hatari zaidi duniani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kero la usalama nchini Misri

Vikosi vya usalama viko katika hali ya tahadhari wakati makundi hasimu nchini Misri ikitarajiwa kuadhimisha miaka 3 ya kung'olewa kwa Hosni Mubarak.

 

11 years ago

BBCSwahili

Misri yataka Youtube kuondoa kanda ya dhuluma

Misri imeomba YouTube kuondoa video ya mwanamke akinyanyaswa kimapenzi katika mkutano wa kisiasa Cairo

 

10 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI KANDA MAALUM LAUNDA KAMATI ITAKAYORATIBU KERO ZA WAFANYABIASHARA WA KARIOAKOO

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam limeuda kamati ya pamoja baina ya wafanyabiashara wa soko la Kariakoo na maafisa wa Jeshi hilo ili kuwa na utaratibu sahihi wa kushughulikia kero za uhalifu miongoni mwa wafanyabiashara wazalendo na wageni zinazojitokeza katika soko hilo. 
Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Suleiman Kova ametangaza kamati hiyo alipokuwa akijibu hoja na maswali mbalimbali yaliyoulizwa na baadhi ya wafanyabiashara wa sokoni hapo juu ya baadhi ya kero...

 

5 years ago

Michuzi

TCRA Kanda ya Mashariki yatoa msaada kwa Kituo Cha Watoto Yatima


Mwakilishi wa Mkuu wa Kanda ya Mashariki wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Vaolet Eseko akimkabidhi msaada kwa niaba ya Mkuu wa Kanda hiyo Mhandisi Lawi Odiero wa Vitakasa Mikono pamoja bidhaa za vyakula Mkurugenzi wa Kituo Cha Watoto Yatima Cha New Home Orphan Kilichopo Boko Jijini Dar es Salaam.

**********************************

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Mashariki imetoa msaada wa vitu mbalimbali katika Kituo cha Watoto Yatima Cha New Home Orphan Kilichopo...

 

11 years ago

GPL

MTOTO AAJIRIWA, ADAI KUTESWA

Stori: Shani Ramadhani Mbaya! Mtoto mwenye umri wa miaka (14) anadaiwa kuajiriwa akiwa na umri mdogo kinyume cha sheria za kazi kisha kupokea kipigo na manyanyaso kutoka kwa mtu anayedai ni bosi wake aliyemtaja kwa jina moja la Agness. Mtoto mwenye umri wa miaka (14) ambaye ni mwenyeji wa Rombo mkoani Kilimanjaro anayeripoti manyanyaso kutoka kwa mtu anayedaiwa kuwa bosi wake. Kwa mujibu wa mashuhuda, mbali na kuwepo kwa...

 

10 years ago

Habarileo

Mshitakiwa adai kuteswa, kudhalilishwa polisi

MSHITAKIWA katika kesi ya ugaidi, Abdallah Maginga, ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, kumruhusu kutohudhuria siku za kesi na abaki magereza, kutokana na maumivu makali anayodai anayapata sehemu za siri alikominywa na polisi na kuingiziwa mti kwenye haja kubwa.

 

10 years ago

GPL

ESTER AZIDI KUTESWA NA TUMBO LA BIA

Brighton Masalu KUNENEPEANA! Kuvimbiana na kuongezeka kwa ukubwa wa tumbo kunazidi kumpa wakati mgumu msanii ‘anayechungulia’ katika gemu la uigizaji, Ester Kiama kufuatia kusongwa na madai kuwa ‘amebugia kijusi’ (mjamzito) huku Kulwa Kikumba ‘Dude’ akidaiwa kuwa baba kijacho. Soma zaidi hapa ====>bit.ly/1IuN6l5 ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani