Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ESTER AZIDI KUTESWA NA TUMBO LA BIA

Brighton Masalu KUNENEPEANA! Kuvimbiana na kuongezeka kwa ukubwa wa tumbo kunazidi kumpa wakati mgumu msanii ‘anayechungulia’ katika gemu la uigizaji, Ester Kiama kufuatia kusongwa na madai kuwa ‘amebugia kijusi’ (mjamzito) huku Kulwa Kikumba ‘Dude’ akidaiwa kuwa baba kijacho. Soma zaidi hapa ====>bit.ly/1IuN6l5 ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WANAHABARI MBEYA WATEMBELEA KIWANDA CHA BIA CHA TBL NA KUSHIRIKI SHINDANO LA KUONJA BIA

WAANDISHI wa Habari Mkoa wa Mbeya hivi karibuni walifanya ziara ya kutembelea kiwanda cha bia TBL Mbeya ambapo pia walipata nafasi ya kushiriki mashindano ya kuonja bia.
Katika shindano hilo, Mzoefu Saada Matiku ambaye ni mwandishi wa Chanel Ten aliibuka kidedea kwa kupata alama tano kwa tano ikiwa ni mara ya pili tangu apate nafasi kama hiyo kwenye mashindano ya mwaka juzi.
washindi wengine ni Kenneth Ngelesi wa Tanzania Daima aliyeibuka mshindi wa pili huku Merali Chawe wa Daily news...

 

11 years ago

GPL

MTOTO AAJIRIWA, ADAI KUTESWA

Stori: Shani Ramadhani Mbaya! Mtoto mwenye umri wa miaka (14) anadaiwa kuajiriwa akiwa na umri mdogo kinyume cha sheria za kazi kisha kupokea kipigo na manyanyaso kutoka kwa mtu anayedai ni bosi wake aliyemtaja kwa jina moja la Agness. Mtoto mwenye umri wa miaka (14) ambaye ni mwenyeji wa Rombo mkoani Kilimanjaro anayeripoti manyanyaso kutoka kwa mtu anayedaiwa kuwa bosi wake. Kwa mujibu wa mashuhuda, mbali na kuwepo kwa...

 

10 years ago

Habarileo

Mshitakiwa adai kuteswa, kudhalilishwa polisi

MSHITAKIWA katika kesi ya ugaidi, Abdallah Maginga, ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, kumruhusu kutohudhuria siku za kesi na abaki magereza, kutokana na maumivu makali anayodai anayapata sehemu za siri alikominywa na polisi na kuingiziwa mti kwenye haja kubwa.

 

11 years ago

GPL

A - Z KUTEKWA, KUTESWA KWA MWENYEKITI CHADEMA

Makongoro Oging na Haruni Sanchawa
MWENYEKITI wa Chadema wilayani Temeke, jijini Dar Joseph Yona,33, ameeleza A-Z sakata la kutekwa, kuteswa kwake na vijana sita wakati akienda nyumbani kwake Mtoni kwa Azizi Ally. Mwenyekiti wa Chadema wilaya ya Temeke na Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, Joseph Yona akipelekwa Kitengo cha Mifupa Muhimbili… ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wadai kuteswa kwa kukataa kuvaa sare

Washukiwa 4 wa shambulizi la Westgate wanaozuiliwa mjini Nairobi, wanadai wameteswa gerezani kwa kukataa kuvaa sare zao

 

11 years ago

BBCSwahili

Kanda ya watoto kuteswa yazua kero Misri

Kanda inayoonyesha msimamizi mkuu wa makao ya kuwatunza watoto mayatima akiwachapa watoto hao walio chini ya ulinzi wake imeleta kero kwa wengi

 

10 years ago

Dewji Blog

Mtandao wa Haki za Binadamu watoa tamko juu ya kutekwa na kuteswa kwa kiongozi wa wahitimu JKT

9

Mwenyekiti wa JKT Tanzania, Bw. George Mgoba akiwa wodini.

TAMKO KWA VYOMBO VYA HABARI.docx by moblog

 

11 years ago

Mwananchi

Anayedaiwa kuteswa kwa pasi akabidhiwa kwa wanaharakati

Hatimaye Yusta Lucas (20), binti anayedaiwa kuteswa kwa kung’atwa na mwajiri wake, Amina Maige ameruhusiwa kutoka Hospitali ya Mwananyamala alikokuwa amelazwa na kukabidhiwa kwa wanaharakati wa Taasisi ya Jipange.

 

10 years ago

GPL

USHIRIKINA WAMGANDA ESTER

Hamida Hassan
TUHUMA za ushirikina zinaendelea kumganda staa wa filamu Bongo, Ester Kiama anayedaiwa kujipandisha kisanaa kwa nguvu za giza zinazotokana na kitendo chake cha kuvaa pete yenye kito cha bluu. Staa wa filamu Bongo, Ester Kiama. Kwa mujibu wa chanzo makini cha habari, baadhi ya wasanii wenzake wamekuwa wakimsengenya kuwa pete yake hiyo amekuwa akiivaa muda wote, hata akiwa bafuni, kitendo kinachowafanya wahisi ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani